Tuliowahi kudundwa siku ya kufunga shule primary tukutane hapa

Duh! Kumbe Kuna watu watata humu eeh, nilikua mpole nilijaribu mapambano mawili, nikawa na near - miss kwenye mapambano, nikahairisha kuwa mgomvi!
Mm niliacha kupigana toka siku hiyo
 
We jamaa mbona kama nakujua!

Unamkumbuka refa wa game alikua nani?
 
umekumiss kipigo ha ha ha
 
duh feza si imeanzishwa mwaka 2010 kumbe tunachat na watoto wetu humu
 
Hukuwa mjanja ukitaka kuishi mazuri jenga urafiki na wababe husingedundwa hata mara moja
 
Dah!!!Nimepiga sana watoto wa watu makwenzi[emoji1] [emoji1] , nilikuwa nikiomba askirim sinyimwi[emoji4]
 
sikuwai kupigana ila nlikuwa hodari kuchonganisha watu wapigane, nlikuwa middle man,,, nlikuwa straiker uwanjani,, shule nliiona tamu sana,,,
 
'"zipigwe za juu juu'





hahahahahhh
Hapo umenikumbusha mbali sana aisee
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kuna hao wamama wawili tulikua tunapishana nao njiani wakati wa kwenda na kurudi, maana walikua shule tofauti na tunayosoma. Sasa mimi na mashoga zangu tulikua na tabia ya kuwazomea kila tukiwapita tunawaita mama wa darasa, siku moja wakaja kunibamba peke angu, aisee almanusra nijikojolee![emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka jamaniii MEMKWA aaaahhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…