Tuliowahi kufanya fujo na kuharibu mali za shule, tutubu hapa

Kwa niaba yangu na wenzangu kama mtu tisa hivi yani Gusta Shada family Tss natubu kupiga charter za majina yetu kila kona ya shule hadi vyoo vya walimu vitabu vya shule sahani na vijiko vya shule na kubadili jina shule kwa maandishi makubwa juu ya gorofa yani lango kuu la kuingilia shuleni kwa juu utaanza kusoma jina hilo hivyo kuwafanya wageni hasa form one kuhisi wamekosea kuripoti hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, kwa haya makosa inabidi nikupeleke kwa mkemia mkuu ukapimwe mkojo kabla ya kwenda kwako kukukagua!
 
Ha haa! Naitafuta ile picha ya mfalme kutoka Chattle ila siioni. Ila juzi katoka kukata 1M cash ku repea the damage!
===============================================

Hii hapa...
 
DIRISHA nililo haribu Mimi lilikarabatiwa, kawaida ya shule na mabweni kila mwanzo wa masomo kuna ukarabati unaofanyika, sjui mwenzetu yeye tokea haribu miaka 40 baadaye kaja kukarabati yeye mwenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aise we jamaa hufai
Haaaaaaaa............... ndo uchulo gani huo ulifanya?
Dah [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31]
 
Wanisamehe mmna siku moja walinipunja ugali bas nikapiga kelele class nikapewa adhab ya kuosha masufuria eeeh mwana weeee niliyatoboa yte shenzii kbs kesho yake walikoma
 
Me watching....

Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
 
Mje hapa mkiri na makosa ya huko makazini! Wizi,ufisadi,uroho wa madaraka,uzandiki,unafiki nka! Mukuje apa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…