Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja waje tuzidi kujifunzahivi wadau mliishiwa wapi baada ya huu uzi kuisha, kuna waliofanikiwa na kupata hela? kuna waliopata hela na kufilisika tena?
Yalikuta hayo hayo kila siku una boost nikaamua kuuza mpaka opener.Niliwahi kuzichanga huko nyuma, nikafungua grocery! Kwa kuwa nami nilikuwa mwanachama, mwanzoni nilikuwa na wateja wazuri na waaminifu. Baada ya muda mikopo ikaanza. Mteja akikopa na deni likiwa kubwa, anahama kijiwe. Nakumbuka mara ya mwisho nilifungia crate tupu kwani hata chupa walishakopa zikiwa na pombe ndani. My Take: Biashara ya pombe kama na wewe mmiliki ni mnywaji, usinywee pale, ni hatari kwa usalama wa grocery yako.
hahahahaahahYalikuta hayo hayo kila siku una boost nikaamua kuuza mpaka opener.
Sent using Jamii Forums mobile app
wadau wanataka ushahidi.Mimi saizi ndio nimetoboa nna hela balaa sasa sina hata mood ya kujenga sababu naona nilipo kama hazitakata vile kuna demu nimelipata linakunywa pombe balaa hili nataka nilipige chini naona kama litanifilisi. da haina mbaya mwakani ntaanza ujenzi
[emoji23]Mie nmefiliska mwezi huu yaani kichwani nahisi nmewekewa petrol inawaka
Et petrol aisee kufilisika kubaya sanaMie nmefiliska mwezi huu yaani kichwani nahisi nmewekewa petrol inawaka
Pole mkuuDue acheni kunikumbisha, nilikua nafanya kazi sehemu flani wafanya kazi wenzangu wakashawish kampuni iwe inatoa mkopo Mara pa ikakubaliwa, na wenzangu walichukua mkopo mkubwa na Mimi nikachukua 8ml, do kwanza sijazigusa mwezi mzima najaza mipango kwenye makaratasi, usiku na amka napanga mipango, nikapata wazo nidroo pesa zote nikae nazo Ndani, nikadraw, siku moja kama demu wangu kaniambia mbona sikuhiz unapiga mahesabu sana na makaratasi mengi mezani, nikamwambie Hamna mipango tu, Mara akajua Nina pesa, akaja home sijui alinitime VIP akaiba zote, kuna machinga nilimuambia aniletee pas original asijal gharama, siku kaja nachek bahasha sioni pesa nampigia simu selina hapatikan, nauliza nkaambiwa ameenda morogoro, jamaa anasema pasi elfu 40, kaiacha hapo,
Ww hatari zaidi. Na wahudumu walisalimika kweli? Au uliwanunua mwenyewe?Yalikuta hayo hayo kila siku una boost nikaamua kuuza mpaka opener.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka sana aiseeeHaa ha ha ha ha..Mil 9 kwa laki 8 khaaa... hapo lazima kichwa kiumee!! Maswala ya kuwekeza kwenye Kilimo chochote direct shambani yatakaa moyoo sanaa kufanikiwa inakuaga kama zarii tuuu...
Hivi ni kweli hawa jamaa huwa ni wachawi hivi...Tajirimsomi kuhusu wahindi nna ushahidi wa dadaangu baba mmoja mama mmoja!...
Aliwapiga wahindi kama 60m hivi, akanunua Benz, kiwanja, na furniture ndani, alichokosea na yeye mara uzalendo umemshinda akaanza kwenda na Benz lake job!
Wee navyoongea now wamemchunguza ila yy hajapelekwa mahakamani, tunachokiona sisi ni kwamba kalogwa, benz kushnei now ( alipata nalo ajali Moro) kiwanja kauza, alitaka kufanya biashara ya mbao sijui anashirikiana wa jamaa gani na alichangia 15m, huyo jamaa yake kapata ajali na vibaka wamemwibia hizo pesa!
Yaani na ana mikosi hataree!
Wachawi balaa,wakishaanza kukufilisi hivyo hela zao ulizowaibia zikiisha huchukui muda mrefu unakufa.
hahahaahahaWachawi balaa,wakishaanza kukufilisi hivyo hela zao ulizowaibia zikiisha huchukui muda mrefu unakufa.
Sent using Jamii Forums mobile app