Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Due acheni kunikumbisha, nilikua nafanya kazi sehemu flani wafanya kazi wenzangu wakashawish kampuni iwe inatoa mkopo Mara pa ikakubaliwa, na wenzangu walichukua mkopo mkubwa na Mimi nikachukua 8ml, do kwanza sijazigusa mwezi mzima najaza mipango kwenye makaratasi, usiku na amka napanga mipango, nikapata wazo nidroo pesa zote nikae nazo Ndani, nikadraw, siku moja kama demu wangu kaniambia mbona sikuhiz unapiga mahesabu sana na makaratasi mengi mezani, nikamwambie Hamna mipango tu, Mara akajua Nina pesa, akaja home sijui alinitime VIP akaiba zote, kuna machinga nilimuambia aniletee pas original asijal gharama, siku kaja nachek bahasha sioni pesa nampigia simu selina hapatikan, nauliza nkaambiwa ameenda morogoro, jamaa anasema pasi elfu 40, kaiacha hapo,
Duuh aysee, kweli pesa shetani, mpaka ukapata wazo la kuiwithdraw? Tena yooote? Aysee ukaishia wapi sasa? Pole
 
Mimi ndio ngedere kabisa nilifanya kazi kwenye kampuni ya gas ndani ya miaka mi3 nilipata kama milion 10 nikanunua pikipiki ya kutembelea nikawa kazi yangu kuwafata mademu na kwenda kula bata beach demu nikimpata mtandaon hata awe anakaa Kibaha namfata na pikipiki kiukwel sikuamini kama ile hela ingekuja kuisha nilikuwa naiona nyingi sana kumbuka mii nmetokea familia ya kimasikin hivi nnavyoandika hapa nmerudi naishi home kwa baba na mama sina hata mia mfukoni
 
mimi ndo ngedere kabisa nilifanya kazi kwenye kampuni ya gas ndan ya miaka mi3 nilipata kama milion 10 nikanunua pikipki yakutembelea nikawa kazi yangu kuwafata mademu na kwenda kula bata beach demu nikimpata mtandaon hata awe anakaa kibaha namfata na pikipiki kiukwel sikuamin kama ile hela ingekuja kuisha nilikuwa naiona nyingisana kumbuka mii nmetokea familia ya kimasikin iv nnavyoandika hapa nmerud naish hom kwa baba na mama sina hata mia mfukon
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah pole
 
Kila pesa ipitiayo mikononi mwako ina jini. Shetani hapendi watu wawe na maisha mazuri bali mabaya ili awatawale. Pesa yoyote halali yaweza kuwa mtaji wako haijalishi ni kiwango gani.
Biashara nyingi za kuonekana unapoifanya nyingi hufilisi watu wengi bali zinazoonekana za ovyo au za siri hutajirisha wengi. Mfano usindikaji wa mazao, kilimo, ununuzi wa hisa, ujenzi wa nyumba za biashara and others related to these.
Wengine wana mikosi ukidiriki kumwambia unachotaka kufanya basi katu hufanikiwi hivyo siri ya mipango yako ndiyo siri ya mafanikio.
Hapo kwenye aya ya mwisho ndo umemaliza kabisa, mi tangu zamani nilikuwa najiuliza sana kuhusu jambo hilo, yani kila mpango wangu ninaomshirikisha jamaa yangu lazima ujambe tu hadi nikaanza kuhic labda ananiroga lakini jamaa wala hana hata idea na hayo mambo.....lakini kwa hilo utakuwa umenifumbua macho aisee
 
mimi ndo ngedere kabisa nilifanya kazi kwenye kampuni ya gas ndan ya miaka mi3 nilipata kama milion 10 nikanunua pikipki yakutembelea nikawa kazi yangu kuwafata mademu na kwenda kula bata beach demu nikimpata mtandaon hata awe anakaa kibaha namfata na pikipiki kiukwel sikuamin kama ile hela ingekuja kuisha nilikuwa naiona nyingisana kumbuka mii nmetokea familia ya kimasikin iv nnavyoandika hapa nmerud naish hom kwa baba na mama sina hata mia mfukon
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hamna shida mkuu, tumuombe Mungu tutasimama tena!! hata trump alishawahi kufilisika Mara 4, lakini akanyanyuka tuu.
 
Hela za urithi hazina hasara.
Nilizitumbuaaaa.
KATIKA MAISHA HAKUNA KITU KIZURI KAMA KWENDA KU WITHDRAW ATM.
Tatizo akili inarudi pale receipt inaposoma salio lako ni laki mbili [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ndio unajiuliza hii niiiinunuliee halafu jibu linakujia pale pale haitoshi baada ya siku mbili unaenda toa laki na nusu halafu hukanyagi tena bank na ukipita karibu ni upande wa pili wa Barabara [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Kwani vipi mbona skuelewi?? Kwamba sijawahi kushka hata m1.. ok sawa sijawqh sikulazmish mbona kama inakuuma sikuelew aisee
matani tu hayo mjomba[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usichukulie too serious!!
 
h

siku nikikumbuka jins nilivyotumia ile hela huwa najifungia chumbani naliaa weee hadi macho yanakuwa mekundu
hahahaaa!! zungushaaaa, wape bia haoooo!!! wanywe mpaka waombe poa!! kampuni kubwa hiiiiiiii!!!, bill inakuja 70,000/= mfukoni una 50,000/= unachukua pikipiki fasta huku wadau unawaacha wanakula mvinyo, unaenda kuvuta 200,000/= ili imalize kila kitu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mnahama viwanja huku group linakufuata nyuma kila MTU na bebi wake unawanywesha wewe!!!
 
mimi ndo ngedere kabisa nilifanya kazi kwenye kampuni ya gas ndan ya miaka mi3 nilipata kama milion 10 nikanunua pikipki yakutembelea nikawa kazi yangu kuwafata mademu na kwenda kula bata beach demu nikimpata mtandaon hata awe anakaa kibaha namfata na pikipiki kiukwel sikuamin kama ile hela ingekuja kuisha nilikuwa naiona nyingisana kumbuka mii nmetokea familia ya kimasikin iv nnavyoandika hapa nmerud naish hom kwa baba na mama sina hata mia mfukon

Eti ngedere[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom