2017,mdogo wenu
Kilwa94 almanusura nidakwe na shemeji yenu.Ipo hivi nilivusha mchepuko home wakati huo shemeji yenu mkubwa(mchepuko wa kudumu) alikuwa kazini,basi bana kumbe majirani waliniona wakati navusha hivyo wakamtaarifu shemeji yenu(mchepuko wa kudumu) ambaye alikuwa zake huko town kazini.Basi bana mi sijui hili wala lile nipo bize na mtoto wa watu tunakula mate huku namchomoa nguo moja moja.Mara nasikia mlango unagongwa,nikaenda kufungua nikamkuta shemeji yenu mkubwa kafura,macho mekundu..!
Akili ikanambia "mpishe apite,aingie ndani" nikampisha dada wa watu huyo mbiombio hadi chumbani,alitumai atakutana na yule demu kule chumbani kumbe la hasa! mi na mchepuko tulikuwa tumefikia sebureni na hapo ndio tulikuwa tunaanza kuandaana then twende chumbani kunako 6x6 kwaajili ya 'kukobatana'.Alipo ingia chumbani tu mzee nikamfata kwa nyuma,nikamfungia mule chumbani halafu nikamtoa mchepuko niliyekuwa naye mbio mbio,ijapokuwa majilani walimuungia ila hawakumkamata.[emoji2][emoji3] hapa nilitumia mbinu ya kijeshi! Na hiyo ndio ilikuwa ponapona yangu ya kukamatwa ugoni(kufumaniwa).