Tuliowahi kukamatwa ugoni tukutane hapa

Tuliowahi kukamatwa ugoni tukutane hapa

Mi nilidakwa live , nikawa mpole kabisa , jamaa akabugi maana mwanamke waliachana mwaka mzima akaja kunivizia uck namla , akataka fidia ya milion 1.3 mzee nikakubali kubali kuandika ...... Nikamwambia asubuhi nitampa ... Pamekucha asubuhi nikaenda mahakamani nikachonga mchongo mwanamke akapata TARAKA halafu ikarudishwa tarehe nyuma ... Nikamyokea jamaa simu sikulipi hela fanya vyovyote akakimbilia kufumgua kesi ya kudai fidia ya uogoni .,. Mbn nilimshinda mahakamani akaonekana alikuja kufanya fujo na alidharirisha na mke akawa kamkosa , na vitu wakagawana rasmi na yule mwanamke !! Nilipanga kumuowa na niliishi naye ila hatukudumu , kwa sasa kaolewa tena na mwanaume mwingine ila nilichojifunza usipokuwa jasiri kwenye ugoni lazima upakwe mafuta matakoni ... Ni heri uahidi uongo halafu mtaenda mahakamani mtayamaliza

sent from HUAWEI
 
Mm nikiendaga lodge na demu(regardless Ni mke wa mtu au la) naendaga na vitu vifuatavyo.

1 kisu Cha kukunja
2 bisibisi
3 lighter (naiset iwake Moto mkubwa Sana)


Ukija vibaya unaacha uhai guest/lodge
We mzinzi konki
 
Ukifumaniwa hata ukiwa na bastola hutakuwa na nguvu
Jipe moyo hivyohivyo.. siku ukielewa defensive mechanism ndo utajua kiumbe hufanya nini akiwa kwenye hatari na siraha mkononi..😂
 
[emoji3516]
"... but nilikuta kufuli".

WEWE ACHA KUTONGOZAk
KISIASA HAPA,
USIJITAFUTIE MATATIZO,
HUYO NI MKE WA MTU-
NAKUONYA!!!.
mkuu umeenda mbali sana, humu ndani wengi wetu tumekua family, hivo kuwasiliana ni jambo la kawaida tofauti na dhana unayojenga.
 
Niliwahi ingia room na mtu

Chini ya kitanda niliweka panga butu ,kisu Cha jambia, na gongo[emoji1787][emoji1787]

Usitake kujua sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji123][emoji123]
 
Back
Top Bottom