Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Huu uzi unatia hata moyo, wakati wamechoma 10M, wengine 200M+ ila hawakukata tamaa.

Ila wengi ni pombe na wanawake vilihusika.

Mimi ni last week 4.5M, imekata kwenye bata sasa sina kitu usiku nikikumbuka jasho linanitoka tu..

Najipiga kifua, najiona mjinga kumbe kuna wenzangu waliumia zaidi.

Huu uzi unafundisha pia jinsi gani, ujana ulivyo mgumu kuuvuka bila msaidizi wa karibu aliyepitia, ila akikueleza unamuona huyu nae vp, aniache bwana kimoyo moyo.

Hahaha.
 
Hongera kwa waliotoa uzoefu wao kwa madhira waliyoyapitia, ni funzo kubw na zuri sna kwao na wengine.
Na hivyo kuna watu watapata kujifunza na kuepuka kufanya makosa kweny utafutaji.
NOTE.
Nikiwa nakamilish kuleta story yangu hapa,
Krb asilimia 90+ wameeleza wanawake kuw chanzo cha anguko Lao.
Nilivyokwish chunguza na kuona khs wanawake,
Ni kwamba unaweza kuw hata na M200, lkn ukijiingiza kweny uchakaji wa mbususu, hata kama utapig wawil watatu, na ukawa unawahonga elf 20@,
Lkn mwisho wa siku wawez jikuta pesa zimepukutika na michongo haieleweki,
Kinachofanyik hapo ni kwamba Tendo la ngono ni mkosi/ laana, dhambi,/ umasikin ambao unapukutish sn,
Zaid kama hujui kuyaon mambo , ktk ukimwengu wa kiroho , ni ngumu kuelewa.
Pili, Luna wadau wanasema pesa ya mkopo haifai ktk biashara, tunaomba wataalamu walete UFAFANUZI hapa,
Ni kweli wanawake na pombe vinafilisi wanaume wengi.

Ni hatari sana
 
Huu uzi unatia hata moyo, wakati wamechoma 10M, wengine 200M+ ila hawakukata tamaa.

Ila wengi ni pombe na wanawake vilihusika.

Mimi ni last week 4.5M, imekata kwenye bata sasa sina kitu usiku nikikumbuka jasho linanitoka tu..

Najipiga kifua, najiona mjinga kumbe kuna wenzangu waliumia zaidi.

Huu uzi unafundisha pia jinsi gani, ujana ulivyo mgumu kuuvuka bila msaidizi wa karibu aliyepitia, ila akikueleza unamuona huyu nae vp, aniache bwana kimoyo moyo.

Hahaha.
Duh 4.5M imekata kwenye bata wiki iliyopita, watu mna hela
 
Kwenye huu uzi ukisoma matukio mengi mengine ni ya kutunga ambao awajakamata hta milioni 1, wengne ni kweli wamezikamata na kuishia kuteseka, yote kwa yote ni bora uanzie msoto alafu Mungu akupe utakua umepata Elimu flani ya maisha, nilianzia mtaji wa laki5 mwaka2006 nilikua nachukua2 marudio ya mkonge (from Tow ) nadunduliza Kwenye viwanda vya magunia, leo hii Historia ni nyingine kbsa inahitaji vitabu na vitabu kuandika NAMSHUKURU MUNGU
 
Kwenye huu uzi ukisoma matukio mengi mengine ni ya kutunga ambao awajakamata hta milioni 1, wengne ni kweli wamezikamata na kuishia kuteseka, yote kwa yote ni bora uanzie msoto alafu Mungu akupe utakua umepata Elimu flani ya maisha, nilianzia mtaji wa laki5 mwaka2006 nilikua nachukua2 marudio ya mkonge (from Tow ) nadunduliza Kwenye viwanda vya magunia, leo hii Historia ni nyingine kbsa inahitaji vitabu na vitabu kuandika NAMSHUKURU MUNGU
Story yako Ni ya uongo pia.
 
Nilipewaga dola 100 zamani sana na danga limoja hivi aiseee kwa kipindi kile ilikuwa hela nzuri nikaja nikaila bila kuelewa imepita wap

Nikaja kupewa tena mil 1 na hilo hilo danga zamani kidogo nayo haikufanya la maana

Nikaja nikapata danga lingine likanipa m2 nazo nimefanyia kazi haikuzaaa

Tangu wakati huo miaka imepita sitaki tena hela za madanga, nimeolewa na ninatafuta hela kihalali.

Msiwashangae kina Wema hela za kudanga hata upewe bil 1 huwa zinayeyuka.
Laana ya machozi
 
Mlio rudi kwenye gem tustuwane wakuu

Sioa lazima iwe kama ulivokua walau utoke kwenye msoto tu tupeane mbinu
Bahati mbaya sana kuna ambao wakisha lost hua hawaji kurudi kwn gemu

Kuna bro wangu mmoja enzi za JK alikamata mradi fulani serikalini aisee jamaa nadhani ndani ya 2 years alichezea kati ya 400 -600m au zaidi. Piga sana pombe na starehe za kila aina.

Amekuja kutemwa hana hata ki starlet wala kiwanja achilia mbali asset nyingine. Mbaya zaidi ile kitu ni kama ilimu affect kisaikolojia ikawa hata akipata kazi nyingine anaona hela ni ndogo anaacha. Mpaka leo jamaa bila bila yupo anakunywa pombe za kienyeji mpira karudisha kwa kipa😞
 
Idris Sultan alipata Tsh 500m ambazo ni zaidi ya U$D 200,000. Zilienda wapi? Na kama mtu anaweza kuchezea USD 200,000 watu wanashangaa nini mtu kuchezea USD 1m? Umesema vizuri kabisa starehe hazina mwisho. Ukiwa na USD 1m, demu akikuambia umlipe 50m utaona mbona hela ndogo sana hiyo..?
Yule dogo zile Hela sepenga alimkamua sana

Uzuri yule alishtuka mapema.

Ila nadhani mitikasi anayopiga na Dili anaxopata za matangazo ameshamake nyingi zaidi ya zile.
 
Bahati mbaya sana kuna ambao wakisha lost hua hawaji kurudi kwn gemu

Kuna bro wangu mmoja enzi za JK alikamata mradi fulani serikalini aisee jamaa nadhani ndani ya 2 years alichezea kati ya 400 -600m au zaidi. Piga sana pombe na starehe za kila aina.

Amekuja kutemwa hana hata ki starlet wala kiwanja achilia mbali asset nyingine. Mbaya zaidi ile kitu ni kama ilimu affect kisaikolojia ikawa hata akipata kazi nyingine anaona hela ni ndogo anaacha. Mpaka leo jamaa bila bila yupo anakunywa pombe za kienyeji mpira karudisha kwa kipa[emoji20]
Tumuombee lakini anahitaji psy therapy
 
Kufilisika jamani hili neno naliogopa, hata kulitamka tu natokwa na machozi. Mwaka 2021 ulikuwa mbaya sana kwangu.
Hii ndo imenikuta baada ya kupata promotion ghafla,mambo fulani yakatokea ikabidi nifukuzwe hata nssf yangu kuipata imekuwa shida.Nipo najifariji na huu uzi japo naamini ni suala la muda nitapata kasehemu kakupata ridhiki.
 
Back
Top Bottom