kathago
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 255
- 528
Nishanusurika Kuliwa na Mamba iyo miaka ya 2000 nilikuwa kama age 8 tu. Nishawai kunusurika kufa maji niliogelea kina kirefu nikawa nazama chini narudi juu nazama narudi ila bahati nzuri kuna njemba iliniona ikaniokoa. Nilisha wai kuota Nimekufa kwenye maji yaani ile nakufa tu nikashtuka toka usingizini. Miaka iyo iyo ya 2000. Ya mwaka jana ndo balaa ngoja niliskip tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent from my iPhone using JamiiForums