David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
Miaka 3 iliyopita nililima eka 40 za mpunga na 30 za mahindi nilipokuja kuuza mazao niliingiza faida ya mil 55 ukitoa na pesa ya mtaji.
Leo tar 1 nina laki moja tu, wanawake sio viumbe vya mchezo na kazi nimefukuzwa niliowasaidia wamenitupa. Nimejifunza mistake zote nilizofanya ila nikikumbuka naumia mno..kwa vile nina nguvu sina ulemavu naendelea kupambana.
Nimerudi home kwa wazazi maana hali ni tete ninaweza kuwa tahaira
Leo tar 1 nina laki moja tu, wanawake sio viumbe vya mchezo na kazi nimefukuzwa niliowasaidia wamenitupa. Nimejifunza mistake zote nilizofanya ila nikikumbuka naumia mno..kwa vile nina nguvu sina ulemavu naendelea kupambana.
Nimerudi home kwa wazazi maana hali ni tete ninaweza kuwa tahaira