Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Unaweza kudhan matatizo ya watu wengine yanasababishwa na watu kumbe tunakosea kuamin hvyo,matatizo yanasababishwa na ww mwenyewe.
Ni kweli. Hata tatizo la umaskini Tanzania ni la watanzania wenyewe kwa ujumla wetu hatujakomboka kifikra. Hata ombaomba wa barabarani walio wengi tatizo sio umasikini bali tatizo ni kukata tamaa. Miongoni mwa mambo mabaya kabisa hapa duniani ni kukata tamaa ya kutafuta riziki.
 
Kaa hivohivo na mawazo ya kijima. Alhaji Dangote mwenyewe anakopa pesa kibao na biashara zinaenda!
Dangote hata km anakopa ni riba lakini unakuta ni ndogo Sana na anakopa Kwenye taasisi Kubwa sio hizi riba za mitaani unakopa laki mtu Anataka 50% kwa mwez riba hizi Huwa hazimwachi Salama mkopeshaji Wala mkopaji. Endelea Kuish utakuja kuamini.[/QUOTE]
Niwmbie asilimia 50 ya milion 5 ni shiling ngp??
 
Point...
 

Mkuu kama unanisema mm, kipindi nikiwa chuo mwaka wa pili niliangukia zari nikakusanya Mil. 2.7, siku moja nikaenda Yenu bar pale ubungo nikiwa na 50,000 mfukoni nikamshtua jamaa akaja tukala pombe ilipofika saa 12 jioni nikawa nimefulia nikazama ATM pale Ubungo nikavuta laki 3. Tukabadili kiwanja na kuhamia Ambiance kule sinza nikawaita washkaji 3 na kuagiza wachukue Taxi nitalipa. tukawa watano, hapo sasa ligi ikaanza ni mwendo wa kuagiza 2 so round moja zinakuja 10, ukilewa unaagiza mchemsho.

Ikafika saa 11 alfajiri nikavuma Malaya mmoja hv likanipeleka kwake nikalitoa 30,000. Daaah hadi narudi hostel najisearch nina buku 5 tu hiyo jmos na j3 nina test. sikujali maana salio lilikua linasoma. Hela yote iliishia kwenye pombe niliambulia kuweka solar ya lak 4 nyumbani.

Hili lishakua funzo kwangu
 
Kaa hivohivo na mawazo ya kijima. Alhaji Dangote mwenyewe anakopa pesa kibao na biashara zinaenda!
Dangote hata km anakopa ni riba lakini unakuta ni ndogo Sana na anakopa Kwenye taasisi Kubwa sio hizi riba za mitaani unakopa laki mtu Anataka 50% kwa mwez riba hizi Huwa hazimwachi Salama mkopeshaji Wala mkopaji. Endelea Kuish utakuja kuamini.[/QUOTE]

Mkuu nadhani hukumwelewa tu niliyemquote, yeye amezumngumzia hilo suala kiimani, kwa imani za dini ya kiislam ni haramu kupokea wala kutoa riba, haijalishi riba ya asilimia 0.01 au 50% yote ni riba. Wanaokopa kwenye riba za 50% ni waajiriwa wenye shida, sisi wachakarikaji wa mjini huwezi kukopa kwenye vicoba sjuwi naninani credit service huko wanakopa walimu na askari, nachukua pesa ambayo najua itaisaidia kwenye biashara zangu, siyo pesa ya kulipia ada watoto au kujenga nyumba ya kuishi!
 
Kaa hivohivo na mawazo ya kijima. Alhaji Dangote mwenyewe anakopa pesa kibao na biashara zinaenda!
Dangote hata km anakopa ni riba lakini unakuta ni ndogo Sana na anakopa Kwenye taasisi Kubwa sio hizi riba za mitaani unakopa laki mtu Anataka 50% kwa mwez riba hizi Huwa hazimwachi Salama mkopeshaji Wala mkopaji. Endelea Kuish utakuja kuamini.[/QUOTE]

Mkuu nadhani hukumwelewa tu niliyemquote, yeye amezumngumzia hilo suala kiimani, kwa imani za dini ya kiislam ni haramu kupokea wala kutoa riba, haijalishi riba ya asilimia 0.01 au 50% yote ni riba. Wanaokopa kwenye riba za 50% ni waajiriwa wenye shida, sisi wachakarikaji wa mjini huwezi kukopa kwenye vicoba sjuwi naninani credit service huko wanakopa walimu na askari, nachukua pesa ambayo najua itaisaidia kwenye biashara zangu, siyo pesa ya kulipia ada watoto au kujenga nyumba ya kuishi!
 
