Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,139
- 2,488
Ila Afika Bhana
Yaani hakuna tunachokifanya kikaenda smooth. Kiukweli tunahitaji kubadilika sana
Just imagine; unaajiriwa ila boss anakutreat kama mnyama vile.... au from nowhere anakuchukia tu ili mradi kazi ikushinde😁😁
Yaani hakuna tunachokifanya kikaenda smooth. Kiukweli tunahitaji kubadilika sana
Just imagine; unaajiriwa ila boss anakutreat kama mnyama vile.... au from nowhere anakuchukia tu ili mradi kazi ikushinde😁😁