Chipsi Kavu
Member
- Nov 28, 2017
- 26
- 16
[emoji1] [emoji1]Jibaba ambalo huna future nalo,na yeye analijua hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1] [emoji1]Jibaba ambalo huna future nalo,na yeye analijua hilo
Ukiwa nazo za kukinga.hahahaaaa!! unaenda kutoa hela ATM hutaki hata risiti unaona utajipa presha tu
Na hiyo smartphone ya bei ganiDuuuu Pesa kubwa kushika ni elfu hamsini. Nina miaka 30. Sijui hizo milioni nitazishika?
Kachanganyikiwa maana hajui anaomba niniAkusaidie uzipate au akusaidie kuwa ukizipata usifilisike au vyote!??
Ni ya jamaa yangu nimegongea Mkuu. Sijawahi kununua sim. Ninayotumia ni okingi niliokota tangu mwaka juziNa iyo smart phone ya bei gani
Grocery ni kwaajili ya mbogamboga na matunda mkuu!!!!! Sasa hizo beer zimetoka wap au bar?Niliwahi kuzichanga huko nyuma, nikafungua grocery! Kwa kuwa nami nilikuwa mwanachama, mwanzoni nilikuwa na wateja wazuri na waaminifu. Baada ya muda mikopo ikaanza. Mteja akikopa na deni likiwa kubwa, anahama kijiwe. Nakumbuka mara ya mwisho nilifungia crate tupu kwani hata chupa walishakopa zikiwa na pombe ndani. My Take: Biashara ya pombe kama na wewe mmiliki ni mnywaji, usinywee pale, ni hatari kwa usalama wa grocery yako.
Acha kumkufuru Mungu hapo dukani kwako huingizi zaidi ya elfu 50 kwa week?Duuuu Pesa kubwa kushika ni elfu hamsini. Nina miaka 30. Sijui hizo milioni nitazishika?
Huwa nawaonea huruma wazee wastaafu waliofilisika,unakuta alilamba M150.Halafu hazijafika hata miaka miwili zimeisha,kinachofuata n kuongea barabarani.
Hapana ninachaji simu. Naingiza wastan Wa buk 5 kwa siku. Nina familia inakula wastan Wa 3000 kwa siku piga hesabu ya 10 kwa wiki.Acha kumkufuru Mungu hapo dukani kwako huingizi zaidi ya elfu 50 kwa week?
Hiyo Tecno umenunua zaidi ya 250k.... Haya bwana mangi
yaaani mlemleeee!!! halafu unajifanya uko bize na miamalaaa, unapishana na wadosi kwenye ATM, ukikuta ATM haina salio unaanza kulalama kwamba wanazingua wanakuchelewesheni kwenye biashara!! kumbe unawahi baa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukiwa nazo za kukinga.
Rafiki yako mkubwa ATM. Ukiingia pale una bofya tu. Mpunga unatoka. Zingine mpyaaaa. Alafu zina ubaridi ubaridi wa air condition. Ngoja siku ziishe. ATM utaipitia kwa mbaaali. Uingie ukafanye nini.?
Nimeyamiss haya maisha kwa kweli.
Huyo anaesema M4 siyo hela atakuw maskini na kama anazo ni fisadi mkubwa.Naomba mil moja hapo
Kama m4 sio hela
We ni maskini wa akili. Uhakika 100%100Million 4 nazo ni pesa za kusimulia watu?