Tuliowahi kufukuzwa kwa watu/kwa ndugu tukumbushiane ilikuwaje

Tuliowahi kufukuzwa kwa watu/kwa ndugu tukumbushiane ilikuwaje

Nakumbuka ilikuwa Dar mitaa ya Sinza Vatican, nilimtembelea ndugu yangu, asee jamaa alikuwa mkorofi balaa. Akirudi toka kazini lazima aguse li TV lake la uchogo, kama limechemka huo moto wake hata kwa gari la zima moto hauzimiki!!

Siku ikipikwa nyama anahesabia jikoni. Mkishakula lazima ahesabu zilizobaki.

Vitimbi vilikuwa vingi na alikuwa anatusurubu ka vile si ni wafungwa!! Siku moja nilitoka nduki kali, sikuwahi kurudi huu ni mwaka wa 11.

Nilipofika home mkoani nilimsimulia mama, siku hiyo alinipikia kilo nzima ya wali, akapakua kwa sinia kubwa na juu kasimika bakuli kubwa la nyama za kuku! Nilivua shati kuanza kutupia nyali tumboni huku nikijisemea, "ewe ndugu mchoyo wa Dar, njoo uhesabu minyama inayoshuka tumboni"
Haaaaa
 
KUNA TWO SCENARIOS!
Baada ya wazazi kufariki, mimi na mdogo wangu tulichukuliwa na baba yetu mkubwa!
Life wasn't tht okey but Yatima hadeki ujue! maisha yakasonga!
Siku moja ilikuwa mkesha wa pasaka, mdogo wangu na watoto wa baba yangu mkubwa (walikuwa wakubwa zaidi yangu)
Wakaenda kanisani mkesha! mi nilikuwa naumwa sikutaka kusali usiku.
Walikuwa wadada watatu,Mmoja akaona ndio wakati wa kwenda kuchachua ,wanarudi nyumbani bila yeye!
Baba yangu mkubwa anamfokea mdogo wangu(ninayemzidi miaka 5, anaaambiwa arudi alikotoka na asirudi mpk atakapompata yule asiyerudi home). Yule baba alifunga mlango ,nje bariki kali nyumba ipo milimani flan hvi!He was asthmatic, hata kama asingekuwa asthmatic ,how on earth unamwambia mwingine asilale mpk aliyeenda kwenye starehe zake arudi!
Nilikaa ndani kama nusu saa hivi nikiwa nalia!
Nilipotoka nilienda subeleni unapokaa funguo haukuwepo!means ameingia nao kulala!
Nilliingia jikoni nikachukua shoka lile nafikir ,Nililinyanyua juuu kushuka chini kishindo kiliamsha mpk sisimizi!
wakaamka, ananitishia kunipiga!NIKAMWAMBIA NEXT STEP AFTER WHERE YU ARE NAKUPASUA!

nilifunguliwa mlango nikamfuata mdogo wangu alipo nikamwingiza ndani!
kesho yake asbh kabla hajasema ondoka au baki nilikuwa nje na mabegi na mdogo wangu namwambia tunarudi kwenye nyumba ya wazazi!

2. Huko kwenye nyumba ya wazazi alikuwepo mama yetu mdogo na wanae!
NAKO MAISHA YALIKUWA YA KIWEHU TU KWA DOGO!!
huko nilifukuza mimi!
Nikamwambia unajua nini, HII NYUMBA NI YA MAMANGU, isingekuwepo wewe ungekuwa unalipa kodi!
SASA FANYA HIVI!
NAENDA KUMALIZA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA! nikirudi uwe umetafuta pa kukaa!
ilikuwa ni likizo ya mwezi wa nne ,pepa ya necta mwezi wa tano!
Niliporudi nilimkumbusha!
MPAKA KESHO I AM THE LAST PERSON KWENYE FAMILIA KUAMBIWA TAARIFA YOYOTE INAYOHITAJI MAAMUZI YA PAMOJA
Duh mkuu story yako inasisimua sana, especially kwenye kisa cha kwanza
 
Nakumbuka ilikuwa Dar mitaa ya Sinza Vatican, nilimtembelea ndugu yangu, asee jamaa alikuwa mkorofi balaa. Akirudi toka kazini lazima aguse li TV lake la uchogo, kama limechemka huo moto wake hata kwa gari la zima moto hauzimiki!!

Siku ikipikwa nyama anahesabia jikoni. Mkishakula lazima ahesabu zilizobaki.

Vitimbi vilikuwa vingi na alikuwa anatusurubu ka vile si ni wafungwa!! Siku moja nilitoka nduki kali, sikuwahi kurudi huu ni mwaka wa 11.

