Alimuuliza kwa nini filosofia ya ujamaa na kujitegemea imekufa ?Mimi nitakuwa nafsiri [emoji14][emoji14]
Mfano hapo juu[emoji115] umemuuliza hivi;
Kwanini kwanini anapenda philosophy ya ujamaa na kujitegemea?
Ni kifo!
Uliipatia hapa bongo?Nina diploma ya french language. DELF C2.
Nyuma ya koo ulimi unarudisha ndani. Ni herufi ngumu kupita zote. Ikifuatiawa na U.Kuna kazi pia hapa e,é na è.[emoji23][emoji23][emoji23] How do you pronounce "R"?
inaonekana uko vizuri
Hapana,niliipatia ivory coast .Uliipatia hapa bongo?
Ok me ninajifunza nina mweziHapana,niliipatia ivory coast .
Hivi hakuna watu wanaishindwa kutamka, na wanaitamka kawaida... Mimi nimeshindwa kutamkaNyuma ya koo ulimi unarudisha ndani. Ni herufi ngumu kupita zote. Ikifuatiawa na U.Kuna kazi pia hapa e,é na è.
Huwezi kushindwa. Ingawa hautaitamka kama mtu aliezaliwa na kukulia France. Ila utaeleweka.Hivi hakuna watu wanaishindwa kutamka, na wanaitamka kawaida... Mimi nimeshindwa kutamka
Bon courage. Tout est possible. Ne lâchez rien.Ok me ninajifunza nina mwezi
Comment vous appelez-vous ?Wakuu,
Nilijifunza kifaransa na nikawa mzuri mno, ila kwa sasa nimesahau karibu mambo mengi mno tatizo likiwa ufinyu wa wazungumzaji hivyo nikashindwa kukuza lugha.
Tuliowahi kujifunza hii lugha, karibuni.
Bonjour ?? sava??
Je t'aime Victoire!Bon courage. Tout est possible. Ne lâchez rien.
FelicitationsNina diploma ya french language. DELF C2.
Moi aussiNina diploma ya french language. DELF C2.
Parles tu francais n'importe ouBon courage. Tout est possible. Ne lâchez rien.
N'ayez pas peurOk me ninajifunza nina mwezi
Félicitations.Moi aussi
Merci,c'est vraiment gentil de ta part.Felicitations
Vous êtes en quel niveau ?Je Suis étudiante de français coursé
Moi pareillement.Je t'aime Victoire!