Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Kuna jamaa yetu alipewa hela baada ya mzee wake kufariki million 29.Kipindi hiko kuna nyumba inauzwa million 7 tukamshauri anunue wapi.Yeye alidai mipango yote bandari salama.Bwana kwanza hiyo safari kutoka Kahama to Dar ,Nzega alilala huku anakula bata,Singida hivyo hivyo Dodoma bata kwa kwenda mbele,Moro mwendo uleule.Baada ya mwaka kupita namuona tena Kahama nilimwambia "ntakutandika makofi ".

Baada ya kuanza kuniambia kaka unajua hutu tubiashara twa kuuza mafuta ya vibaba na nyanya chungu tunalipa watu hawajui tu.Kwa sasa hana hata 100 tunambeba ndugu yetu kinachopatikana tunagawana.
 
Kuna jamaa yetu alipewa hela baada ya mzee wake kufariki million 29.Kipindi hiko kuna nyumba inauzwa million 7 tukamshauri anunue wapi.Yeye alidai mipango yote bandari salama.Bwana kwanza hiyo safari kutoka Kahama to Dar ,Nzega alilala huku anakula bata,Singida hivyo hivyo Dodoma bata kwa kwenda mbele,Moro mwendo uleule.Baada ya mwaka kupita namuona tena Kahama nilimwambia "ntakutandika makofi ".Baada ya kuanza kuniambia kaka unajua hutu tubiashara twa kuuza mafuta ya vibaba na nyanya chungu tunalipa watu hawajui tu.Kwa sasa hana hata 100 tunambeba ndugu yetu kinachopatikana tunagawana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Maisha noma sanaa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa yetu alipewa hela baada ya mzee wake kufariki million 29.Kipindi hiko kuna nyumba inauzwa million 7 tukamshauri anunue wapi.Yeye alidai mipango yote bandari salama.Bwana kwanza hiyo safari kutoka Kahama to Dar ,Nzega alilala huku anakula bata,Singida hivyo hivyo Dodoma bata kwa kwenda mbele,Moro mwendo uleule.Baada ya mwaka kupita namuona tena Kahama nilimwambia "ntakutandika makofi ".Baada ya kuanza kuniambia kaka unajua hutu tubiashara twa kuuza mafuta ya vibaba na nyanya chungu tunalipa watu hawajui tu.Kwa sasa hana hata 100 tunambeba ndugu yetu kinachopatikana tunagawana.
Hahahaha hela za urithi zinawatoa wengi akili.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati ya mwaka 2011-2015 nilikuwa ktk standard nzuri kiasi kimaisha, biashara nzuri, usafiri binafsi na viwanja 2 mjini, pesa ya kuzungukia mjini na mafuta haikuwa shida..ninapoandika comment hii kesho sifahamu nakula nini! Nimefilisika! Hakuna hata ndugu anaenipigia simu tena maana naonekana kituko. Wakuu tuombeane tu..kufilisika kuna maumivu ambayo si rahisi kuyaandika hapa.
Pole mkuu..naelewa hali unayopitia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikua 2015 nilipata kazi ya miez 6 programu iliokua chini ya wizara ya ardhi na wadernmark fulan nikapiga mill 35 aiseee nikanunua hiace used moja mil 12 hela nyingne nilikula bataa nikaenda southafrica nikakaa mwezi mzima kurud sina hata mia ile hiace kwakua nilinunua used walinipiga ikaanza kusumbua saaana baadae ikapata ajali na sikua na ile insurance kubwa nayo ikawa kama imepotelea hewan ikauzwa screpa kwa bei ya kutupwa.

Aiseee kila nikiikumbuka ile hela roho inaniuma saana laiti kama ningetuliza kichwa vzr ningeweza fanya mradi endelevu mzuri na ningekua mbali kibiashara..ikabidi nirud tena kuajiriwa kwa vihela kiduchu
 
Kila mtu na level yake ndugu....

Kipindi hicho alitoka kumaliza tu chuo .... huoni hiyo hela ilikuwa kubwa? Sio ilikuwa kubwa tu bali ni kubwa sana tu kulingana na maisha yalivyo.... wapo wenye magenge madogo ya mboga unakuta mtaji haujafika hata elfu 30, na wapika maandazi mitaani je?

Pia unaweza ukawa na mtaji wa milioni 500 ukajiona upo juu wakati hiyo milioni 500 kwa mwingine ni upuuuzi tu.

Jua tupo tofauti kimaisha mwingine akipata 5000 kwa siku anajiona yeye ndiyo yeye kulingana na maisha yake na yupo ambae 1000 kwake ni mtihani kupata kwa siku...

Hatulingani kila mtu na level zake kimaisha.

Mungu akubariki saana Mkuu!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuna jamaa yetu alipewa hela baada ya mzee wake kufariki million 29.Kipindi hiko kuna nyumba inauzwa million 7 tukamshauri anunue wapi.Yeye alidai mipango yote bandari salama.Bwana kwanza hiyo safari kutoka Kahama to Dar ,Nzega alilala huku anakula bata,Singida hivyo hivyo Dodoma bata kwa kwenda mbele,Moro mwendo uleule.Baada ya mwaka kupita namuona tena Kahama nilimwambia "ntakutandika makofi ".Baada ya kuanza kuniambia kaka unajua hutu tubiashara twa kuuza mafuta ya vibaba na nyanya chungu tunalipa watu hawajui tu.Kwa sasa hana hata 100 tunambeba ndugu yetu kinachopatikana tunagawana.
huyu ndugu yako kavunja record humu😆😆😆😆😆😆😆
 
Tatizo akili inarudi pale receipt inaposoma salio lako ni laki mbili [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ndio unajiuliza hii niiiinunuliee halafu jibu linakujia pale pale haitoshi baada ya siku mbili unaenda toa laki na nusu halafu hukanyagi tena bank na ukipita karibu ni upande wa pili wa Barabara [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
haahaha
 
Back
Top Bottom