Unaona sasa,hutachelewa kuniita sexist
Utalalamika napingana na wewe makusudi sababu "you are a woman".....Hahahaaaa
Nowdays msha-weponize ubishani,haupo tena!
Identity politics!
Haya Cariha
Pole sana mkuuAisee nakumbuka ilikuwa mwaka 2014 nilipata kaz shule moja ya girls nilikuwa mchapa kaz sn boss alinipenda sn maana nilikuwa nafanya kaz ya records Mambo ya Ada na michango mingne lakini nilikuwa na faida nyngn Kama sekritari hayupo nilikuwa nasmamia show za kuchapa mitihani na Mambo mengine yote ya kuprint na kuchapa sasa alikuja mzungu mmoja mdada kaleta mtoto pale shulen na mi ndo nilikuwa napokea wanafunz nakagua kama wamelipa Ada na michango mingne Yan mi nilikuwa na uwezo hata wa Kimtoa nje mwanafunz ambaye hajakamilisha ada huyo mzungu alipofka akawa ananiangalia vile nachapa kazi kwa kila anayeingia na kutoka akanikubali sana sasa alinikubali zaid pale nilipomsaidia mtoto aliyekuja naye kuingia shulen wakati hakuwa amelipa ada kwan mzungu aliniomba nimpe rist ya ada halafu kesho atanipigia cm nikachukue pesa niitumbukze bank
Kwan ye muda wa kwenda bank amekosa kabisa basi bhana kweli kesho yake alinipa ile pesa lakin akaniulza nalipwa shs ngapi nikamwambia akasema nna mkataba nikamwambia hapana bs akanambia ana kampuni ya kukodisha magari anataka nikafanye kaz kwake anilipe mara mbili ya mshahara nnaolipwa shulen nikamwambia poa
kweli nilihamia huko kwa mzungu kimbembe kilikuwa hivi
Kumbe pale ofsn kulikuwa na mdada wa kimasai anaitwa joyce ndiye alitakiwa atoke pale ofsn ahamie kwny kitengo cha masoko na jamaa wengi madereva pale ofsn walikuwa hawampendi sn daaah aisee dada alikuwa na roho mbaya kama sura yake akawa anaenda kwa waganga ili nifukuzwe kazi maana hakupenda kutoka pale ofsn kwenda kwny masoko
Mara nikute kaz nilizofanya jana yakr zmefutwa kwny pc yan majanga tu boss nae akaanza kunichukia hatari bila sababu
Mdada akawa anaomba ruhusa hata ya wiki kumbe anaenda kwa waganga ili nifukuzwe kaz amlete rafiki yake ndo aje awe wa masoko ye arudi ofsn cha ajabu kaz hawez kabsa ila ni ana mdomo hatari mwisho wa sku nilichukia kbs kaz wkend ikiisha nakosa amani kabsa aisee nakumbuka bosi aliniita sku moja mbele ya huyo dada akawa ananifokea eti simuheshimu huyo dada mara huyo dada akawa anatamba eti tatzo mi smjui ye ni nani pale ofsn mmmh bosi akanambia natakiwa kumheshimu joyce sn kama bosi nilishangaa nmuheshimu kvp mbona sielewi aisee wakati ni binti tu kijana kama mimi au nmemkosea nn yan nikawa sjui kbs ndo nikpata taarifa kwa dereva mmoja kwmb joyce anasema mi nafanya sn kaz na bosi ananikubali sn sa uwenda mbele ya safari takuja kuwa mtu mkubwa sana ukizngatia nina elimu kubwa kuliko wafanyakaz wote na nna chapa kaz hatari
Siku moja niliitwa na bosi mbele ya wafanyakaz wote ilikuwa mwisho wa mwezi nashangaa nakabiziwa mshahara wangu by cash na kuambiwa sina kaz tena pale bila sababu za msingi skuumia sn maana nilishaona vitimbwi vya joyce ila niliwambia watu pale ofsn kama Mungu Aishivyo ikiwa nmefukuzwa kaz kisa joyce tena bila kosa lolote bs joyce hatomalza miezi miwili naye atatmuliwa kweli nilipata taarifa joyce alifukuzwa kwa aibu kubwa kwa kosa la kuitia hasara kampuni hata miezi miwili haikufka
Mengne ningesema wakuu baada ya kufukuzwa ilikuaje sema naogopa kuwachosha nyie acheni tu maisha haya maisha haya stasahau nilikuwa natembea kwa mguu toka goba mpk posta au mabibo hostel kwny internet kutafuta kaz nyngn online stasahau kabisa
Asante. YashapitaThis is so sad ! Pole mkuu japo yameshapita
Kuna mfanyakazi mmoja ameachishwa kazi baada ya kupata msiba watu wameenda kumpa pole kufika wakakuta mjengo wa maana
Alivyorudi kazini anaulizwa hela ya kujenga nyumba kama hii kaipata wapi
Hahahahahah usiwe una mjini Huyo Jamaa ana mental issuesMbona Una povuka bure kila mtu na experience yake bana usitake watu wafanane hyo kitu, hafu kazini superstar wa Nini kwani Kuna kina diamond mule. Hafu majungu sio lazima eti mtu awe juu, mbona hata wafagizi ofisi wanapigwa majungu. Hafu sio kila ofisi watu wanaajiriwa permanent nyingine contract na mda mfupi mfupi ebo.
