Tuliowahi kufukuzwa kwa watu/kwa ndugu tukumbushiane ilikuwaje

Nikikua likizo kwa ndugu sasa bahati mbaya siku nikasahau sijui ndo kupitiwa sikumsalimia asubuhi akanambia niondoke kwake yaan nilishangaa sana. Na siku zote nlikua namsalimia
Huyo atakua na matatizo yake binafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…