Tuliowahi kujamba ushuzi mkali wa kunuka kwenye halaiki ya wa tukutane hapa

Mkuu umeandika uzi wako katika lugha ya picha

Yaani naliona tukio zima mpaka nimeziba pua

Khaaaa
 
Mkuu umeandika uzi wako katika lugha ya picha

Yaani naliona tukio zima mpaka nimeziba pua

Khaaaa
Mh [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]aiseeeeeh
 
Nipe ubuyu wa mwandishi wa Habar na uso kupindaaa
waambiwa NN Alipost pictr che white kapiga pictr yupo kwao mlango wanyumba unayale makufuri Yale hahaaa cwayajua daaahhh palikuwa hapatoshi aiseee ..peoples sasa
yaani hata mlango wenyew kama wa zizi LA ng'ombe then unakuja kujishauwa huku JF...basiii dinazarde alifurahi mnooo siku hiyo ...siwajua tena yule ni simba na yey ni yanga ..wacha amawage povu ..hahaaa


aiseee ngoja ni back kwenye mada ....USHUZI UNANUKA AISEEEE
 
dah umenikumbusha mbali mwaka 2007 nilipanda tren daraja la 3 kutoka mwanza kwenda dar es salaam,kuondoka mwanza tulikuwa wachache badaye kufika fika maeneo ya kwimba,shinyanga watu wakaanza kuongezeka yani treni ilijaa hadi sehemu ya kupita ni shida-safari hiyo ilikuwa na vijambo ambavyo sijawahi kuona maishani.
yani utadhani yalikuwa mashindano ya vijampo
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1]

Gwe mundu gwa Kyara ugwe

Umenivunja mbavu aise.
Hahaaaaaa gwe gwa kukaja findu fikafu kumitu siku jila vandu asekile viiijo unkulumba jula Kyala akummbona fijo... hahaaaa nabahatisha tuuu me mnyalu jamani.
 
Hahahaha wacha tunyambeeee tu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13]
 
Hahaaaaaa gwe gwa kukaja findu fikafu kumitu siku jila vandu asekile viiijo unkulumba jula Kyala akummbona fijo... hahaaaa nabahatisha tuuu me mnyalu jamani.
Ha ha ha ha, me mwenyewe sikijui deep kihivyo.

Po kujobela unkulumba jupi??? Undekile pa kifigoo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…