Sawasawa tuko pamoja ukianguka kimaisha /kibiashara, usishangae kaza buti kimbiza utafanikiwa tuu. mimi yalisha nikuta hayo huko nyuma tena sio mara moja huwa sishangai walakujuta japokuwa ya naumiza.

Ninacho angalia nini cha kuandaa kwa manufaa ya baadae cha muhimu ni mali zisizo hamishika kwa sasa niko ok.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mimi sina biashara, nimehamua kufa maskini, pesa kidogo niliyonayo ninamalizia kwenye pombe.
 
Haa ha ha...!! Na wew itakuwa discpline ya pesaa ni zeroo kabisa....
mkuu mkwanja kama huwa una ka jini flani ukiwa mfukoni unakuwasha utoke toke ivi. haikawiii kujikuta unakula vitumbua vya buku 3, ujakaa sawa unakula miwa mara maembe

yaani usione kitu kimepita, mara umehonga wakujue wewe ni nani? mishkaki kidogo soda humalizi chupa unajikuta umetamani malta

aliye weza kuwa na heshima ya pesa hongera kwake kwangu mimi najitahidi ila wapiiii
 
Dangote hata km anakopa ni riba lakini unakuta ni ndogo Sana na anakopa Kwenye taasisi Kubwa sio hizi riba za mitaani unakopa laki mtu Anataka 50% kwa mwez riba hizi Huwa hazimwachi Salama mkopeshaji Wala mkopaji. Endelea Kuish utakuja kuamini.

Mkuu nadhani hukumwelewa tu niliyemquote, yeye amezumngumzia hilo suala kiimani, kwa imani za dini ya kiislam ni haramu kupokea wala kutoa riba, haijalishi riba ya asilimia 0.01 au 50% yote ni riba. Wanaokopa kwenye riba za 50% ni waajiriwa wenye shida, sisi wachakarikaji wa mjini huwezi kukopa kwenye vicoba sjuwi naninani credit service huko wanakopa walimu na askari, nachukua pesa ambayo najua itaisaidia kwenye biashara zangu, siyo pesa ya kulipia ada watoto au kujenga nyumba ya kuishi!

Mimi Nimekuelewa yeye amesema biashara ya riba si nzuri kuna mdau huko juu amesema anakopesha kwa riba unaweka dhamana kitu yeye amemualart awe makini biashara ya riba si nzuri ni Kwel ukiacha maswala ya kiiman pemben ukikopa bank unaweza Pewa Mfno mil 1 kwa riba Asilimia 9 kwa miezi sita au mwaka Sasa kwa hawa wanaokopesha mitaan atakupa one million kwa riba Asilimia 50 ndani ya mwezi mmoja hii biashara Narudia sio nzuri kwa mkopeshaji Wala mkopaji Mwisho Huwa mbaya Sana.
 
Hata mimi mkuu nkiwa na Hela bora ninunue kitu aisee lakini nkiitunza naipukutishaa yotee
 
Dangote hata km anakopa ni riba lakini unakuta ni ndogo Sana na anakopa Kwenye taasisi Kubwa sio hizi riba za mitaani unakopa laki mtu Anataka 50% kwa mwez riba hizi Huwa hazimwachi Salama mkopeshaji Wala mkopaji. Endelea Kuish utakuja kuamini.
Niwmbie asilimia 50 ya milion 5 ni shiling ngp??[/QUOTE]
Nusu yake million Mbili na nusu ukikopa million tano urudishe mil 7.5
 
Niliwahi kupata milioni 120 nikiwa na umri wa miaka 26 kipindi hicho nipo mererani, nilichezea hiyo hela kwa muda wa miezi 8 nikabaki na laki mbili bank
Hahhaha...Noma sana.
 
Ushawahi kumpenda mtu lakini yeye hata hataki kuonekana mko pamoja? Yaani anakukwepakwepa tu!
Huo ndivyo *UHUSIANO* wangu na Pesa ulivyo kwa sasa ......
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Point mkuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…