Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namaliza chuo tu napta kazi. Inalipa mbaya nakodisha apartment. Nikifunga hesabu ya mwezi haina kwere nawatafuta washkaji tunasherehekea. Madem hawakauki kwangu full kujiachia ndani ya self contained. Luxury life. Sina saving. Siku nivofanyiwa auditing nakubaini madudu kazi ikaisha. Nilipagawa nikarudi kwa baba na mama. Nikapatwa na maradhi ya watu wazima mapresha wakati niko kijana mbichii. Washkaji walinitenga. Mpaka leo sijapata kazi ya mana nahangaika kwa wahindi kazi mlima mshahara kichuguu. Nawazaga Sana'a.
Jamii yetu inamchukulia mtu kwa kitu...i mean ukiwa nacho chakuweza kusaidia mawili matatu ktk jamii unayoishi basi wewe ni mzuri sana kwao,ila inapotokea kwa bahati mbaya kimekuondoka wanakukimbia wanakuona mzigo kumbe ingefaa wawe karibu na wewe zaidi ili hata angalao uweze kupata idea nyengine kupitia wao maana wanapokukimbia wanakuacha ukiwa frustrated...Hivi ni nini ambacho huwa kinafanya mtu akishuka kimaisha watu wamkimbie? Hata uliowasaidia watakuteta hadi ukome.... tena wanakusimanga na kukutangaza jinsi gani we ni fala na hata mambo mengine mengi utasingiziwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mi nikizipata sitafilisika...ewe mola nisaidie
Mkuu,usidharau wanachomilik wenzio,siku ukikwama maishani ndiyo utajua milion 4 ni pesa za kusimulia Watu,usiwe mwepes kujivuna haujui kesho yako, kuna Watu wanamiliki mamilion ya pesa lakini ana shida na anaishi kwa stress kuliko huyo anayemilik hiyo milion 4, kuna Watu nimeishi nao walikuwa wana dharau kama wewe maana walikuwa na pesa hatari lakini hivi sasa ni aibu hata kusimulia, kwa hiyo jifunze kuheshimu cha Mtu hata kama ni kidogo kwako, kwake ni kikubwa tena mnoMillion 4 nazo ni pesa za kusimulia watu?
Pole sana mkuu,jifunze kutokana na makosa ukipata tenaMie nmefiliska mwezi huu yaani kichwani nahisi nmewekewa petrol inawaka
Mkuu dollars 12000 ni pesa mingi sana,ungekuwa mbali ungejua namna ya kuzitumia kimaendeleo;pole sanaNakumbuka nilienda training moja ughaibuni nikiwa na dollars 12,000 niliishia kurudi na mabegi yamejaa nguo huwa najimind hadi leo!
HakikaaaaIla watu wenye displin ya hela huishi maisha magumu sana.
Umejipanga kuzuga mkuu ha ha haaa.Hapana ninachaji simu. Naingiza wastan Wa buk 5 kwa siku. Nina familia inakula wastan Wa 3000 kwa siku piga hesabu ya 10 kwa wiki.
Tecno naziona kwa wateja
Mkuu wastani wako wa kukata kwa hiki kipindi sio m baya kua makini kwenye matumizi ya ziada.Nakumbuka mwaka jana nlikua na m180 but now balance inasoma m136 nataka nijenge fasta itaobak nifanye biashara yoyote zisije zikaisha
Mkuu pesa haina kinga iwe kuingia au kutoka.Kweli mkuu,binafsi hii thread nimeipenda na katika usomaji wa michango ya wadau nasoma bila kuacha kitu,inanipa somo kubwa katika maisha ya utafutaji japo najua ila nahitaji kujua zaidi wapi? tunapokosea