Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Unachosema Ni kweli mkuu.Kwa upande wangu pombe ndo kikwazo kikubwa cha mafanikio yangu.Hua naweza kuamua kuacha pombe hata miezi 3, cha kushangaza naweza kosa Hadi nauli ya dala dala!![emoji849][emoji849]Cha kushangaza nikirudi kwenye kinywaji pesa napata Ila haifanyi lolote zaidi ya anasa[emoji848][emoji848]
 
😂😂😂😂😂😂😂
 
Duuh kumbe mimi sijachezea pesa nyingi mimi nilikamata 65m. Sinywi pombe zipu nilifungua kidogo tu wala haikuzidi laki3.
Mzigo ulikata ndani ya miezi 4 tu chali. Nilikutana na watu sio sahihi katika biashara wakafuja mtaji. (Fundisho)
😂😂😂😂😂😂 daaah
 
Kupigika ni noma sana mkuu,kuna muda unahisi kama dunia nzima inakuzomea.
 
Ni kweli..hata sisi nyumbani mama alipokua ana maisha safi ndugu walikua hawakauki nyumbani..wengine hata hatuwajui sasa hivi hali mbaya mno nyumbani hatuna ndugu anayekuja hata kugonga hodi.
Ndio wanadamu walivyo boss....pambaneni nafasi nyingine itakuja tu na hao ndugu watawatafuta tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…