Tuliowahi kujamba ushuzi mkali wa kunuka kwenye halaiki ya wa tukutane hapa

Tuliowahi kujamba ushuzi mkali wa kunuka kwenye halaiki ya wa tukutane hapa

nashiba sana mkuundugu,asubuhi naamka kabla ya mswaki nakula papai moja na nanasi zima,napenda sana maziwa mgando...nagonga nusu lita kisa natulia saa mbilimbili ndio nakunywa chai ya maziwa na magimbi na viazi vitamu,nakaa kidogo napiga tikiti na uji wa ulezi ndio naingia kazini.....saa saba hivi nanyorosha ugali na mlenda wa maharagwe,napiga tena maziwa mgando nashushia na koka mbili take away bariiiiiiiidiiiiiii,muda wote nikiwa loose huwa natafuna karanga zangu na korosho sina habari na mtu....
Ukiingia chooni masaa mawili unapakua tu.
 
Wadau,leo nimeona nielezee kisa hiki kilichonikuta kwenye basi nikitoka mbeya/tukutu kwenda dsm.

picha linaanzia hapo natoka zangu nyumbani,ilikuwa safari yangu ya kwanza kuja dam kujiunga na chuo cha duce baada ya kumaliza masomo yangu ya advance.

kwakua sikua na wa kusafiri nae basi niliamua kusafiri mwenyewe baada ya kupewa maelezo ya kutosha na braza wa kijijini kwetu ambaye yeye alikuwa mwaka wa pili udsm.

basi bwana kama unavojua sisi wanyaki,siku moja kabla ya safari ulikuwa ni mkesha wa kuniaga,nyumbani kulifanyika mkusanyiko kidogo wa ndugu hasa wajomba na mshangazi,kila mmoja akaleta cha kuleta nyama za kuchoma,viazi vitamu na mviringo,maziwa freshi,maziwa mgando,unga wa ugali,mchele,maharagwe na kunde,pilipili n.k vitu vilipikwa mkesha ukakaliwa ukaisha.

usiku ule nilikula sana,nilivimbiwa kwa kifupi,sasa kimbembe kikawa asubuhi,ile saa kumi na mbili naamka mara tumbo likaanza kuvuruga kama utani,nikajua hapa tayari safari yangu imeingia mdudu,sababu najuaga nini kitatokea...basi bwana nikaenda chooni nakuta hola ila tumbo linanguruma as if kuna mtu anakoroga vitu kwa ndani.

muda wa kupanda gari letu kyela express ukafika,nikapanda kiujasiri japo bado tumbo linavuruga,nikiwa na akiba yangu ya viporo vya vyakula vya jana...nikafika uyole nikajiongezea akiba kidogo ya aepo na soda.

kwenda weeeee kufika mbele kuna mbaba huwa anauza kababu na kashata kwenye magari ya mbeya dsm ni maarufu sana,nikagonga kashata zangu na bagia,nikashushia na maziwa mgando,nikanywa soda ya spaleta baridi na epo zangu tatu,kufika makambako nikanywa maziwa yalikuwa kwenye kopo,nikashushia na maji...nikawa taratiiiibu nafikicha karanga narushia mdomoni kwa mbwembwe flani za kisela....

sijui nini kilitokea lakini nikahisi tukiwa maeneo ya misitu ya sao hill...tumbo ghafla lilijaaaa kama limejazwa upepo hivi,nikajua tu hapa leo siyo salama,mimi nikajinyanyua kidooogo ile kisailensa,nikapanua mguu mmoja katika style ambayo hakuna aliegundua..then nikaanza kuiachia ile hewa sasa ili itoke huku nikisikia uafadhali wa hali ya juu tumboni...

basi bwana,tukio lilidumu kwa muda kama wa dakika mbili hivi ile hewa inatoka tu,inatoka tu...baada ya sekunde kama kumi hivi nikaanza kuhisi utulivu wa watu kunizunguka unapungua,kuna mtoto mchanga alikuwa pembeni alipiga chafya moja kali sana,kali sana,basi wakaanza kufungua madirisha na kupeperusha magazeti hivi na vitabu,sasa ikawa ni basi zima wakahisi labda kuna kitu kimeoza.

muda ote huo mnyambala nawachora tu wanavohangaika na vitu vidogo tu hivi....

nasikia ule ushuzi ulikuwa na half life ya dakika 5 (kwa waliosoma radioactivity)

sasa wale waliowahi kufanya tendo hili la kishujaa kwenye halaiki waweke ushuhuda wao hapa ilikuwaje.....
We kijana ni hatari mno,hakika ulifanikiwa kuunda micro nuclear weapons bila kuwa na leseni. It's real funny ,nimecheka haswaa
 
We kijana ni hatari mno,hakika ulifanikiwa kuunda micro nuclear weapons bila kuwa na leseni. It's real funny ,nimecheka haswaa
mkuu umeamua kufukua kaburi...[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
daaah hii kitu cha yusufu kilinikuta wakati mbaya tupo tunacheza dats kwa wanyakyusa huko ghafla tumbo likavurugwa baada ya kupiga smirnof na Zanzi. Mwanawane kiliniponyoka cha kimya kimya broo wangu mmoja Mnyaki nikamsikia anaguna kinyakyusa Mweeeeee "Muundu awolile" maana yake ' mtu kaoza'. hahahaaa ilikua hatari sana .
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Kuna ile style ya kunyambaaaa ushuzi unapita kwenye papuchi kama tetemeko la ardhi mashavu yote yanatikisika prappapapapaprupuuuuuprapapapapapraaa
Hahaahaaaaa,hakika huu uzi noma mno hasa hilo tetemeko la bonde la ufa[emoji3]
 
