Ndani ya madaAcha kuharibu mada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndani ya madaAcha kuharibu mada.
Kaka acha tu, kuna jamaa aliwahi pewa dawa ambazo hazijui, amekuja kuuliza kwa specialists akaambiwa ni dawa za magonjwa ya Quouma wakati ni mwanaume.Kumbe ndivyo inavyokuwa .
Ndio maana watu wanakufa kwa matatizo ya Figo ,ini na mengineyo
Wanamezeshwa dawa Ila hawaumwi kisa hospital ipate hela za dawa
Shenzi sana
Kuna hoteli niliwahi fanya kazi ya utunza bustani wakati nasubiri majibu ya form four. Nilivyomaliza chuo nikaambiwa wananitafuta wanataka mtu wa store, nikaenda, tukakubaliana mshahara, ilikua ni 180K kwa mwezi, basi ikawa mziki mshahara ila nikakaza.
Basi bwana baada ya almost mwaka nikaitwa na meneja wa waswahili akaniambia bwana ni hivi mimi naona wewe kukulipa hatuwezi. Kichwani najiongelesha "Hawa jamaa wananilipa 180K lakini wanaona ni kubwa walitarget wanilipe sh ngapi?"
Kauli ya mwisho nikasikia "Kwahiyo tumeona tukuache" basi mambo yakawa hivyo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi nimewahi kufundisha shule fulani private. Mkuu wa shule alikuwa na mambo ya kiwaki kisenge.
Sometimes, anaweza kukufokea hata mbele ya wanafunzi.
Ikifikia tarehe za mishahara basi ndio kufoka nje nje. Nyumba niliyokuwa nimepewa ilikuwa karibu na ya kwake, so, sometimes washkaji wakija gheto mkawa mnaongea kwa nguvu mnabishana mnacheka, anawaibukia anafoka Walimuu mnapiga kelele kama watoto wa primary[emoji1787]
Nikawa najisemea tu huyu dawa yake iko jikoni.
Kuna wakati tunakaribia kuchukua mshahara, mwisho wa mwezi akawa anafoka, ooh kama hujaandika scheme of work na lesson plans sikulipi mshahara [emoji1787] ( walimu wanaijua hii midude )
Basi nikajipinda nikaandika hayo ma-scheme of works ( plan ya miezi 6 ) na lesson plans, nilivyomaliza nikampelekea.
Akasema poa, nenda kwa Accountant akupe mshahara wako. Nilivyolipwa tu, nitatafuta muda huyo mkuu wa shule hayupo, nikaiingia ofisini kwake nikayaiba hayo scheme of works nikaenda nikayachoma moto halafu nikaacha kazi, nikasepa[emoji1787]. Ilikuwa 2013 hiyo.
Kiukweli mimi kuvumilia dharau nilishashindwa kabisa. Siwezi.
Mimi chuoni nimewahi kumfuata Lecturer ( HoD ) ofisini kwake nikamtukana. Alikuwa ananisumbua sana.
Mimi probably nitakuja kumnyenyekea mtu nikiwa na watoto 6, mmoja ana ugonjwa wa kudumu, nadaiwa kodi ya nyumba, mama ana matatizo.
Hapo nitajitahidi kunyenyekea. Kwasasa nitakuwa muongo. Sitaweza.
Huku ni kuhujumiana afya sasa kwa tamaa ya Pesa du!Dah umenikumbusha mbali sana
Mie nilimaliza chuo bana nikapata kaz kweny hosp fulan pale mwanza, nikaanza kaz kama mwezi mmoja hv nikaanza kulazimishwa kutoa majib ya uongo (yan kama mtu hana malaria nalazimishwa niandike ana malaria ) kusud wauze dawa nikagoma nikawaambia professional haitak hvyoo mie nafanya kama nlivyoo fundishwa .
Nikaambiwa nisihusike na chochote pale kazn niandike barua ya kuacha kaz
Nikagoma pia wakaona mie tatzo ikabid wavunje mkataba wanilipe miez 3 free..
Ila mungu uwa mwema siku zote ukitenda hak nikaacha pale kaz
Baada ya week nikapata kaz sehem nyingne na nikapewa kitengo nisimamie mpk naondoka lile eneo wakawa bado wananihitaji...
Ila kwasasa nafanya vitu vyangu mie kama mie na sitak kuajiriwa
[emoji16][emoji16][emoji3]Kaka acha tu, kuna jamaa aliwahi pesa dawa ambazo hazijui, amekuja kuuliza kwa specialists akaambiwa ni dawa za magonjwa ya Quouma wakati ni mwanaume.
