APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 5,316
- 9,596
Mi demu akisema nitume nauli na sijawahi kumnyandua najua uwezekano wa kupigwa 100%, naruka huo mtego.Hao wote dugu moja🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi demu akisema nitume nauli na sijawahi kumnyandua najua uwezekano wa kupigwa 100%, naruka huo mtego.Hao wote dugu moja🤣
Hapana aisee, kama sina uhakika wa safari namwambia asubiri kwanza. Kama siendi, namwambia kabisa.Vipi wewe mkuu hujawahi mpiga mtu za uso, katuma nauli alafu ukachenga??
1/1000Hapana aisee, kama sina uhakika wa safari namwambia asubiri kwanza. Kama siendi, namwambia kabisa.
nmepigwa sana miaka ya nyuma saiz namm mjanja na apa nkuibie siri usiite demu mmoja. waite zaidi ya mmoja atakayewahi unaanza nae uyouyo. kuepuka huu upuuzi. kama wakigongana kitaeleweka apoapo.Ila inauma na unakuta mzigo uliupania kinoma
mmh🤔 hao labda mmoja kwa kumiHapana aisee, kama sina uhakika wa safari namwambia asubiri kwanza. Kama siendi, namwambia kabisa.
Na kote huko unatuma nauli mkuu!!!nmepigwa sana miaka ya nyuma saiz namm mjanja na apa nkuibie siri usiite demu mmoja. waite zaidi ya mmoja atakayewahi unaanza nae uyouyo. kuepuka huu upuuzi. kama wakigongana kitaeleweka apoapo.
Wapo wengi tu.1/1000
Mmmmh!! Kwamba wengi wanakula nauli!! Si kweli bwana.mmh🤔 hao labda mmoja kwa kumi
Ni wale matured na wanaojielewa lakini sio hawa wa "simu yangu imepasuka kioo"Wapo wengi tu.
haahaa inategemea mkuuNa kote huko unatuma nauli mkuu!!!
ukimpigia tu anatk ummalizie matatizo yake yoteNi wale matured na wanaojielewa lakini sio hawa wa "simu yangu imepasuka kioo"
Mi hizo category za mademu huwa naskip fastaukimpigia tu anatk ummalizie matatizo yake yote
pango limeisha
kusuka
marejesho
mboga
ada za watoto
....
weengi wako ivyo nazan ugum wq maisha/kuendelekeza maisha usiyoyamuduMmmmh!! Kwamba wengi wanakula nauli!! Si kweli bwana.
Haahaa hutaki kutuma fare mkuu🤣Mi hizo category za mademu huwa naskip fasta
juzikati kuna kamoja kameanza naMi hizo category za mademu huwa naskip fasta
inauma sn hlf ukute mnara ulikuwa unasachi masaa yote ayo. hlf unaenda kulala mwenyewe kama upanga apo lazma upooze gazabu kwa tonye moja matata sana ndo usngiz uje😂😂nikaenda kulala kwa gazabu NYingi sana moyoni
Ndio maisha mkuuWAtu mnapitia masaibu
Isingewezekana hapo nilitaka kumuitia jirani wangu wa kike sema nae alivusha.Ukaamua umalize dipresheni kwa kula kuku mzima mwenyewe🤣🤣Ungenitumia vipande viwili nikusaidie kula.