jenerali kibibi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,167
- 623
30 kwa mchaga n hela ya mchichaKwani og yukoje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
30 kwa mchaga n hela ya mchichaKwani og yukoje?
Huo bado sijautembelea mkuu, subiri niutafute!Huu uzi haukufai
Nenda kwa ule unaosema
Raha ya kuponda pesa
50 sio 3030 kwa mchaga n hela ya mchicha
Hahahaha hapo ndo ujue kichamganya mapenzi na kaZaisee nakumbuka nipo mwaka wa pili chuo , maisha yakawa yamekaza sna kwa kwel nikaomba kamtaji nikafungua ki jisehem cha kuuzia spices sokon kama ka laki sita ivi yaan kila nikiwa na promis na demu nakula 50000 yaani kilikufa kibiashara hata hakikuchkua mda
SureIla watu wenye displin ya hela huishi maisha magumu sana.
Hapo unajaribu kushusha hesabu ya matumizi lakini inagoma! Kuna kijasho flan chembambaaa huwa kinashuka usoni! Halafu kwa tabia mbaya ya "shida" ndipo inapojitokeza tena Ile ya muhimu sana!Maumivu yanakuja wakati ambao unaona laki ni pesa nyingi sanaa kumbe, alaf wewe ulikua na milion 10 majuzi tu na leo umebakiwa na elf 30.
Namaliza chuo tu napta kazi. Inalipa mbaya nakodisha apartment. Nikifunga hesabu ya mwezi haina kwere nawatafuta washkaji tunasherehekea. Madem hawakauki kwangu full kujiachia ndani ya self contained. Luxury life. Sina saving. Siku nivofanyiwa auditing nakubaini madudu kazi ikaisha. Nilipagawa nikarudi kwa baba na mama. Nikapatwa na maradhi ya watu wazima mapresha wakati niko kijana mbichii. Washkaji walinitenga. Mpaka leo sijapata kazi ya mana nahangaika kwa wahindi kazi mlima mshahara kichuguu. Nawazaga Sana'a.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ulikuwa unabadilisha tu viwanja vya kula kuku.Nilishika mil 12,400,000 mwaka 2015 mwezi wa pili nilichanganyikiwa, akili ilinikaa baada ya kubakiwa na laki 2, Leo Nina mtaji wa mil 1.7 nina heshima nao hatareee
mkuu ID yako inanikumbusha uchaguz wa 2015Huo bado sijautembelea mkuu, subiri niutafute!
naam uliuza Uhuru ukanunua utumwaHa ha ha,nilikua na kikazi kimoja kila siku hela ya maji ya kunywa 100,000 na kuendelea,
nakumbuka nimekula ulabu toka 2000-2010 non stop daily,
kweli pombe sio chai jameni,acheni nilime haya majaruba tu
sio kwelihuwezi kuwa tajiri bila kufilisika
Anazo azitoe wapi mbwembwe tu.Huyo anaesema M4 siyo hela atakuw maskini na kama anazo ni fisadi mkubwa.
Nimejifunza kitu hapa ili umiliki hella inatakiwa na karohoo mbaya kawepo halafu uwe mtu wa kulialia shida ili watu wasikufate kukukopa halafu kuepuka beer za round ni mbaya kuliko maelezo.