Mm nishafukuzwa kibabe huku mfukoni Nina eflu 2 ya nauli,bank Nina elf 28,na hapo ni ktkt ya mwez,mwisho wa mwez ninatakiwa ada ya mtt private school, nimepewa barua ya kufukuzwa nikasepa,baada ya kuhangaika miez km mitano nikapata kaz mkoa mwingine,kazi ya maana kinyama,mshahara kule nilipofukuzwa ulikua 480k,nikapata kazi ya mshahara 915k take home,baada ya miez mi5 nikarud hom kusalimia,nikaonana na wafanyakaz wenzangu wa mwanzo kule nilipofukuzwa,wengi wanapongeza kuwa eti nimependeza,nimenenepa na kunidadisi nafanya kaz wapi,Mara njiani nakutana na bosi wangu yupo ndani ya gari na wafanyakazi wengine km wa3 HV,bosi akamwambia drv wake asimamishe gar akaniita na kuniuliza eti nafanya kazi gani na wapi?,,Mara eti dah maisha umeyapatia kweli,naona umependeza km vile MD wa kampuni flani HV,nikamjibu nafanya kazi za ndani kwa mama ako kisha nikasepa zangu,.mpuuzi sana yule jamaa,hadi Leo nafanya kazi hapo hapo na mshara umepanda hadi 1.25m,na ki IST nimenunua na mjengo wangu nimemalizia.ukifukuzwa kazi unapata muda mzuri wa kutafuta kazi nzur maana bila hivyo una relax na kikazi ulichonacho na madeni kila kona