Nilipofika home mkoani nilimsimulia mama, siku hiyo alinipikia kilo nzima ya wali, akapakua kwa sinia kubwa na juu kasimika bakuli kubwa la nyama za kuku! Nilivua shati kuanza kutupia nyali tumboni huku nikijisemea, "ewe ndugu mchoyo wa Dar, njoo uhesabu minyama inayoshuka tumboni"
Duh mkuu umenichekesha sana

Huyo ndugu yako alikiwa kimeo sana
 
Miaka kama 20 imepita,ila NAKUMBUKA EVERY INCH PART OF IT!!

huyo mdogo wangu mnyang'anye mke atakuachia!!
Ila mguse dadake anaweza akufanye mshkaki
 
Nahisi naweza kuja kutoa posa kwenu nikuchukue uko vzr
hhahahhahahhaha nimeshaolewa mkuu!
Njoo uoe binti zangu!!
Ila ujipange!!
Vya kurithi huzidi Mara dufu!
Although am the coolest person ever!!
Ila kuna mipaka ukivuka nakuharibu sura!!
Sipendi hii aina ya hasira na naweza hesabu nimefikia Mara ngapi in life!!
 
Mimi ni sister!
Umeongea nimekumbuka nilivolazimika kuingia ndani na kumfukiza na maji baada ya kuingia ndani!
Baridi la saa saba usiku NYUMBA iko mlimani hivi!!/
Aseeh acha!!
 
Hongera may be bila misimamo yako msingefika mbali
hhahahhahahhaha nimeshaolewa mkuu!
Njoo uoe binti zangu!!
Ila ujipange!!
Vya kurithi huzidi Mara dufu!
Although am the coolest person ever!!
Ila kuna mipaka ukivuka nakuharibu sura!!
Sipendi hii aina ya hasira na naweza hesabu nimefikia Mara ngapi in life!!
 
Maza ndogo alisepa ama ulimwonea huruma.
Ilibidi asepe!!
Mi sikujiunga na CHUO kikuu staigh ikabid nianze kazi ili nimsomeshe dogo na kupata hela ya kula!!
ALIPOSOGEA NA SHULE NDO NIKARUDI CHUO!!
 
Nakumbuka ilikuwa Dar mitaa ya Sinza Vatican, nilimtembelea ndugu yangu, asee jamaa alikuwa mkorofi balaa. Akirudi toka kazini lazima aguse li TV lake la uchogo, kama limechemka huo moto wake hata kwa gari la zima moto hauzimiki!!

Siku ikipikwa nyama anahesabia jikoni. Mkishakula lazima ahesabu zilizobaki.

Vitimbi vilikuwa vingi na alikuwa anatusurubu ka vile si ni wafungwa!! Siku moja nilitoka nduki kali, sikuwahi kurudi huu ni mwaka wa 11.

Nilipofika home mkoani nilimsimulia mama, siku hiyo alinipikia kilo nzima ya wali, akapakua kwa sinia kubwa na juu kasimika bakuli kubwa la nyama za kuku! Nilivua shati kuanza kutupia nyali tumboni huku nikijisemea, "ewe ndugu mchoyo wa Dar, njoo uhesabu minyama inayoshuka tumboni"
Haaaaaaa daah mkuu umetishaaa
 
Mkuu poleee sanaaaa!! Pia siyo vibaya mkuu ukatushirikisha tukajifunza
Siku tunafukuzwa kwa ndugu tena mvua ikinyesha siwezi sahau alituambia "MNAKULA KUKU KWA MRIJA SODA KWA UMA" tulihamia kwnye chumba kimoja, tukawa na kitanda kimoja hakifai hata kulala watu wawili ila mm na ndugu yangu tukawa tunabanana hapo, mama analala kwenye mfuko wa sandarusi chini....!! ngoja niishie hapa.

MUNGU HUYU SI ATHUMANI Leo nimekuwa mtu kwenye watu.
 
Haha Mimi enzi za utoto wangu nikienda kwa ndugu nikiona treat tofauti na hom. Wakati wa kupata dinner natoa live tu "kesho nasepa na sitaki kurudi tena kwenu" nkawa najua Mimi ni rude boy ila nashangaa adi vacations za Disney land npo kwenye list. Am not very social, huwezi ata kuniambia nishike ufagio.. I just sleep and stay in my room..nacheza video games yani na tabia zote zinazofanya ugumu kuishi na Mimi . I just know am lucky ..
 