mkuu umeamua kufukua kaburi...[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hatari iliyosalama mkuu yaani nipo kikaoni nimecheka mpaka jamaa kaniuliza nini tatizo. Related story kuna wakati nimetoka zangu dar-moro ndani ya hood,kuna Dada madaido kibao ndani ya miniskirt matata kashikilia castle za kopo anabwia moja baada ya nyingine. Picha linaanza maeneo ya eneo moja nadhani bwawani bidada kamfata konda apate huduma ya kuchimba dawa ,kasheshe ni hood ikawa inafukuzana na abood basi Dada akaambiwa hatusimami eneo hili kuna ajali nyingi. Dada ndani ya dk tano valve kazibana mpaka mwisho hola Mara sura ikawa nyekundu ameiva haswaa angeuka angle zote zinazofahamika hapa duniani. Baada ya dk kumi gari ikasimama achimbe Dada daah anasimama makalio yamelowa na alishuka kichwa chini kama kuku wa kideli. Baada ya shughuli Dada akamwambia konda tuondoke tu sasa sijui alifanyaje na mpaka siku hiyo nimepata fundisho sio vema kula na kunywa hivyo ukiwa safarini
 
Hahahah mkuu itakua kuna mtu alikunya
dah umenikumbusha mbali mwaka 2007 nilipanda tren daraja la 3 kutoka mwanza kwenda dar es salaam,kuondoka mwanza tulikuwa wachache badaye kufika fika maeneo ya kwimba,shinyanga watu wakaanza kuongezeka yani treni ilijaa hadi sehemu ya kupita ni shida-safari hiyo ilikuwa na vijambo ambavyo sijawahi kuona maishani.
yani utadhani yalikuwa mashindano ya vijampo
 
Kituko kilikuwa katika maaliko bana
Tumejipinda hapo kwenye sinia za pilao kila sinia moja watu wa4 hadi wa5
Pembeni Mashehe wamo na vibaragashia vyao,nilikuwa na best wangu pale tunakula kwa bahati mbaya bana akauachie ule ufuzi uitwao”Yusssuuuufff”(Silencer)
Ebanae ile harufu ilipoanza kutoka kila mmoja macho kwetu,unajua bora ujambe sauti itoke hio huwa haitemi saana cheche kuliko ule wa kujamba kimyakimya,huo huwa ni noma kwa harufu[emoji3]

Ikabidi mimi nizugishe kuwaambia watoto walikua pembeni yetu na kasinia kao wanakula
Kwa ukali nikasema”NYINYI WATOTO MNAKOSA ADABU AU”
Huku macho ya watu yanatutazama sisi
Bana kakaibuka kazee kamoja na kibaragashia chake kakapayuka kwa nguvu na kusema
“NINI,,!!!!!USIWAZINGIZIE HAWA WATOTO MJAMBAJI NI HUYU HAPA”
Hako kazee kanaongea huku kanamsonta mshikaji kichwani[emoji3][emoji3]
Mamamamamama,!!!!nlishindwa kuvumilia nlipomcheki jamaa
yangu badala ya kujitetea ati anaangalia chini tu
Hapo nilicheka hadi kupaliwa na chakula[emoji3][emoji3]
Aseee hio sintoisahau
Kila nkifikria kale kazee bana kalivoinuka na kusimama watu wote tulikuwa tumekaa kwenye mikeka kanamsonta mshkaji kwa kidole huku vidole vingine vimeibana nyama kiaina[emoji3][emoji3]
Hahahhaa [emoji23][emoji23][emoji23] mkuu ulikua usicheke mkomae tu
 
Wakati tunasoma nikiwa na Pascal Mayalla darasa moja, siku moja tukiwa kwenye hice Pascal aliachia ushuzi mmoja matata hadi Dereva akasimamisha gari kwa muda na kuwaruhusu abiria wapunge hewa kwa dakika tano.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
nashiba sana mkuundugu,asubuhi naamka kabla ya mswaki nakula papai moja na nanasi zima,napenda sana maziwa mgando...nagonga nusu lita kisa natulia saa mbilimbili ndio nakunywa chai ya maziwa na magimbi na viazi vitamu,nakaa kidogo napiga tikiti na uji wa ulezi ndio naingia kazini.....saa saba hivi nanyorosha ugali na mlenda wa maharagwe,napiga tena maziwa mgando nashushia na koka mbili take away bariiiiiiiidiiiiiii,muda wote nikiwa loose huwa natafuna karanga zangu na korosho sina habari na mtu....
MKUU UNATENGENEZA BOMU TUMBON
 
Sio hunyamagi ni hujambagi??
Kuna tofauti ya kujamba na kunyamba ndugu

Kujamba ni ile kawaida kutoa hewa chafu ya ukaa ikiambatana na mlio unaotokana na mtetemo wa puru.

Kunyamba ni kuachia hewa ya ukaa kimyakimya bila sauti(silencer),hapa puru halitoi sauti bali kinachotoka ni ile hewa chafu tu ya ukaa ikiambatana na harufu kali sana mfano wa muunganiko wa madampo kumi na saba.

Pia kunyamba kunaweza kufanya mtu azimie kwa muda baada ya kuvuta hewa pia kuna mahala inaweza kukufanya upauke ngozi ukikatishe eneo la tukio.
 
,nikagonga kashata zangu na bagia,nikashushia na maziwa mgando,nikanywa soda ya spaleta baridi na epo zangu tatu,kufika makambako nikanywa maziwa yalikuwa kwenye kopo,nikashushia na maji...nikawa taratiiiibu nafikicha karanga narushia mdomoni kwa mbwembwe flani za kisela....
Hivi unawezaje kula vyote hivi safarini, au ndo wanyaki mlivo?
 
Back
Top Bottom