Tuliowahi kufanya fujo na kuharibu mali za shule, tutubu hapa

Hahahaa mkuu ulisoma MTWANGO SEC au??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaa mwanangu wa TOSAMAGANGA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulikuwa gerezani au shule mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu mimi nikiri kumwagia kitu inaitwa maboso kwa wasiofahamu haya ni makinikia ya pombe pendwa mkoani Iringa inaitwa ulanzi nlimwagia ofisini kwa academic kupitia dirishani na asubuh tukio hilo likahusishwa na ushirikina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee Mimi niliwagonga walimu wawili na mmoja kupata mimba.

Primary nilikuwa mwizi maarufu jikoni kwa mpishi.

Jioni Nilivizia walimu na kuwalenga na manati baada ya kuchapwa shuleni.

Nilitembea na girls karibia darasa zima secondary

Niliiba mwiko wa kusongea ugali shuleni pamoja na kumlenga mpishi kwa manati baada ya mpishi kuninyima ukoko.

Usiku Nilifungua maji kisimani yakamwagika yote baada ya mwalimu kunipa adhabu ya kuchota maji mchana.

Nilikuwa naenda na kioo shuleni nakiweka chini naanza kuchungulia pichu Za girls

Dah! Yapo mengi sanaa, nikiandika hapa itakuwa soo
 
Dah! ngoja leo nitubu, niliiba extension 7 za computer lab nikiwa chuoni.
Mengine nimesahau nakumbuka hilo la juzi juzi
 
I used to be good boy that's why am a good citizen
your not good citizen ..your normal individual...sisi viongozi wakubwa tulifanya fujo na kuharibu mali za shule😎😎😎😎
 
mi nilikaa siku tatu chimwaga nadownload porn na kusambaza kwa vidume vyote vya social na kuvisababishia emotional meltdown na kwenda wachungulia madem wa block four wakitoka oga na kupiga exile jamaa zangu wa block 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…