Ilitarakimura
JF-Expert Member
- Feb 7, 2016
- 2,505
- 1,645
Sure.. hela huibua tabia zetu zilizojifichaHahaahha zipate kwanza tujue tabia yako.
Pesa za kuhongwa zina mikosi, kama ilivyo za wiziNilipewaga dola 100 zamani sana na danga limoja hivi aiseee kwa kipindi kile ilikua ela nzuri nikaja nikaila bila kuelewa imepita wap
Nikaja kupewa tena mil1 na hilo hilo danga zamani kidogo nayo haikufanya la maana
Nikaja nikapata danga lingine likanipa m2 nazo nimefanyia kazi haikuzaaa
Tangu wakati huo miaka imepita sitaki tena ela za madanga,nimeolewa na nina tafuta hela kialali
Msiwashangae kina wema hela za kudanga hata upewe bil 1 huwa zinayeyuka
Nilishika mil 12,400,000 mwaka 2015 mwezi wa pili nilichanganyikiwa, akili ilinikaa baada ya kubakiwa na laki 2, Leo Nina mtaji wa mil 1.7 nina heshima nao hatareee
Usinikumbushe mkuu!! Yaani mpaka ilipobaki 50,000 ndo nikashtuka kumbe zimeisha!! ATM mbaya sana!! Ila Mungu anisamehe tu!Hela za urithi hazina hasara.
Nilizitumbuaaaa.
KATIKA MAISHA HAKUNA KITU KIZURI KAMA KWENDA KU WITHDRAW ATM.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] . Nilikuwa nakaanga mayai 10 kila siku.Usinikumbushe mkuu!!yaani mpaka ilipobaki 50,000 ndo nikashtuka kumbe zimeisha!!ATM mbaya sana!!ila Mungu anisamehe tu!
Ni Tawi jipya la CCM lipo Chatto.Danga ndo nini mdada?
Sure, very true mkuu, bless up.Pole sana mkuu,hii thread yako inanikumbusha ndugu na jamaa waliofirisika,nami kupitia wao nimejifunza vitu vingi sana katika maisha,kwanza nnaamini hakuna ajuaye kesho yake,pil kufirisika haina kesho,tatu usijivune ukiwa navyo(usiwadharau wengine),nne kuwa na nidhamu ya pesa(kimatumizi),tano epuka kukopa kiwango kikubwa cha mkopo na pia usiwe mwepesi kukopesha,na n.k
Na hakuna mlio/ringtone mtamu kama wa ATM praprapraprapraHela za urithi hazina hasara.
Nilizitumbuaaaa.
KATIKA MAISHA HAKUNA KITU KIZURI KAMA KWENDA KU WITHDRAW ATM.
Hahahahahahahahaaaaa ATM ni kitu kibaya sanaa kuwai kutokea.[emoji1] [emoji1] [emoji1] . Nilikuwa nakaanga mayai 10 kila siku.
Nikienda bar. Mbuzi choma ya 10,000.
Kuhonga sasa.kuvaa usiseme.
Mara ya mwisho Naenda ATM. Kuna 4,500..
Nilikuwa mdogo.ila HeLa za kukinga tu hazina Baraka