Acha kupanic na experience za watu bure
Hakika hajui au huenda hajakutana na hawa watu.au ndo wale maboss wakuchukua kila kituHahahahahah usiwe una mjini Huyo Jamaa ana mental issues
Bora utafute mtaji ufanye Mambo yako mkuu.Inategemea na unataka nn kwenye life kama ni mtaji ili ufanye ishu zako nenda private sector.Kama ni unataka uhakika wa kutokufa njaa baki serikalini
Nipe namba za huyo hod nimtukane tu potelea poteKipindi cha uchaguzi vijana wengi walijaribu kugombea ubunge. Kuna jamaa akaenda kwao huko kugombea na aliomba likizo.
Sasa kuna HOD mmoja alikuwa kimbelembele anashadadia jamaa afukuzwe.
Nikamwambia akifukuzwa mshahara wake utakuwa wako?
Kuna mijitu ina roho mbaya sana.
Mpuuz Sana JoyceAisee nakumbuka ilikuwa mwaka 2014 nilipata kaz shule moja ya girls nilikuwa mchapa kaz sn boss alinipenda sn maana nilikuwa nafanya kaz ya records Mambo ya Ada na michango mingne lakini nilikuwa na faida nyngn Kama sekritari hayupo nilikuwa nasmamia show za kuchapa mitihani na Mambo mengine yote ya kuprint na kuchapa sasa alikuja mzungu mmoja mdada kaleta mtoto pale shulen na mi ndo nilikuwa napokea wanafunz nakagua kama wamelipa Ada na michango mingne Yan mi nilikuwa na uwezo hata wa Kimtoa nje mwanafunz ambaye hajakamilisha ada huyo mzungu alipofka akawa ananiangalia vile nachapa kazi kwa kila anayeingia na kutoka akanikubali sana sasa alinikubali zaid pale nilipomsaidia mtoto aliyekuja naye kuingia shulen wakati hakuwa amelipa ada kwan mzungu aliniomba nimpe rist ya ada halafu kesho atanipigia cm nikachukue pesa niitumbukze bank
Kwan ye muda wa kwenda bank amekosa kabisa basi bhana kweli kesho yake alinipa ile pesa lakin akaniulza nalipwa shs ngapi nikamwambia akasema nna mkataba nikamwambia hapana bs akanambia ana kampuni ya kukodisha magari anataka nikafanye kaz kwake anilipe mara mbili ya mshahara nnaolipwa shulen nikamwambia poa
kweli nilihamia huko kwa mzungu kimbembe kilikuwa hivi
Kumbe pale ofsn kulikuwa na mdada wa kimasai anaitwa joyce ndiye alitakiwa atoke pale ofsn ahamie kwny kitengo cha masoko na jamaa wengi madereva pale ofsn walikuwa hawampendi sn daaah aisee dada alikuwa na roho mbaya kama sura yake akawa anaenda kwa waganga ili nifukuzwe kazi maana hakupenda kutoka pale ofsn kwenda kwny masoko
Mara nikute kaz nilizofanya jana yakr zmefutwa kwny pc yan majanga tu boss nae akaanza kunichukia hatari bila sababu
Mdada akawa anaomba ruhusa hata ya wiki kumbe anaenda kwa waganga ili nifukuzwe kaz amlete rafiki yake ndo aje awe wa masoko ye arudi ofsn cha ajabu kaz hawez kabsa ila ni ana mdomo hatari mwisho wa sku nilichukia kbs kaz wkend ikiisha nakosa amani kabsa aisee nakumbuka bosi aliniita sku moja mbele ya huyo dada akawa ananifokea eti simuheshimu huyo dada mara huyo dada akawa anatamba eti tatzo mi smjui ye ni nani pale ofsn mmmh bosi akanambia natakiwa kumheshimu joyce sn kama bosi nilishangaa nmuheshimu kvp mbona sielewi aisee wakati ni binti tu kijana kama mimi au nmemkosea nn yan nikawa sjui kbs ndo nikpata taarifa kwa dereva mmoja kwmb joyce anasema mi nafanya sn kaz na bosi ananikubali sn sa uwenda mbele ya safari takuja kuwa mtu mkubwa sana ukizngatia nina elimu kubwa kuliko wafanyakaz wote na nna chapa kaz hatari
