Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Dah![emoji22]
Kuna MDA unaweza hisi umerogwa
 
Hii ndo imenikuta baada ya kupata promotion ghafla,mambo fulani yakatokea ikabidi nifukuzwe hata nssf yangu kuipata imekuwa shida.Nipo najifariji na huu uzi japo naamini ni suala la muda nitapata kasehemu kakupata ridhiki.
Kufilisika hakutakiwi kakuchukulia negative Sana, kuchukulie Ni Changamoto ya kusonga mbele ili upate Nguvu ya kurud kwny game
 
Ukifilisika ndo utajua Nani mchaw wako
Binafs sinaga moyo wa huruma.

Nafunga vioo kabisa. Inabaki salamu TU.

Kila nikiombwa Ela, jibu Ni "Sina hela"
Watajiongeza wenyewe kua jamaa hataki shobo
 
Pole Sana mkuu
 
Hongera Sana,
Sisi wake zetu kila Jambo wanatuskilzia tunasemaje,
Changamoto ikija Hana hata wazo la kukupa.
Unasimama kiume maisha yanaenda
 
Huyo ndio wife material
 
Mimi story yangu Ni ndefu zaidi, hila nilikuwa na mtaji wa Kama milioni 120, utawala wa Magu mtaji wote ulikata na kesi juu,

Tulipewa economic case na money laundering, tulikaa keko na segerea miezi mitatu + ,

Yaani biashara za halali lakini zilituweka jela na makesi juu, tuliweka wakili akawa tapeli, tukajapata wakili mwingine alitupambania mwisho wa siku kesi iliisha na miguu juu wote mam'ae,

Sasaivi kidogo ramani zinaanza kusoma baada ya kuingia huyu mama
 
Miezi saba mkuu
Pambana mzee upate mafao yako muda mwingine unapoenda ofisi zao unawakazia katika namna nzuri mwisho wa siku mambo yako yanatiki.

Kama unahisi Kuna mtu anaweza kukupa msaada kwenye hiyo kampuni usisite kumface kama ni meneja au staff yoyote yule ila kama Bado ngumu unaenda hata Kwa mkuu wa wilaya.
 
Asante mkuu
 
Daah
 
[emoji2936]
 
Tafuta kitabu kinachoitwa ''The anatomy of failure'' cha Praise George. Utajifunza mengi sana mle. Soma piakingine cha The Law of Success by Napoleon.
Utagundua why people fail.
Nimekitafuta law of success
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…