kwetukubaya
Senior Member
- Jun 25, 2022
- 108
- 211
sababu ya kufukuzwa ndani ya siku 6 ni nini Mkuu[emoji1787]nacheka kama mazuri vileNiliajirwa nikafanya kaz siku 6 nikafukuzwa[emoji1][emoji1]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sababu ya kufukuzwa ndani ya siku 6 ni nini Mkuu[emoji1787]nacheka kama mazuri vileNiliajirwa nikafanya kaz siku 6 nikafukuzwa[emoji1][emoji1]
Aiseee mm ualimu Niliona tu nitakuja pata kesi dhidi ya jamhuri nikaachana nao....kufokewa mtoto wa kiume siwezi vumilia,.......Mimi nimewahi kufundisha shule fulani private. Mkuu wa shule alikuwa na mambo ya kiwaki kisenge.
Sometimes, anaweza kukufokea hata mbele ya wanafunzi.
Ikifikia tarehe za mishahara basi ndio kufoka nje nje. Nyumba niliyokuwa nimepewa ilikuwa karibu na ya kwake, so, sometimes washkaji wakija gheto mkawa mnaongea kwa nguvu mnabishana mnacheka, anawaibukia anafoka Walimuu mnapiga kelele kama watoto wa primary[emoji1787]
Nikawa najisemea tu huyu dawa yake iko jikoni.
Kuna wakati tunakaribia kuchukua mshahara, mwisho wa mwezi akawa anafoka, ooh kama hujaandika scheme of work na lesson plans sikulipi mshahara [emoji1787] (walimu wanaijua hii midude.
Basi nikajipinda nikaandika hayo ma-scheme of works ( plan ya miezi 6 ) na lesson plans, nilivyomaliza nikampelekea.
Akasema poa, nenda kwa Accountant akupe mshahara wako. Nilivyolipwa tu, nitatafuta muda huyo mkuu wa shule hayupo, nikaiingia ofisini kwake nikayaiba hayo scheme of works nikaenda nikayachoma moto halafu nikaacha kazi, nikasepa[emoji1787]. Ilikuwa 2013 hiyo.
Kiukweli mimi kuvumilia dharau nilishashindwa kabisa. Siwezi.
Mimi chuoni nimewahi kumfuata Lecturer ( HoD ) ofisini kwake nikamtukana. Alikuwa ananisumbua sana.
Mimi probably nitakuja kumnyenyekea mtu nikiwa na watoto 6, mmoja ana ugonjwa wa kudumu, nadaiwa kodi ya nyumba, mama ana matatizo.
Hapo nitajitahidi kunyenyekea. Kwasasa nitakuwa muongo. Sitaweza.
Amna sababu mkuu.asubui kuna utaratibu wa kwenda kuwasalimia wahindi ofisin wabongo wote muhnd anaitwa happy akaniambia asant kwa kaz yako wakanipa elf 60 hela ya overtime ikawa imeisha.sababu ya kufukuzwa ndani ya siku 6 ni nini Mkuu[emoji1787]nacheka kama mazuri vile
hiyo RETRENCHMENT itakuwa ulikuwa kwa wale wahuni wa MOBISOL Arusha,wao kazi yao ni ku-retrench wafanyakazi na kuajiri wapya kila siku wakati biashara yenyewe ya Sola haina mbele wala nyuma,ndio maana wanaibiwa kila sikuKazi yangu ya kwanza nili resign mwenyewe ,kazi ya pili nilifutwa kbsaa ,kazi ya tatu nikapipgwa redundant ,kazi ya nne nikafutwa kazi ya tano retrenchment [emoji23][emoji23] kazi ya saba wala siajaga nilijiondokee tu mwenyewe kwa mchinaaa
Maisha ya kufutwa kazi zlnimeshazoea haswaa
Eti nafanya kazi za ndani kwa mama yako. Kuna watu wamechefukwa asee.Mm nishafukuzwa kibabe huku mfukoni Nina eflu 2 ya nauli,bank Nina elf 28,na hapo ni ktkt ya mwez,mwisho wa mwez ninatakiwa ada ya mtt private school, nimepewa barua ya kufukuzwa nikasepa,baada ya kuhangaika miez km mitano nikapata kaz mkoa mwingine,kazi ya maana kinyama,mshahara kule nilipofukuzwa ulikua 480k,nikapata kazi ya mshahara 915k take home,baada ya miez mi5 nikarud hom kusalimia,nikaonana na wafanyakaz wenzangu wa mwanzo kule nilipofukuzwa,wengi wanapongeza kuwa eti nimependeza,nimenenepa na kunidadisi nafanya kaz wapi,Mara njiani nakutana na bosi wangu yupo ndani ya gari na wafanyakazi wengine km wa3 HV,bosi akamwambia drv wake asimamishe gar akaniita na kuniuliza eti nafanya kazi gani na wapi?,,
Mara eti dah maisha umeyapatia kweli,naona umependeza km vile MD wa kampuni flani HV,nikamjibu nafanya kazi za ndani kwa mama ako kisha nikasepa zangu,.mpuuzi sana yule jamaa,hadi Leo nafanya kazi hapo hapo na mshara umepanda hadi 1.25m,na ki IST nimenunua na mjengo wangu nimemalizia.ukifukuzwa kazi unapata muda mzuri wa kutafuta kazi nzur maana bila hivyo una relax na kikazi ulichonacho na madeni kila kona