KUNA TWO SCENARIOS!
Baada ya wazazi kufariki, mimi na mdogo wangu tulichukuliwa na baba yetu mkubwa!
Life wasn't tht okey but Yatima hadeki ujue! maisha yakasonga!
Siku moja ilikuwa mkesha wa pasaka, mdogo wangu na watoto wa baba yangu mkubwa (walikuwa wakubwa zaidi yangu)
Wakaenda kanisani mkesha! mi nilikuwa naumwa sikutaka kusali usiku.
Walikuwa wadada watatu,Mmoja akaona ndio wakati wa kwenda kuchachua ,wanarudi nyumbani bila yeye!
Baba yangu mkubwa anamfokea mdogo wangu(ninayemzidi miaka 5, anaaambiwa arudi alikotoka na asirudi mpk atakapompata yule asiyerudi home). Yule baba alifunga mlango ,nje bariki kali nyumba ipo milimani flan hvi!He was asthmatic, hata kama asingekuwa asthmatic ,how on earth unamwambia mwingine asilale mpk aliyeenda kwenye starehe zake arudi!
Nilikaa ndani kama nusu saa hivi nikiwa nalia!
Nilipotoka nilienda subeleni unapokaa funguo haukuwepo!means ameingia nao kulala!
Nilliingia jikoni nikachukua shoka lile nafikir ,Nililinyanyua juuu kushuka chini kishindo kiliamsha mpk sisimizi!
wakaamka, ananitishia kunipiga!NIKAMWAMBIA NEXT STEP AFTER WHERE YU ARE NAKUPASUA!

nilifunguliwa mlango nikamfuata mdogo wangu alipo nikamwingiza ndani!
kesho yake asbh kabla hajasema ondoka au baki nilikuwa nje na mabegi na mdogo wangu namwambia tunarudi kwenye nyumba ya wazazi!

2. Huko kwenye nyumba ya wazazi alikuwepo mama yetu mdogo na wanae!
NAKO MAISHA YALIKUWA YA KIWEHU TU KWA DOGO!!
huko nilifukuza mimi!
Nikamwambia unajua nini, HII NYUMBA NI YA MAMANGU, isingekuwepo wewe ungekuwa unalipa kodi!
SASA FANYA HIVI!
NAENDA KUMALIZA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA! nikirudi uwe umetafuta pa kukaa!
ilikuwa ni likizo ya mwezi wa nne ,pepa ya necta mwezi wa tano!
Niliporudi nilimkumbusha!
MPAKA KESHO I AM THE LAST PERSON KWENYE FAMILIA KUAMBIWA TAARIFA YOYOTE INAYOHITAJI MAAMUZI YA PAMOJA
Salute kwako. [emoji106][emoji123]
 
Daaah mkuu pole sanaaaa but hongeraa kwa kusamehe pia
Sie tupo wawili mimi ni mdogo wangu wakike mzee baada ya kuzaliwa tu miaka mitatu baadae akamtelekeza bumkubwa,siyo wa sabuni wala chupi,wakati huo bimkubwa akiwa hana nyumba wala kazi yoyote bali akiuza tu tuvitenge na shuka za kigoma,huku akiwa anaumwa ugonjwa wa sicle cell,ambao ilikuwa kila week lazma apigwe chupa za damu,the best moment ambayo sitaisahau katika maisha yangu ni kumbeba mama yangu mgongoni kwangu na kumpeleka hospitali hata usiku wa manane na kumrudisha enzi hizo ilikuwa gari mkoa mzima hazifiki hata 100 kwa idadi.vijibiashara vyake mwwnyewe akawa hivyo hvyo pamoja na kupata sent ndogo ndugu zake wakawa wanawaleta watoto zao akae nao na yeye alikuwa ni mtu wa watu akawa anaishi nao kama watoto zake nakumbuka hata nguo za skukuu walikuwa wanaanza kununuliwa wao the ndo sie tunafata,kimbembe kinaanza baada ya bumkubwa kufariki kwa sicle cell,hivyo kutufanya kulelewa na ndugu zake.nakumbuka wenyewe tuko shule ya msingi tunabebeshwa mgongoni wajukuu wa mtoto wa mama yangu mdogo mgongoni,kila wakija asubuhi na kuwarudisha nyumbani kwao jioni,kwenye chakula wao watakula chipsi kinachobakia(makombo ndo mnapewa nyinyi),na hata upande wa nguo ile nguo ambayo wameshaivaa na kuichoka ndizo ambazo huwa tulikuwa tunapewa.mme mtu alikuwa ni full kutufokea hata kama hakuna kosa tulikula msoto hadi pale nlipofika form 6 nikiwa nasubiria matokeo dogo akiwa form 5.wakati huo mme wa mamdogo akiwa na ugonjwa wa kisukari.basi akawa anaendelea na visa vya kila namna huku kunamda unamskia akimfokea mke wake atufukuze wakiwa chumbani wenyewe,but hakuwahi kutuambia face to face sababu alikuwa hana,inshort nlikuwa mpole mno na nisie na makuu japo wenzangu walisoma shule za bei ghali sie tukasoma kayumba,shule ambayo tulikuwa tunanunuliwa shati 2 kwa mwaka na suruali na sketi moja kwa mwenzangu.basi kuna siku nimechelewa kurudi mida kama ya saa 3,dah basi alinifokea na kunitukania mno mpka mama yangu,kiukweli moyo uliniuma kama unachomwa na moto wa koroboi maana nlikuwa naambiwa mpka kamtafute mama yako na baba yko,dah basi ilivyofika asubuhi nikaondoka,mungu alikuwa upande wangu kufika mida ya mchana bodi ya mkopo waktoa majina nami nkiwemo basi kuna dalali nlikuwa nafahimana nae nkamwelezea yote ikatafutwa nyumba nkàpta chumba na baraza kwa elf 30 wakati huo,yule mzee alinipa mwezi niwe nmeshalipa,basi sku hyo hyo nkahamia maana dalali alinkopa hela kidogo,then nkamfata ndugu yangu maisha yakaanzia hapo tukiwa tunalala kwenye vijigodoro mungu alitusaidia tukafungua vijiabishara vyetu mwisho wa siku tuko hapa now kila mtu na familia yake na kazi pia,japo mzee yule alikatwa mguu huwaga naendaga kumuona mara moja kwa miez mitatu hadi mi 4 na kila tukienda huwa analia mno kwa kujutia alotufanyia maana ni mengi mno japo mengne sikuyaelezea ,na ukiangalia wale watoto wenzetu walokuwa wanasoma international now wanashinda kwa kubeti tu mjini.
My advise kwa vijana unapokaa kwa mtu kaa kwa malengo ya mda mfupi uondoke usiseme unapokaa kwa mtu et kwenu hapana tafuta kwako mapema kwani ipo sik watakuchoka tu
Jerybanks
 