Siku moja niliitwa na bosi mbele ya wafanyakaz wote ilikuwa mwisho wa mwezi nashangaa nakabiziwa mshahara wangu by cash na kuambiwa sina kaz tena pale bila sababu za msingi skuumia sn maana nilishaona vitimbwi vya joyce ila niliwambia watu pale ofsn kama Mungu Aishivyo ikiwa nmefukuzwa kaz kisa joyce tena bila kosa lolote bs joyce hatomalza miezi miwili naye atatmuliwa kweli nilipata taarifa joyce alifukuzwa kwa aibu kubwa kwa kosa la kuitia hasara kampuni hata miezi miwili haikufka
Mengne ningesema wakuu baada ya kufukuzwa ilikuaje sema naogopa kuwachosha nyie acheni tu maisha haya maisha haya stasahau nilikuwa natembea kwa mguu toka goba mpk posta au mabibo hostel kwny internet kutafuta kaz nyngn online stasahau kabisa
Kumbe kaja nilisha maneno humuHahahahahah usiwe una mjini Huyo Jamaa ana mental issues
mm sijawahi kufukuzwa,Ila niliwahi kubembelezwa ni resign nikasita kwa muda mrefu baadae nikaamua kukubali ku resign.Ilikuwa hiv ,baada ya kumalizia tu chuo,niliingia kitaa kusaka kazi,nikatumia wk 2 kuzurula mtaani na kibahasha changu Cha vyeti, world vision nilifika lkn wakanpa maneno ya kunifarj lkn nikaona hapa bila mtu sipat kaz nikaachana nao,Kama zali wk ya pili nikapewa mchongo Kuna project mpya shirika fulani hv Iina launch project mpya, iliitwa LEAD project donors wakiwa UK,jamaa Kama masihara wakanichukua kwa mkataba wa miaka 4,ilikuwa 2013yr hiyo,waka nipost mbeya nikagoma,wakanibembeleza weeee nikagoma nakumbuka tuligoma vituo watu 2,mm na jamaa mmoja kutoka tanga aliitwa Jonas,siku hiyo walipangiwa wote pamoja na jamaa angu,kasoro mm,wakaniambia Rudi baadae tutakupigia sm nikawaambia poa,kweli nikarudi zangu home,usiku saa tano manager wa mladi akanipigia sm,kuwa wamenipa iringa nikamwambia poa nitaenda,Nika join iringa,nikiwa kule nilikuwa situlii kila mala naingia internet kuchek mashirika mengine,maana nilijua private sector Kuna michezo michafu na rafu nyingi,muda wowote kinaweza kunuka.
nikiwa iringa 2014,nafasi za ajira zikatoka govt,fasta nikatuma maombi , interview tuliitwa arusha,mwaka huo nikaajiriwa govt mkoa wa mbeya,wilaya ya kyela,nikawakumbuka wazungu waliokuwa wananibembeleza niende mbeya na LEAD PROJECT,nikaona nimebugi Sana kuwagomea kipnd kile.ss nikawa napga govt na LEAD PROJECT,Ila kwa Siri ,boss wangu kule gvt sikumficha maana nilijua nisipompa mchongo kupga huku na kule itakuwa inshu,uzur boss alikuwa sosho Sana,akasema dogo piga kaz usjal,Ila ukiwa unachomoka hapa nipage taarifa,nikamwambia poa .
