Tuliowahi kukamatwa ugoni tukutane hapa

Tuliowahi kukamatwa ugoni tukutane hapa

2017,mdogo wenu Kilwa94 almanusura nidakwe na shemeji yenu.Ipo hivi nilivusha mchepuko home wakati huo shemeji yenu mkubwa(mchepuko wa kudumu) alikuwa kazini,basi bana kumbe majirani waliniona wakati navusha hivyo wakamtaarifu shemeji yenu(mchepuko wa kudumu) ambaye alikuwa zake huko town kazini.Basi bana mi sijui hili wala lile nipo bize na mtoto wa watu tunakula mate huku namchomoa nguo moja moja.Mara nasikia mlango unagongwa,nikaenda kufungua nikamkuta shemeji yenu mkubwa kafura,macho mekundu..!

Akili ikanambia "mpishe apite,aingie ndani" nikampisha dada wa watu huyo mbiombio hadi chumbani,alitumai atakutana na yule demu kule chumbani kumbe la hasa! mi na mchepuko tulikuwa tumefikia sebureni na hapo ndio tulikuwa tunaanza kuandaana then twende chumbani kunako 6x6 kwaajili ya 'kukobatana'.Alipo ingia chumbani tu mzee nikamfata kwa nyuma,nikamfungia mule chumbani halafu nikamtoa mchepuko niliyekuwa naye mbio mbio,ijapokuwa majilani walimuungia ila hawakumkamata.[emoji2][emoji3] hapa nilitumia mbinu ya kijeshi! Na hiyo ndio ilikuwa ponapona yangu ya kukamatwa ugoni(kufumaniwa).
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Baunsa anamiliki mwili na kende tu,ukimiliki bunduki huwa hakuna nidhamu ya uwoga yani unajiona mkuu wa majeshi.
Mimi nlishawahi kupata msukosuko hom nlikua sipo....wezi walivamia 2009 wakamkuta mdogo wangu ndani akawahi kukimbilia chumba kingine na kujifungia.sasa wakati wanashachi rum wakakuta risasi kwenye droo wakajua dogo yuko na silaha walitoka nduki speed kma scoda
[emoji23][emoji23][emoji23]my friend huwa na bastola ana jiamini Sana mda wote anayo na imesha musave mara nyingi Ila shida ni kero kuilinda mda wote
 
Yaani watu wote wamesema "shukuru vinginevyo usingekuwa na MARINDA"
Mbona sijaona mtu akisema shukuru labda ungepelekwa POLISI, UNGEUWAWA kwenye fumanizi maana haya yanatokea sana.
Hii ni kumaanisha kuwa tumekuwa polluted kiasi cha kuhalalisha ukifumaniwa ni kuingiliwa kinyume na maumbile?

Halafu wao wanaona kutolewa marinda ndio shida....ila mtoa marinda anakuwa shujaa.....hii dunia hii ya ajabu sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]my friend huwa na bastola ana jiamini Sana mda wote anayo na imesha musave mara nyingi Ila shida ni kero kuilinda mda wote
Bunduki ni adhabu na mzigo,sema husaidia sana kwenye matukio
 
Mm nikiendaga lodge na demu(regardless Ni mke wa mtu au la) naendaga na vitu vifuatavyo.

1 kisu Cha kukunja
2 bisibisi
3 lighter (naiset iwake Moto mkubwa Sana)


Ukija vibaya unaacha uhai guest/lodge
Dhambi huzaa dhambi
 
Mi nilidakwa live , nikawa mpole kabisa , jamaa akabugi maana mwanamke waliachana mwaka mzima akaja kunivizia uck namla , akataka fidia ya milion 1.3 mzee nikakubali kubali kuandika ...... Nikamwambia asubuhi nitampa ... Pamekucha asubuhi nikaenda mahakamani nikachonga mchongo mwanamke akapata TARAKA halafu ikarudishwa tarehe nyuma ... Nikamyokea jamaa simu sikulipi hela fanya vyovyote akakimbilia kufumgua kesi ya kudai fidia ya uogoni .,. Mbn nilimshinda mahakamani akaonekana alikuja kufanya fujo na alidharirisha na mke akawa kamkosa , na vitu wakagawana rasmi na yule mwanamke !! Nilipanga kumuowa na niliishi naye ila hatukudumu , kwa sasa kaolewa tena na mwanaume mwingine ila nilichojifunza usipokuwa jasiri kwenye ugoni lazima upakwe mafuta matakoni ... Ni heri uahidi uongo halafu mtaenda mahakamani mtayamaliza

sent from HUAWEI
Kuvunja ndoa ya mtu ni laana itakayokutafuna daima. Waweza kuona ni tendo la ushujaa lakini utalipa gharama kubwa maishani mwako. Yakupasa kujutia.
 
kuna pahala niliwahi safiri nikakutana pisi kali nikaipanga ikajaa, nikampa location ya lodge nilipo akawa anakuja kunifariji, kumbe alikua mke wa mtu na mumewe yupo safari...

kuna washenzi walimpigia simu mumewe akaja kimya kimya, mishale ya 3 usiku sim ya pisi ikawa inapigiwa sana hapokei mwisho nikamwambia itoe sauti akaitoa...

kumbe yule bwana yupo nje na alipga sim ajue tupo chumba gani, baadae tuligongewa hodi sana bt hatukufungua, yule bwana akawa anasema ka hamtaki kutoka napga sim police, dah! nilijawa woga kweli ikabidi nifungue liwalo na liwe.

baada ya kutoka jamaa akawa akawa anadeal na mkewe na hapo ndo nilipata upenyo wa kuchomoka, wadada jifunzeni kua wakweli kama mmeolewa ili msiwasababishie matatizo watu wasohatia.

Huyo mume ana akili sana. Yaani wee ni kideal na mwanamke tuu mwanaume mwenzio umfumue marinda ili iweje sasa...
 
Abakwe tu kwani kuwa baba watoto ndio nini kwangu?
 
Hivi mnapataga wapi ujasiri wa kutembea na wake za watu, au marinda yenu mshayaweka rehani kua liwalo na liwe.

Maana hata kabla ya kukamatwa adhabu yake inajulikana wazi kua ni fumuliwa.
 
Back
Top Bottom