Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Mi nashukuru nilishtuka toka mwezi june baada ya kuona masanga ndio yanapeleka mambo yangu wrong sikuamua kuacha ila nimejiwekea utaratibu ambao ndio nautumia mpaka leo hii nikitoka kazini napita liquor store nachukua konyagi kubwa jibapa la 9000 naenda kunywea home nashukuru nilirudi kwenye dira na hela naiona zaidi baada ya kuacha pombe za kampani.
"Pesa mfano wa puto zinazopepea starehe ndio sindano"
Hahahaha dah!! Kweli kabisa aiseeee pombe za round sio kabisaaaa
 
Huu uzi unanisuta mm. Enzi hizo kila club unayoijua hapa mjini nilikuwa napewa hashima na mameneja. Nimemtajirisha sana mbowe pale bills. Meza yangu ilikuwa haipungui watu 5. Nikaja nikaishiwa hata mia sina, ninachohukuru nilijenga nyumba ya maana. Jamaa zangu wote wakanikimbia. Inafika hatua uko nyumni kwenye jumba zuri hata mia huna. Unaanzaje kwenda kukopa kwa mangi wkt jamii inakuona mdosi!!!! Hajahahaha maisha haya. Msoto mkali miaka 3 mfululizo. Baada ya hapo nikaanza kupata vidili vya kuinhiza 2mil kwa week. Nafanya kazi lkn hela inaishia wapi sijui

Baada ya kutafakali sana nikaona niache kunywa c/lite. Hahahaha sasa nimeona nianze kunywa chibuku. Hata niwe na milion mfukoni nanunua kopo zangu tatu kwa shs 3000 tu natinga home nameza zangu chibuka. Namshukuru wife alinivumilia kipindi kile.

Bila kufulia huwezi jua dunia ikoje
 
Aisee mkuu wew ninoma!
Mi pombe nakunywa for funny tu, sinywi ili nilewe sana na raha ya pombe unywee bar huku unacheki Mpira na totoz zinavyopishana kuhudumia Wateja!

Kwa situations iliyofikia ni bora hata hiyo pombe uachane nayo tu maana hapo itakua haupo comfortably hata unapoenda inunua na mbaya zaidi ni pale unaporudisha chupa.
 
Aisee mkuu wew ninoma!
Mi pombe nakunywa for funny tu!
sinywi ili nilewe sana na raha ya pombe unywee bar huku unacheki Mpira na totoz zinavyopishana kuhudumia Wateja!
Kwa situations iliyofikia ni bora hata hiyo pombe uachane nayo tu maana hapo itakua haupo comfortably hata unapoenda inunua na mbaya zaidi ni pale unaporudisha chupa.
Starehe zote nimefanya, hayo ndio maamuzi yangu
 
mimi ndo ngedere kabisa nilifanya kazi kwenye kampuni ya gas ndan ya miaka mi3 nilipata kama milion 10 nikanunua pikipki yakutembelea nikawa kazi yangu kuwafata mademu na kwenda kula bata beach demu nikimpata mtandaon hata awe anakaa kibaha namfata na pikipiki kiukwel sikuamin kama ile hela ingekuja kuisha nilikuwa naiona nyingisana kumbuka mii nmetokea familia ya kimasikin iv nnavyoandika hapa nmerud naish hom kwa baba na mama sina hata mia mfukon
kwa nini avatar yako usiandike ngedere...ni wazo tu!
 
Hujawahi kufilisika mkuu.wewe uliingia hasara.ingekuwa umepoteza mtaji wa milioni 100 sawa.hizo za milioni 2,3 mpaka 10 tumeshapoteza wengi sana ni hela ya kawaida kuingia loss kwa sisi watafutaji.ikitokea unasikitika kidogo,unajitathmini wapi ulipokosea,unajipanga unarudi vitani.
mkuu kuna watu wanaanza na hiyo mil2 inawatoa kabisa.
 
Aisee mkuu wew ninoma!
Mi pombe nakunywa for funny tu!
sinywi ili nilewe sana na raha ya pombe unywee bar huku unacheki Mpira na totoz zinavyopishana kuhudumia Wateja!
Kwa situations iliyofikia ni bora hata hiyo pombe uachane nayo tu maana hapo itakua haupo comfortably hata unapoenda inunua na mbaya zaidi ni pale unaporudisha chupa.
Huu uzi haukufai
Nenda kwa ule unaosema
Raha ya kuponda pesa
 
Back
Top Bottom