mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Million 4 ya mwaka 1990 unadhani ilikua mchezo?Million 4 nazo ni pesa za kusimulia watu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Million 4 ya mwaka 1990 unadhani ilikua mchezo?Million 4 nazo ni pesa za kusimulia watu?
Dhahabu imekata kamanda ndo tunafukuzia kiongozi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pole comrade, haya ndo maisha buannna!!! VP lakini huko kahama mambo yakoje?
nilitaka nijilipue huko maana kwa sasa Niko karibu tu na kahama mzeiaaaa!!!Dhahabu imekata kamanda ndo tunafukuzia kiongozi
Shelui ndio nasikia pako vizuri kwa sasa lakini mimi binafsi sijaenda kutokana na dhahama lililonikumbanilitaka nijilipue huko maana kwa sasa Niko karibu tu na kahama mzeiaaaa!!!
njoo pm tuyajenge afande wanguShelui ndio nasikia pako vizuri kwa sasa lakini mimi binafsi sijaenda kutokana na dhahama lililonikumba
Duh, flan nikakutana nao nikaghairi. So anaefilisika usimcheke hata siku moja maana anauwezo wa kurud barabarani na akafanikiwa zaid.
Na maskini hamiliki gari...Mimi sijawahi kufilisika....masikini hafilisiki!
Nilipo masikini wengi tunamiliki magari.Na maskini hamiliki gari...
Hapa kweli ni changamotoYah mkuu,ndugu wengi wakishaona fulani ktk familia amepata mafanikio kidogo basi kama alikuwa na wazo lake faster analifufua hata kama hajawahi kujaribu hasara na faida zake so pesa zako wewe anaenda kuzifanyia majaribio
akishindwa tu jua na wewe umeshindwa na kuwashtaki huwezi sasa hawa unawakataa kwamba hali yako ni mbaya,japo watakuchukia ila amini usiamini hata ukiwapa siku bahati mbaya mambo yako yakayumba wao ndio wa kwanza kukuponda.pombe nazo zinadanganya sana na ukisema usikae na wana watakuona huyu jamaa namna gani unaringa nini ila mie naona bora mtu kuacha tu.
Aiseeeee [emoji134][emoji134]Niliwahi kupata milioni 120 nikiwa na umri wa miaka 26 kipindi hicho nipo mererani, nilichezea hiyo hela kwa muda wa miezi 8 nikabaki na laki mbili bank
Saguda Umenichekesha sana hiki ulichokisema kimenikuta Mwezi wa 10 hapo Kahama nilifikisha Duara nilikuwa nakula si chini ya Laki nne na kuendelea kila siku...ninavyoongea hapa nimelala mchana huu naangalia Tv mambo yamegeuka...
Mkuu,inaonekana ulikuwa unawala sana kina dadaMiaka 3 iliyopita nililima eka 40 za mpunga na 30 za mahindi nilipokuja kuuza mazao niliingiza faida ya mil 55 ukitoa na pesa ya mtaji.
Leo tar 1 nina laki moja tu..wanawake sio viumbe vya mchezo na kazi nimefukuzwa..niliowasaidia wamenitupa.
Nimejifunza mistake zote nilizofanya ila nikikumbuka naumia mno..kwa vile nina nguvu sina ulemavu naendelea kupambana.
Nimerudi home kwa wazazi maana hali ni tete ninaweza kuwa tahaira
DADA acha Mchezo!Hiyo hali siyo ya Kuombea....Kwanza ukila hela namna hiyo,Hela huwa zinasepa Na USINGIZI Wote UNAKUWA MLINZI WA NYUMBA NI KUKESHA mpaka swalaaaswalaaa inaita.....jamani sijacheka mwezi mzima nimecheka sana kwenye huu uzi