Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Kama una uhakika wa kupata hiyo profit ya 250M why usiuze hicho kiwanja au kukikopea dan ukafanya hicho unachotaka kufanya....hacha kufanya watu mazuzu
Sure kabisa uza kiwanja au nyumba maana thamani ya kiwanja najua haiwezi kufikia milioni 50
 
kumbe ndo Mana mnapataga Sana mimba kuliko utajiri
 
 
Uliweka heshima bar nini
hiyo ilinitokea miaka fulani ya 2013-2016 nilikuwa nafanya kazi kwa wachina, zile pesa za wizi ni kama maruhani nilizinywea sana mno ukizingatia enzi ya JK mabosi walikuwa wanakuja kutumia pesa za ufisadi, kasheshe alipoingia jamaa ndio nikapunguzwa sitakaa nisahau hata mia 200 ya kununua wanzuki ilinipitia kushoto na rasmi nikawa mlevi wa gongo
 
Kama una uhakika wa kupata hiyo profit ya 250M why usiuze hicho kiwanja au kukikopea dan ukafanya hicho unachotaka kufanya....hacha kufanya watu mazuzu
Ni kweli nyie ni MAZUZU mana hamuelewi.
 
Ila watu wenye displin ya hela huishi maisha magumu sana.
Ugumu unatofautiana kati ya mty na mtu, mwingine anaweza akapata huduma zote muhimu na akaona maisha bado si mazuri, Mwingine akapata zote lakini kutokana na mazingira aliyojijengea maisha yakawa magumu kwake kwa sababu anataka unakua unataka mambo mengi wakati huna maandalizi yoyote.
 
nilioteaga million 3 sehem fulan(kiujanja ujanja)

KOSA.mademu walikuw wakinisifia sifia ujinga na mm kichwa hichooo.
ikawa n bata na mm mim na bata ,

ASUBUH tuu ,text kama 8 za mademu hasa maslayqueen.

nilikuja kuishiwa kifala sana hata wale mademu wakawa wananikwepa [emoji1][emoji1]nikiwapigia c utasikia halloo sikusikii vizur mic mbov

ila mademu wasenge sana fikiria kipind nna mkwanja walikuw wananiita baby baada ya kuishiwa wakantania et billionaire mambo.


niliingia machimbon nikabahatisha m6.8 aseeee kichwa kiliwaka moto[emoji3][emoji3] sema ishu za madem niliachana nazo wakashangaa nmerud kuw smart tena .

ila pesa bana.
NB: katika Hustler zangu zote wimbo wa mr blue PESA ndo ulikuw the best kwangu ndo maana uwa hauchuji kwangu
 
Wee ukishawapata unawagegeda na kuwatupa kule hawa usijidanganhe eti wanakupenda. Mvue kyupi mgegede kisha msahau
 

Ha ha ha ha ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…