Tuliowahi kukamatwa ugoni tukutane hapa

Tuliowahi kukamatwa ugoni tukutane hapa

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Just for experience na majuto kama yapo.

Mimi sikudakwa ila niliponea chupchup,jamaa alichelewa kama sekunde 50 hivi. Ogopa sana mwanamke mwenye gari.

Huyu dada alikuwa mchepuko kwa takribani mwaka hivi. Alikuwa huru sana muda wowote yupo available na mimi kuona hivyo nikajiongeza kwamba atakuwa single mother. Dada mzuri na mtoto mmoja. Kumbe alikuwa mke wa mtu mumewe akiishi mbali. Hakuwahi kuniambia.

Basi kumbe siku hiyo mumewe siku hiyo alikuja kushiriki pamoja sherehe ya harusi ya rafiki wa familia.

Yule dada alikuwa amekolea mpaka nikawa naogopa,huyu atakuja kuniharibia ndoa yangu. Basi bwana siku hiyo ya harusi akaniambia ameni miss kinyama anataka hata nimkumbatie tu moyo wake utulie (wanawake ni shida).

Saa tano usiku akanitext nitoke nje yupo na bajaji. Haikuwa kawaida yake kuja na bajaji mara zote hutumia gari ananipakia tunabaki humu hata masaa manne. Kumbe gari alimuachia mumewe kwenye harusi akamdanganya amechoka sana atangulie.

Alipofika nikachezwa machale,nikamwambia just a minute sijisikii vizuri,akaelewa nikaingia kwenye bajaji nikampiga kiss dakika 1 akaondoka. Baada ya dakika 2 gari yake ikapita pale tulipokuwa ikapaki kidogo na kuondoka. Kulikuwa na watu wengi maana ni eneo la lodge na bar.

Nikahisi hali ya hatari,baadae ile gari ikarudi ikakaa kama nusu saa hivi mimi nimebana sehemu naicheki.

Baada ya mtiti kutulia anakuja kunipa mkanda mzima. Kumbe siku hiyo aliyefuata nyuma ni mumewe akimfuatilia. Hata gari iliporudi walikuwa wote,walirudi baada ya kula kichapo akiamriwa ataje alikuwa na nani kwenye bajaji. Akanisimulia mumewe ni mtu wa maudhi sana,walivyokuwa kwenye harusi alimuudhi ikabidi aje kupoza machungu kwangu. Kwenye Mapenzi mazito kuna shetani,shetani wa kuwatia upofu

Kwa kweli wanawake ni majasiri sana. Tukae nao kwa akili.

Mliowahi kudakwa ugoni kazi kwenu kutiririka
 
Teh hao ndo wale dizain za wanawake wasio na akili ya maisha, wanapriotize kito...bo kuliko future yake na wanae.

Ni kama yule dada wa siku ileeeeee, alomwacha mzee na maisha yake kisa hana nguvu za kiume, akakimbilia kwa choka mbaya kisa anajua kumt... vizuri.
 
Siku nyingine andaa KY kabisaa... ili utunze malinda yako
 
kuna pahala niliwahi safiri nikakutana pisi kali nikaipanga ikajaa, nikampa location ya lodge nilipo akawa anakuja kunifariji, kumbe alikua mke wa mtu na mumewe yupo safari...

kuna washenzi walimpigia simu mumewe akaja kimya kimya, mishale ya 3 usiku sim ya pisi ikawa inapigiwa sana hapokei mwisho nikamwambia itoe sauti akaitoa...

kumbe yule bwana yupo nje na alipga sim ajue tupo chumba gani, baadae tuligongewa hodi sana bt hatukufungua, yule bwana akawa anasema ka hamtaki kutoka napga sim police, dah! nilijawa woga kweli ikabidi nifungue liwalo na liwe.

baada ya kutoka jamaa akawa akawa anadeal na mkewe na hapo ndo nilipata upenyo wa kuchomoka, wadada jifunzeni kua wakweli kama mmeolewa ili msiwasababishie matatizo watu wasohatia.
 
kuna pahala niliwahi safiri nikakutana pisi kali nikaipanga ikajaa, nikampa location ya lodge nilipo akawa anakuja kunifariji, kumbe alikua mke wa mtu na mumewe yupo safari...

kuna washenzi walimpigia simu mumewe akaja kimya kimya, mishale ya 3 usiku sim ya pisi ikawa inapigiwa sana hapokei mwisho nikamwambia itoe sauti akaitoa...

kumbe yule bwana yupo nje na alipga sim ajue tupo chumba gani, baadae tuligongewa hodi sana bt hatukufungua, yule bwana akawa anasema ka hamtaki kutoka napga sim police, dah! nilijawa woga kweli ikabidi nifungue liwalo na liwe.

baada ya kutoka jamaa akawa akawa anadeal na mkewe na hapo ndo nilipata upenyo wa kuchomoka, wadada jifunzeni kua wakweli kama mmeolewa ili msiwasababishie matatizo watu wasohatia.
uliachwa salama, Mungu wako anaishi aseee
 
kuna pahala niliwahi safiri nikakutana pisi kali nikaipanga ikajaa, nikampa location ya lodge nilipo akawa anakuja kunifariji, kumbe alikua mke wa mtu na mumewe yupo safari...

kuna washenzi walimpigia simu mumewe akaja kimya kimya, mishale ya 3 usiku sim ya pisi ikawa inapigiwa sana hapokei mwisho nikamwambia itoe sauti akaitoa...

kumbe yule bwana yupo nje na alipga sim ajue tupo chumba gani, baadae tuligongewa hodi sana bt hatukufungua, yule bwana akawa anasema ka hamtaki kutoka napga sim police, dah! nilijawa woga kweli ikabidi nifungue liwalo na liwe.

baada ya kutoka jamaa akawa akawa anadeal na mkewe na hapo ndo nilipata upenyo wa kuchomoka, wadada jifunzeni kua wakweli kama mmeolewa ili msiwasababishie matatizo watu wasohatia.
Na hawawezi kuwa wakweli akikwambia ameolewa unampotezea ndo maana wanadanganya, Cha msingi ni kuwa makini tu..
 
Back
Top Bottom