Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Hiviii..!! ukimfuata alipo hakafu usimpate, hapo hujaliwa nauli?Pigeni puchu kabla hajaweza tuma nauli itawasaidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiviii..!! ukimfuata alipo hakafu usimpate, hapo hujaliwa nauli?Pigeni puchu kabla hajaweza tuma nauli itawasaidia
Ngoja sehemu yake ya siri ihamishiwe usoni iwe sehemu ya hadharaunakula hela za sumbawanga
Na kwanini mkamie jamani🙆♂️🙆♂️🙆♂️Halafu wakikamiwa wanarudi kusema wanaume wote ni mbwa..!!
Tuma bolt 😂😂Na kote huko unatuma nauli mkuu!!!
Kuliwa nauli kunauma...!!! Mpaka nakupata maana yake ni nauli ya ngapi sijui..!! utakamiwa tu, mpaka maji yakauke, nitoke nayo nje na kuingia nayo ndani..!!Na kwanini mkamie jamani🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Msifanye hivyo khaah!Kuliwa nauli kunauma...!!! Mpaka nakupata maana yake ni nauli ya ngapi sijui..!! utakamiwa tu, mpaka maji yakauke, nitoke nayo nje na kuingia nayo ndani..!!
Sasa afadhari ule tu nauli, kuliko unanipeleka na stendi na kujifanya upo njiani, kumbe hata hujasafiri..!!! Nakaa stendi hadi usiku kumbe hujasafiri..!! utakaushwa maji wallah..!!Msifanye hivyo khaah!
Maamuzi ya haraka ya mwanaume yanasababishwa na nyege ila wakianza na kukwea mnazi watafanya uamuzi kwa usahhHiviii..!! ukimfuata alipo hakafu usimpate, hapo hujaliwa nauli?
[emoji23][emoji23][emoji23]Sijawai pigwa nauli ila nimewahi kujiandaa vyema kabisa, kuku mzima+ mapochopocho kibao alafu anasema kapata ugeni nilivyomuandalia nimpe boda apeleke kwake.
Siku hiyo nilikula kwa awamu tatu kuanzia saa 5 usiku mpaka kunakucha[emoji23]
🤝🤝Sasa afadhari ule tu nauli, kuliko unanipeleka na stendi na kujifanya upo njiani, kumbe hata hujasafiri..!!! Nakaa stendi hadi usiku kumbe hujasafiri..!! utakaushwa maji wallah..!!
Wee em apia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sitaki pole ya macheko
hivo yani ndo inatakiwa😂😂Sijawai pigwa nauli ila nimewahi kujiandaa vyema kabisa, kuku mzima+ mapochopocho kibao alafu anasema kapata ugeni nilivyomuandalia nimpe boda apeleke kwake.
Siku hiyo nilikula kwa awamu tatu kuanzia saa 5 usiku mpaka kunakucha😂
Bora nivimbiwe kuliko kula hasara.hivo yani ndo inatakiwa😂😂
Aaaaaki yaWee em apia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila nusu mzungu, mxxxxiiiiieeewAaaaaki ya
Alafu kule nimekuwekea ushahid ujatokea hadi sasa naenda kufuta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila nusu mzungu, mxxxxiiiiieeew
Hela ya kusuka ulituma ya nini?Kuna Demu nilikutana nae Facebook anaitwa ney de quite, Katika harakati za kupangana ili tupeane utamu, yule Dem Tulikuwa tunaishia mkoa mmoja akaniambia nitume nauli na pesa ya kumwachia mama ake hapo nyumbani ,Mimi nikatuma nauli kutoka alipo adi anapokuja wakati huo Ilikuwa shiling 12000 nikatuma na kusukia na kuacha nyumbani kwaKe , Baada ya saa Moja kumtumia akaniambia anaenda stend aise nilimsubiri yule manzi kila bus hayupo simu anapokea ananimbia nakaribia lakini hatokei ,adi saa nne ya siku nikaenda kulala kwa gazabu NYingi sana moyoni...