Inategemea na unataka nn kwenye life kama ni mtaji ili ufanye ishu zako nenda private sector.Kama ni unataka uhakika wa kutokufa njaa baki serikalinimm sijawahi kufukuzwa,Ila niliwahi kubembekezwa ni resign nikasita kwa muda mrefu baadae nikaamua kukubali ku resign.Ilikuwa hiv ,baada ya kumalizia tu chuo,nikaingia kitaa kusaka kazi,nikitumia wk 2 kuzurula mtaani na kibahasha changu Cha vyeti, world vision nilifika lkn wakanpa maneno ya kunifarj lkn nikaona hapa bila mtu sipat kaz nikaachana nao,Kama zali wk ya pili nikapewa mchongo Kuna project mpya shirika fulani hv Ina launch iliitwa LEAD project donors wakiwa UK,jamaa Kama masihara wakanichukua kwa mkataba wa miaka 4,ilikuwa 2013yr hiyo,waka nipost mbeya nikagoma,wakanibembeleza wee nikagoma nakumbuka tuligoma vituo watu 2,mm na jamaa mmoja kutoka tanga iliitwa Jonas,siku hiyo walipangiwa wote pamoja na jamaa angu,kasoro mm,wakaniambia Rudi baadae tutakupigia sm nikawaambia poa,kweli nikarudi zangu home,usiku saa tano manager wa mladi akanipigia sm,kuwa wamenipa iringa nikamwambia poa nitaenda,Nika join iringa,nikiwa kule nilikuwa situlii kila mala naingia internet kuchek mashirika mengine,maana nikijua private sector Kuna michezo michafu rafu nyingi.
nikiwa iringa 2014,nafasi za ajira zikatoka govt,fasta nikatuma maombi , interview tuliitwa arusha,mwaka huo nikaajiriwa govt mkoa wa mbeya,wilaya ya kyela,nikawakumbuka wazungu waliokuwa wananibembeleza niende mbeya na LEAD PROJECT,nikaona nimebugi Sana kuwagomea kipnd kile.ss nikawa napga govt na LEAD PROJECT,Ila kwa Siri ,boss wangu kule gvt sikumficha maana nilijua nisipompa mchongo kupga huku na kule itakuwa inshu,uzur boss alikuwa sosho Sana akasema dogo piga kaz usjal,Ila ukiwa unachomoka hapa nipage taarifa,nikamwambia poa .
Sasa baada ya miez 3, LEAD PROJECT HQ,wakasanuliwa na jamaa mmoja tulikuwa nae pale iringa lead project,wakawa Wana nipigia masim kibao ni resign ,nikawakazia ,nilijua hawawez kunifukuza na tayari mkataba nikisha saini.
Niliendelea kupga Kaz huku na huku,Ila kero za masm zilikuwa Mara kwa Mara,wakiniuliza ume saini Kaz govt nawabishia nawaambia hapana ,hakuna kitu Kama hicho,wakiwatuma wakuda waje iringa Kuna jamaa yangu mwngine alikuwa best wa ukweli kwangu,akawa ana nitonya fasta yy alikuwa na ndg yake HQ dar so alikuwa anapata taarifa mapema za project kutoka HQ. Jamaa walichanganyikiwa kweli,kunifukuza hawawezi ,so wakabaki kunipiga saund ni resign.
Siku moja,nikatoka irnga iringa ,kwenda mbeya kazn govt,asbh nikiwa kyela,nikapitiwa sm,kupokea jamaa akajitambulisha yy ni manager kampuni moja inaitwa utravet ,HQ zao ziko Kenya,kwa hapa tz ni Arusha ,akaniambia natakiwa kuripoti Arusha ndani ya siku 3, nisaini mkataba na utravet ,baada ya kusaini natakiwa kwenda Kenya pale Nairobi seminar ya 2wks,akaniambia ulituma email yako tangu mwaka Jana 2013 ,nikamwambia kweli,Basi jamaa akasisitiza hapa huta piga interview yoyote ,wameiona CV yangu hawana haja kunifanyia interview,ni kusaini mkataba na kukwea piga Nairobi kwa seminar,nikirudi Nita manage mkoa wa morogoro na Dodoma,usafr kila ktu poa.
