Tuliowahi kuliwa na ya kutolea, karibuni kijiwe hiki hapa

Tuliowahi kuliwa na ya kutolea, karibuni kijiwe hiki hapa

Kuna Dem lilinipiga tukio sitasahau. Hiyo siku ilinibadilisha sana kwenye ulimwengu wa kubetuana.😁😁😁😁

Kuna dem nililipata (usiulize nililipataje). Nikalipanga,likasema kama vip ibuka nilipo, "uko wapi?" Kijiwe samri. Mimi huyooo, asubuhi asubuhi tu,ngoma 4+, siku ndo inaanza. Sijaingiza hata 100.

Sikuwa hata nimemtongo, na makubaliano yetu yalikuwa ni kutembeleana tu, cha ajabu nilipomwambia nimefika nikaambiwa direct "chukua room apo nakuja chap" 😳😳😳😳😳😳

Kama robo saa huyu hapa. Mara anapokea sim nisizozielewa. Kabla hata hatujasalimiana,nashangaa nikaombwa 30k, kwamba kuna mtu anamsumbua anamdai ivo amtoe chap ili tuje 'tuchapane' kwa amani.

Nikampa, the moment yule dem anamaliza toa mguu tu pale guest,my intuition told me nilikuwa nimefanya kosa kubwa sana. Ila nyege zikafanikiwa kunihadaa.

Baada ya hapo sim yake ikawa kiwete kupokeleka mpaka siku moja aliweka status ya malaya mwingine nikamwambia nipe namba yake. Kuonyesha yule dem jinsi gani amepinda,akasema yule ni mdg ake anakaa goms,kama nataka namba ake nimlipe.
 
Kuna Dem lilinipiga tukio sitasahau. Hiyo siku ilinibadilisha sana kwenye ulimwengu wa kubetuana.😁😁😁😁

Kuna dem nililipata (usiulize nililipataje). Nikalipanga,likasema kama vip ibuka nilipo, "uko wapi?" Kijiwe samri. Mimi huyooo, asubuhi asubuhi tu,ngoma 4+, siku ndo inaanza. Sijaingiza hata 100.

Sikuwa hata nimemtongo, na makubaliano yetu yalikuwa ni kutembeleana tu, cha ajabu nilipomwambia nimefika nikaambiwa direct "chukua room apo nakuja chap" 😳😳😳😳😳😳

Kama robo saa huyu hapa. Mara anapokea sim nisizozielewa. Kabla hata hatujasalimiana,nashangaa nikaombwa 30k, kwamba kuna mtu anamsumbua anamdai ivo amtoe chap ili tuje 'tuchapane' kwa amani.

Nikampa, the moment yule dem anamaliza toa mguu tu pale guest,my intuition told me nilikuwa nimefanya kosa kubwa sana. Ila nyege zikafanikiwa kunihadaa.

Baada ya hapo sim yake ikawa kiwete kupokeleka mpaka siku moja aliweka status ya malaya mwingine nikamwambia nipe namba yake. Kuonyesha yule dem jinsi gani amepinda,akasema yule ni mdg ake anakaa goms,kama nataka namba ake nimlipe.
daah
ukifikia apo option zinakuwa chache sana
  • utafute mdau wa apo loji umpige dog ya chap kwa ela ya ziada
  • utafute mdau wa zaman alie apo jirani, hii ngum sana na ya kubahatisha
-upige tonye ya nguvu kisha usepe kwa msonyo mkali
 
Kuna Dem lilinipiga tukio sitasahau. Hiyo siku ilinibadilisha sana kwenye ulimwengu wa kubetuana.😁😁😁😁

Kuna dem nililipata (usiulize nililipataje). Nikalipanga,likasema kama vip ibuka nilipo, "uko wapi?" Kijiwe samri. Mimi huyooo, asubuhi asubuhi tu,ngoma 4+, siku ndo inaanza. Sijaingiza hata 100.

Sikuwa hata nimemtongo, na makubaliano yetu yalikuwa ni kutembeleana tu, cha ajabu nilipomwambia nimefika nikaambiwa direct "chukua room apo nakuja chap" 😳😳😳😳😳😳

Kama robo saa huyu hapa. Mara anapokea sim nisizozielewa. Kabla hata hatujasalimiana,nashangaa nikaombwa 30k, kwamba kuna mtu anamsumbua anamdai ivo amtoe chap ili tuje 'tuchapane' kwa amani.

Nikampa, the moment yule dem anamaliza toa mguu tu pale guest,my intuition told me nilikuwa nimefanya kosa kubwa sana. Ila nyege zikafanikiwa kunihadaa.

Baada ya hapo sim yake ikawa kiwete kupokeleka mpaka siku moja aliweka status ya malaya mwingine nikamwambia nipe namba yake. Kuonyesha yule dem jinsi gani amepinda,akasema yule ni mdg ake anakaa goms,kama nataka namba ake nimlipe.
πŸ˜πŸ˜πŸ˜†πŸ€£πŸ€£πŸ˜œ nimecheka kimzuka.
Hiyo namba ya mdogoake uliilipia?
 
kwa zile hekaheka nlizokuwa nazisikia kwenye simu naamini ni kweli alisafiri ila akapata bwana kwenye uo usafiri maana angetulia tu kwake kungekuwa na hali ya utulivu zaidi kwenye maongez ya simu.
Hizo heka heka ulizokua unaskia ni sauti ya Fan, yani ilikua ukiongea naye anasogea karibu na fan ,we ulivyo bwege unaamini yuko kwenye gari
 
Back
Top Bottom