emavalery
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 628
- 1,243
Huu uzi unatia hata moyo, wakati wamechoma 10M, wengine 200M+ ila hawakukata tamaa.
Ila wengi ni pombe na wanawake vilihusika.
Mimi ni last week 4.5M, imekata kwenye bata sasa sina kitu usiku nikikumbuka jasho linanitoka tu..
Najipiga kifua, najiona mjinga kumbe kuna wenzangu waliumia zaidi.
Huu uzi unafundisha pia jinsi gani, ujana ulivyo mgumu kuuvuka bila msaidizi wa karibu aliyepitia, ila akikueleza unamuona huyu nae vp, aniache bwana kimoyo moyo.
Hahaha.
Ila wengi ni pombe na wanawake vilihusika.
Mimi ni last week 4.5M, imekata kwenye bata sasa sina kitu usiku nikikumbuka jasho linanitoka tu..
Najipiga kifua, najiona mjinga kumbe kuna wenzangu waliumia zaidi.
Huu uzi unafundisha pia jinsi gani, ujana ulivyo mgumu kuuvuka bila msaidizi wa karibu aliyepitia, ila akikueleza unamuona huyu nae vp, aniache bwana kimoyo moyo.
Hahaha.