Kama riba ni laana mbona mabenki yanakopesha kwa riba na yanazidi kustawi kila cku?Fanya biashara zote ila usiingie kwenye riba either kwa kukopa au kukopesha...mwanzo utaona unafanikiwa ila baadae Mungu atakuchapa kofi ambalo hutakuja kulisahau maishani mwako mwote mpak unazama kaburini.RIBA ni LAANA...ukitaka kuangamia fatana na RIBA. BIASHARA imebarikiwa ila RIBA IMELAANIWA. Hilo ndio kosa lako ulilolifanya mkuu.
Umerudi kwenye game ile ile au game nyingine?Nilifilisika nikiwa kwenye level ya mil 500 mwaka 2018 na bidii ikafanya sasa namiliki kama 2bln
Izo ulizozitafuta kihalali imezifanyia nini?Nilipewaga dola 100 zamani sana na danga limoja hivi aiseee kwa kipindi kile ilikuwa hela nzuri nikaja nikaila bila kuelewa imepita wap
Nikaja kupewa tena mil 1 na hilo hilo danga zamani kidogo nayo haikufanya la maana
Nikaja nikapata danga lingine likanipa m2 nazo nimefanyia kazi haikuzaaa
Tangu wakati huo miaka imepita sitaki tena hela za madanga, nimeolewa na ninatafuta hela kihalali.
Msiwashangae kina Wema hela za kudanga hata upewe bil 1 huwa zinayeyuka.
Dah maisha haya 100m nayo vijichenji wakat sijawah shika laki 5 ya pamoja...kwel vidole havilingani ...ngoja tuendelee kujifunzaTatizo WATU wengi ufulia kwasabab wanashika vijichenji kama milion 100 kwenda chini na starehe kibao. Ukikamata dollar million moja hata ukila bata kiasi gani huwez fulia
na sisi tunao kopa kikobaFAIDA katika biashara SIO RIBA...Yaani hata kama utanunua kitu kwa sh 100 na ukakiuza kwa milioni 1...ile laki 9 na 99 mia 9 na 90 HAIWI RIBA ..ni FAIDA na ni HALALI kwako...RIBA huja pale unapokoka sh 100 halafu ukaambiwa urudishe Sh 110...hili ongezeko la sh 10 ndio RIBA ..na INA LAANA hata kama ni NDOGO katika macho yako.
Kama unatakiwa kurudisha pesa zaidi ya ile uliyokopa basi jua hapo ni ribana sisi tunao kopa kikoba
Unamaanisha nn ChiefUkipata mtaji kabla ya kuanza biashara, "jua maisha ni mchezo" ukichezewa nawe cheza. Ukisema namuachia Mungu imekula kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unadhani ukipata dollar million moja utafanya starehe hapa bongo..sii utaanza kusafirisha wanawake dubai ukagegede....starehe hazina mwisho ata hiyo million dollar unafilisika tuu ukiendekeza stareheTatizo WATU wengi ufulia kwasabab wanashika vijichenji kama milion 100 kwenda chini na starehe kibao. Ukikamata dollar million moja hata ukila bata kiasi gani huwez fulia
Sasa unadhani ukipata dollar million moja utafanya starehe hapa bongo..sii utaanza kusafirisha wanawake dubai ukagegede....starehe hazina mwisho ata hiyo million dollar unafilisika tuu ukiendekeza starehe
Ukipata mtaji kabla ya kuanza biashara, "jua maisha ni mchezo" ukichezewa nawe cheza. Ukisema namuachia Mungu imekula kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msije mi nipo kwenye mapambano mazito kutoka.% kubwa tuliofulia humu tatizo ni kuhonga wanawake, au tuhamie CHAPUTA.
Dah maisha haya 100m nayo vijichenji wakat sijawah shika laki 5 ya pamoja...kwel vidole havilingani ...ngoja tuendelee kujifunza
Sent from my SM-J510L using JamiiForums mobile app
VP UMEFANIKIWA KUFIKA MILIONIDuuuu Pesa kubwa kushika ni elfu hamsini. Nina miaka 30. Sijui hizo milioni nitazishika?
WApi sasaVP UMEFANIKIWA KUFIKA MILIONI
POST YAKO YA MUDA ULISEMA HUJAWAHI KUSHIKA MILIONI SASA MIAKA IMEPITA NDO NAULIZA UMEFANIKIWAWApi sasa
Hakuna kituPOST YAKO YA MUDA ULISEMA HUJAWAHI KUSHIKA MILIONI SASA MIAKA IMEPITA NDO NAULIZA UMEFANIKIWAH