Nikampigia jamaa angu mmoja ,Kama anawajua vizuri hawa utravet ,akaniambia jamaa Kama wamekuita nenda ,wako vzr Sana Tena Sana,Kuna vijipesa vya kipuuzi puuzi kibao .akanipa na contact ya best ake ambae alikuwa bado anapiga nao Kaz mkoa wa mwanza,aise nikabaki sijui Cha kuamua.Niko bado na mkataba na LEAD PROJECT,nimeajiliwa govt ndo kwanza Nina miez Kama 3,huku napewa offer na utravet .
Uhakika uko wazi labda ujitoe ufahamu tu.Tujikite kwenye mada, mifano mingine hatuna uhakika nayo.
Mbona Una povuka bure kila mtu na experience yake bana usitake watu wafanane hyo kitu, hafu kazini superstar wa Nini kwani Kuna kina diamond mule. Hafu majungu sio lazima eti mtu awe juu, mbona hata wafagizi ofisi wanapigwa majungu. Hafu sio kila ofisi watu wanaajiriwa permanent nyingine contract na mda mfupi mfupi ebo.Tatizo mnajishtukia sana..
Nani kakwambia wewe ni so important mpaka wafanyakazi wengine wanaacha kazi zao wanakuangalia umevaa nini leo ili wajenge wivu?
Kuna watu wana ilusions,na hii huenda ikawa ni mojawapo
Wanadamu mnajipa umuhimu sana ambao haupo....
Hizi ndio shida zenyewe mpaka mnafukuzwa
Eti upo na peers wako ambao ni karibu sawa kimishahara na life bracket,eti leo unajipa usuperstar eti wanakuonea wivu "nguo" uliyovaa?
Wote ni middle class,hivi nguo hata uvae ipi kuna any member wa hiyo class uliyoko nao atababaika au akose usingizi eti sababu ya nguo?
Cariha,you are lying here
Emu eleza ulijuaje kwamba jiwe alikua na chuki na MwereUhakika uko wazi labda ujitoe ufahamu tu.
Ni wapi nimesema nimefukuzwa kazi humu humu mbona mnadandia vitu eti tuko same level plus blah blah nyingi zisizo kichwa Wala miguu, hafu na hayo Mambo ya wivu mbona umekazania wivu tu, hivi watu kuchongeana ili mtu kuonekana mwema mbona huwa ni hulka ya mtu. Usinilishe maneno yako unayofikiri kichwani na mabandiko marefu ambayo sijamaliza kusoma ataUnadanganya Cariha
Haiwezekani upo level moja na peers wako,eti wakuonee wivu mpaka wakufukuze kazi sababu ya "nguo"
Acha urongo mwanamke
Na usuperstar naosemea hapa sio wa Diamond my dear,use your brain.........
Ni wewe kujiaminisha kwenye ubongo wako eti wanadamu wale kundi lile pale wananionea wivu eti sababu nimevaa jeans hii,wakati hawajaongea na wewe kukutaarifu hilo
Ni wewe umehisi kwenye ubongo wako unaojipa umuhimu huo ambao infact haupo kwa wahusika wale
Nimekua shocked (wewe unaita paniki which is okay) na namna ya kiasi cha ujinga na lies unachoonesha hapa
Wanakuonea wivu,wamekuambia?
Au ubongo wako binafsi ndio unakuambia?
Self glorifying individuals kama nyie hua wengi wanafukuzwa kazi,mostly...
Mnaonaga kwenye bongo zenu eti its the whole company with its employees against you of which ni lies brewing in your own brain.
Mtazamo wangu maana daily alikuwa anamsema anatumiwa na mabeberu, that's sadist behavior.Emu eleza ulijuaje kwamba jiwe alikua na chuki na Mwere
so na mimi nikiwa na assumption kama zako, naweza sema Mwere alinunuliwa ili atangaze ugonjwa usiokuwepo?
NB: tusiharibu thread ya watu.
Usilo lijua ni sawa na usiku wa Giza naona unapenda ligi kweli.Mshahara is a compensation for your services to the company
We expect highest level of professionalism na sio upumbavu na toxicity.....
"Kukuchongea" is a beneficial act to the company...huwezi fanya upumbavu huko ku-sabotage the company halafu kikifika "mnanichongea"...
You motherfvckers think nyie watu msiotakiwa kuumia ila kampuni ndio iumie,who said that?
You type of workers are useless kabisa
Dah eti you can spot a lies a mile away bila vivid evidence ni kujifuraisha na kujifariji hasa unapotaka Mambo ya wengine yawe ka akilini mwako unavofikiria.I can spot lies a mile away....
Nikufanyie ligi for the sake of it kuna pahala nalipwa au nafaidika na lolote?
Hakuna mtu anafukuzwa kazi pahali bila sababu!