Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Dooooh mkuu una moyo, mim ningechukua hao ng'ombe wa mang'ati... Mkuu labda kilimo kimekukataa acha tu
 
Tafuta kitabu kinachoitwa ''The anatomy of failure'' cha Praise George. Utajifunza mengi sana mle. Soma piakingine cha The Law of Success by Napoleon.
Utagundua why people fail.
Ahsante Mkuu, Ila unapowasoma wahusika na matukio mbalimbali yaliyowatokea ni exprience nzuri kuliko mawazo ya mtu mmoja yaliyowekwa kwenye kitabu,Mwandishi anaweza asipate exprience tofauti tofauti kama Live exprience toka kwa wahusika, Hii inavutia sana na wasio na uwezo wa kununua vitabu wanajifunza kwa gharama nafuu na uhalisia sana, wengi wamekuwa sio wachoyo kwenye kufunguka.
 
Kiukwel leo naweza kwenda popote,muda wwte,naweza kula cchte,naweza nunua ving ambavyo watu wanataman kua navyo,wala sitok jasho,nilale,niamke hela napata tu,japo uchum umebadilika lakin siwez kushindwa kuyamudu maisha kwa hali yyte kwa sasa,na mwaka jana nilitaka kujenga shule ya awali mpk sekondar sema kuna ukiritimba flan nikakutana nao nikaghairi. So anaefilisika usimcheke hata siku moja maana anauwezo wa kurud barabarani na akafanikiwa zaid.
Hakika wewe ni mpambanaji, Nimeikubali spirit uliyonayo katika kupambana, unaweza kufanya chochote kikafanikiwa kwa kuwa hali yako ni juu sana, HONGERA.
 
Miaka 3 iliyopita nililima eka 40 za mpunga na 30 za mahindi nilipokuja kuuza mazao niliingiza faida ya mil 55 ukitoa na pesa ya mtaji.
Leo tar 1 nina laki moja tu..wanawake sio viumbe vya mchezo na kazi nimefukuzwa..niliowasaidia wamenitupa.
Nimejifunza mistake zote nilizofanya ila nikikumbuka naumia mno..kwa vile nina nguvu sina ulemavu naendelea kupambana.
Nimerudi home kwa wazazi maana hali ni tete ninaweza kuwa tahaira
Pole, hilo ni funzo kubwa sana naamini sasa hivi utakuwa ni mwalimu mzuri kwa wenzako
 
Siku za hivi karibuni nilipata pesa nyingi sanaaaa....ila nilichojifunza ni kuwa na discipline ya matumizi. Matumizi yasizidi kipato. Bora ushinde njaa siku moja ila usile pesa ya mtaji.
Hahahahahahah nimejifunza nidhamu hii baada ya kupoteza mtaji wangu wote wa mchele.
 
Back
Top Bottom