Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila watu wenye displin ya hela huishi maisha magumu sana.
Pole sana wanasemaga bahati haiji mara mbili huu usemi huwa unaniumizaga sana wallahiNamaliza chuo tu napta kazi. Inalipa mbaya nakodisha apartment. Nikifunga hesabu ya mwezi haina kwere nawatafuta washkaji tunasherehekea. Madem hawakauki kwangu full kujiachia ndani ya self contained. Luxury life. Sina saving. Siku nivofanyiwa auditing nakubaini madudu kazi ikaisha. Nilipagawa nikarudi kwa baba na mama. Nikapatwa na maradhi ya watu wazima mapresha wakati niko kijana mbichii. Washkaji walinitenga. Mpaka leo sijapata kazi ya mana nahangaika kwa wahindi kazi mlima mshahara kichuguu. Nawazaga Sana'a.
[emoji15][emoji15][emoji15] naona una dalili zote za kudrop tuna subur mlejesho mkuu.Mimi saizi ndio nimetoboa nna hela balaa sasa sina hata mood ya kujenga sababu naona nilipo kama hazitakata vile kuna demu nimelipata linakunywa pombe balaa hili nataka nilipige chini naona kama litanifilisi. da haina mbaya mwakani ntaanza ujenzi
Pole sana mkuu, naelewa vizuri situation unayopitiaMie nmefiliska mwezi huu yaani kichwani nahisi nmewekewa petrol inawaka
Wewe mbona hujafilisika mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nilifikia mpaka nakamata Milioni moja au laki 8 kwa siku,
Nilichofanya nikanunua viwanja katika mikoa yote inayopitiwa na barabara ya kati na nikajenga nyumba 3 ambazo zote nimemkabidhi mke zimsaidie yeye na watoto kipindi hiki cha mpito.
Sasa hivi siingizi pesa kama zamani lakni Nina programme moja yenye project tatu zinanikamua haswa lakni nategemea return yake itakuwa super .
Sijutii kabsa fursa niliyoipata niliwekeza na nilikula bata
Mkuu bata hakuna ndio maana najihisi nimepwaya,enzi hizo jumamosi kama Leo lazima nimalize m ndio roho inatuliaWewe mbona hujafilisika mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
ukisoma kuanzia page ya kwanza hadi hapa, utagundua sisi wengine kumbe maisha bado sanaaa.Huu uzi unanifikirisha sana nakaribia kutoka machozi ninapo soma coment zenu humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha
Kweli umechanganyikiwa kaka, naona unaji quote mwenyewe na kujijibu mwenyewe,hahahahahahahaaaaa kumamake walaaah we jamaaaa itakuwa unanijua vizurii sio bure uyo ni mm kabsaa
Kweli jamaa kadata [emoji16][emoji16]Kweli umechanganyikiwa kaka, naona unaji quote mwenyewe na kujijibu mwenyewe, View attachment 1052059
Huyu ndio mwenye uhalisia wa anachokisema 100%
Hahaa ... wallahi ukiingia jf usipo cheka ..basi wewe itakuwa ni maitiDuuuu Pesa kubwa kushika ni elfu hamsini. Nina miaka 30. Sijui hizo milioni nitazishika?