Sasa baada ya miez 3, LEAD PROJECT HQ,wakasanuliwa na jamaa mmoja tulikuwa nae pale iringa lead project,wakawa Wana nipigia masim kibao ni resign ,nikawakazia ,nilijua hawawez kunifukuza na tayari mkataba nilisha saini.
Niliendelea kupga Kaz huku na huku,Ila kero za masm zilikuwa Mara kwa Mara,wakiniuliza ume saini Kaz govt nawabishia nawaambia hapana ,hakuna kitu Kama hicho,wakiwatuma wakuda waje iringa Kuna jamaa yangu mwngine alikuwa best wa ukweli kwangu,akawa ana nitonya fasta yy alikuwa na ndg yake HQ dar so alikuwa anapata taarifa mapema za project kutoka HQ. Jamaa walichanganyikiwa kweli,kunifukuza hawawezi ,so wakabaki kunipiga saund ni resign.
Siku moja,nikatoka iringa ,kwenda mbeya kazn govt,asbh nikiwa kyela,nikapigiwa sm,kupokea jamaa akajitambulisha yy ni manager kampuni moja inaitwa utravet ,HQ zao ziko Kenya,kwa hapa tz ni Arusha ,akaniambia natakiwa kuripoti Arusha ndani ya siku 3, nisaini mkataba na utravet ,baada ya kusaini natakiwa kwenda Kenya pale Nairobi seminar ya 2wks,akaniambia ulituma email yako tangu mwaka Jana 2013 ,nikamwambia kweli,Basi jamaa akasisitiza hapa huta piga interview yoyote ,wameiona CV yangu hawana haja kunifanyia interview,ni kusaini mkataba na kukwea piga Nairobi kwa seminar,nikirudi Nita manage mkoa wa morogoro na Dodoma,usafr kila ktu poa.
Nikampigia jamaa angu mmoja ,Kama anawajua vizuri hawa utravet ,akaniambia jamaa Kama wamekuita nenda ,wako vzr Sana Tena Sana,Kuna vijipesa vya kipuuzi puuzi kibao .akanipa na contact ya best ake ambae alikuwa bado anapiga nao Kaz mkoa wa mwanza,aise nikabaki sijui Cha kuamua.Niko bado na mkataba na LEAD PROJECT,nimeajiliwa govt ndo kwanza Nina miez Kama 3,huku napewa offer na utravet .
duhhii
kweli mm walivunja mlango kbs..
"Walimu mnapiga kelele kama watoto wa primary"..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nimewahi kufundisha shule fulani private. Mkuu wa shule alikuwa na mambo ya kiwaki kisenge.
Sometimes, anaweza kukufokea hata mbele ya wanafunzi.
Ikifikia tarehe za mishahara basi ndio kufoka nje nje. Nyumba niliyokuwa nimepewa ilikuwa karibu na ya kwake, so, sometimes washkaji wakija gheto mkawa mnaongea kwa nguvu mnabishana mnacheka, anawaibukia anafoka Walimuu mnapiga kelele kama watoto wa primary[emoji1787]
Nikawa najisemea tu huyu dawa yake iko jikoni.
Kuna wakati tunakaribia kuchukua mshahara, mwisho wa mwezi akawa anafoka, ooh kama hujaandika scheme of work na lesson plans sikulipi mshahara [emoji1787] ( walimu wanaijua hii midude )
Basi nikajipinda nikaandika hayo ma-scheme of works ( plan ya miezi 6 ) na lesson plans, nilivyomaliza nikampelekea.
Akasema poa, nenda kwa Accountant akupe mshahara wako. Nilivyolipwa tu, nitatafuta muda huyo mkuu wa shule hayupo, nikaiingia ofisini kwake nikayaiba hayo scheme of works nikaenda nikayachoma moto halafu nikaacha kazi, nikasepa[emoji1787]. Ilikuwa 2013 hiyo.
Kiukweli mimi kuvumilia dharau nilishashindwa kabisa. Siwezi.
Mimi chuoni nimewahi kumfuata Lecturer ( HoD ) ofisini kwake nikamtukana. Alikuwa ananisumbua sana.
Mimi probably nitakuja kumnyenyekea mtu nikiwa na watoto 6, mmoja ana ugonjwa wa kudumu, nadaiwa kodi ya nyumba, mama ana matatizo.
Hapo nitajitahidi kunyenyekea. Kwasasa nitakuwa muongo. Sitaweza.