Haaaaaaaaaa mkuu nimesharijuaaaa
Kuna jitu flani lilisomeshwa na dingi kuanzia nursery school mpaka saivi limefikia ngazi ya uprofesa . Ni mmoja wa madean wa colleges pale udom , Kuna kipindi likawa linajifanya uzungu mwingi halitaki interaction na watu.. Lilikuja kupata pigo moja takatifu ikabidi limrudie dingi kumpigia magoti.
 
Nakumbuka ilikuwa Dar mitaa ya Sinza Vatican, nilimtembelea ndugu yangu, asee jamaa alikuwa mkorofi balaa. Akirudi toka kazini lazima aguse li TV lake la uchogo, kama limechemka huo moto wake hata kwa gari la zima moto hauzimiki!!

Siku ikipikwa nyama anahesabia jikoni. Mkishakula lazima ahesabu zilizobaki.

Vitimbi vilikuwa vingi na alikuwa anatusurubu ka vile si ni wafungwa!! Siku moja nilitoka nduki kali, sikuwahi kurudi huu ni mwaka wa 11.

Nilipofika home mkoani nilimsimulia mama, siku hiyo alinipikia kilo nzima ya wali, akapakua kwa sinia kubwa na juu kasimika bakuli kubwa la nyama za kuku! Nilivua shati kuanza kutupia nyali tumboni huku nikijisemea, "ewe ndugu mchoyo wa Dar, njoo uhesabu minyama inayoshuka tumboni"
 
Miaka iliyopita niliwahi kuishi kwa baba anguu mkubwa kiukweli baba angu alikuwa ni mtu mwenye roho nzuli sana ya kupenda ndugu ila tuu mke wake hawakuwa na roho nzuliii.

Nakumbuka nilivyokuwa mtoto wakati naishi mke wake na watoto wa ba mkubwa walikuwa wananifanyia vituko vya kila aina ilifika hatua walinigeuza kama mfanyakazi wa ndani haikuishia hapo kila siku ya mungu nilikuwa mtu wa kubambikiziwa kesi mara hivi mara vilee mara umeiba umeiba kile ilifika hatua nilifukuzwa kama mbwaa wakidai mimi ni mwizii na mdokozi iliniuma sana.

Lakini waswahili husema maisha ni safari ndefu baada ya kupambana na maisha nashukuru leo hii nina kazi yangu nina maisha yangu wale ndugu.

Lakini pia nashukuru mateso na manyanyaso toka kwa ndugu na mama mkubwaa kwa maana ule uchungu wa kunyanyaswa ulinifanya nipambane na maisha
 
Back
Top Bottom