greybakuza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 897
- 1,276
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Maisha noma sanaa...Kuna jamaa yetu alipewa hela baada ya mzee wake kufariki million 29.Kipindi hiko kuna nyumba inauzwa million 7 tukamshauri anunue wapi.Yeye alidai mipango yote bandari salama.Bwana kwanza hiyo safari kutoka Kahama to Dar ,Nzega alilala huku anakula bata,Singida hivyo hivyo Dodoma bata kwa kwenda mbele,Moro mwendo uleule.Baada ya mwaka kupita namuona tena Kahama nilimwambia "ntakutandika makofi ".Baada ya kuanza kuniambia kaka unajua hutu tubiashara twa kuuza mafuta ya vibaba na nyanya chungu tunalipa watu hawajui tu.Kwa sasa hana hata 100 tunambeba ndugu yetu kinachopatikana tunagawana.
Hahahaha hela za urithi zinawatoa wengi akili.Kuna jamaa yetu alipewa hela baada ya mzee wake kufariki million 29.Kipindi hiko kuna nyumba inauzwa million 7 tukamshauri anunue wapi.Yeye alidai mipango yote bandari salama.Bwana kwanza hiyo safari kutoka Kahama to Dar ,Nzega alilala huku anakula bata,Singida hivyo hivyo Dodoma bata kwa kwenda mbele,Moro mwendo uleule.Baada ya mwaka kupita namuona tena Kahama nilimwambia "ntakutandika makofi ".Baada ya kuanza kuniambia kaka unajua hutu tubiashara twa kuuza mafuta ya vibaba na nyanya chungu tunalipa watu hawajui tu.Kwa sasa hana hata 100 tunambeba ndugu yetu kinachopatikana tunagawana.
Ha ha aisee hatari sana!!Nilipitia janga moja hadi nikawa najiuliza au ni kwa vile natoa hoja za kumpinga Mungu?
Nikaja kugundua haya mambo yanawakuta wote
Mbaya zaidi ukifilisika watu waliokuwa wakaribu yako wanakufanya mwanasesere wao
Pole mkuu..naelewa hali unayopitia!Kati ya mwaka 2011-2015 nilikuwa ktk standard nzuri kiasi kimaisha, biashara nzuri, usafiri binafsi na viwanja 2 mjini, pesa ya kuzungukia mjini na mafuta haikuwa shida..ninapoandika comment hii kesho sifahamu nakula nini! Nimefilisika! Hakuna hata ndugu anaenipigia simu tena maana naonekana kituko. Wakuu tuombeane tu..kufilisika kuna maumivu ambayo si rahisi kuyaandika hapa.
Au kuku aliyefilisika vifarangaYaani inafikia hatua unakua upo tu hujui ufanye nini! Hujielewi kama kuku.
Kila mtu na level yake ndugu....
Kipindi hicho alitoka kumaliza tu chuo .... huoni hiyo hela ilikuwa kubwa? Sio ilikuwa kubwa tu bali ni kubwa sana tu kulingana na maisha yalivyo.... wapo wenye magenge madogo ya mboga unakuta mtaji haujafika hata elfu 30, na wapika maandazi mitaani je?
Pia unaweza ukawa na mtaji wa milioni 500 ukajiona upo juu wakati hiyo milioni 500 kwa mwingine ni upuuuzi tu.
Jua tupo tofauti kimaisha mwingine akipata 5000 kwa siku anajiona yeye ndiyo yeye kulingana na maisha yake na yupo ambae 1000 kwake ni mtihani kupata kwa siku...
Hatulingani kila mtu na level zake kimaisha.
huyu ndugu yako kavunja record humu😆😆😆😆😆😆😆Kuna jamaa yetu alipewa hela baada ya mzee wake kufariki million 29.Kipindi hiko kuna nyumba inauzwa million 7 tukamshauri anunue wapi.Yeye alidai mipango yote bandari salama.Bwana kwanza hiyo safari kutoka Kahama to Dar ,Nzega alilala huku anakula bata,Singida hivyo hivyo Dodoma bata kwa kwenda mbele,Moro mwendo uleule.Baada ya mwaka kupita namuona tena Kahama nilimwambia "ntakutandika makofi ".Baada ya kuanza kuniambia kaka unajua hutu tubiashara twa kuuza mafuta ya vibaba na nyanya chungu tunalipa watu hawajui tu.Kwa sasa hana hata 100 tunambeba ndugu yetu kinachopatikana tunagawana.
Nashukuru mkuu..
haahahaTatizo akili inarudi pale receipt inaposoma salio lako ni laki mbili [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ndio unajiuliza hii niiiinunuliee halafu jibu linakujia pale pale haitoshi baada ya siku mbili unaenda toa laki na nusu halafu hukanyagi tena bank na ukipita karibu ni upande wa pili wa Barabara [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Asali yako inatoka mkoa gani?Ni ya nyuki wadogo au wakubwa?Unayokiasi gani?Asante mkuu kwa historia fupi ya changamoto ulizopitia na baadae kufikia mafanikio.
Mimi natafuta wapi kuna Soko la Asali mbichi.Yeyote mwenye kujua tuwasiliane Tafadhari.
Sent using Jamii Forums mobile app