BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
[emoji23][emoji23] kuishi ni kuchaguaSiwez kuweka ndani polygon kisa uoga wa maisha, Akili tutatumia za kwangu[emoji4]
Wosia wa masaa 7 ππππππNitatoa uzi mdaa sio mferu niliingia dsm kizembe na mtaji Wa 2 million baada tu ya Ku graduate, after 2 weeks sikua hata na mia mbovu na mzee kipindi ananipa huo mtaji alinipa husia kwa masaa 7 na kunambia tusijuane tena so pambana. Na Mimi baada ya mtaji kuisha hata sikurudi nyumbani ππ kilichoniokoa ni ajira serikalini walitangaza nikaotea.
Kuna ndugu yangu alikua anafanya kazi zanzibar, kwa siku alikua analipwa 35 na hayo matips hadi laki anaipata kikawaida kabisa kila akienda kazini, ilikua kwenye ma hotel haya ya kitalii.Mwaka 2020 ni mwaka ulio nipiga mpaka leo sijatengamaa ile corona ile dah kwangu naonaga ni mwaka wa shetani kwangu.
Very trueππΎYote ni kushika pesa mikono yako haijazoea kushika
Mfano umezoea kuwa na laki to laki tatu ndo unaweza ibalance then unakuja shika milion kumi mara nyingi sana itaisha ikibaki laki ndo unapata akili
Nakumbuka nikiwa bado chuo sikuwa nimewah shika laki tano kasoro yangu kwa mkoa ule ambao bajet ya mtoto wa kiume milo mitatu ni 2500 kwa siku
Nikapiga zali moja nikapata 480k asee nilibadilika pesa mfukoni zipo nikabadil milo ..et siwezi kula wali nyama mkavu bila soda π wakati mwanzo wali marage tupu daaa ..ile pesa sijui iliishaje
Nakazia wanawake....,ila aloo kuna pisi kali dsm asikwambie mtu aisee ahaaaNi kweli wanawake na pombe vinafilisi wanaume wengi.
Ni hatari sana
Insue watoto sasaSiwez kuweka ndani polygon kisa uoga wa maisha, Akili tutatumia za kwangu[emoji4]
@Maxence meloMimi hapa nishapata wazo,
UONGOZI WA JF,AU YEYOTE ANAYEWEZA AFANYE KUPRINT UZI HUU KTK NAKALA NGUMU.KILA PAGE 1 YA HUMU NA KULE INAKUWA NI KURASA MOJA AU ZAIDI.MWISHO ZINAPATIKANA KURASA ZAIDI YA 100 NA KINAKUWA NI KITABU KAMILI(JINA LINABAKI KAMA KICHWA CHA UZI KILIVYO)
TAFADHALI FANYENI KITU KWA AJILI YA VIJANA WAJAO!
Wanga hawakosekani, songa mbeleKwani vipi mbona sikuelewi?? Kwamba sijawahi kushika hata m1.. ok sawa sijawahi sikulazimishi mbona kama inakuuma sikuelewi aisee
Pole sana na naamini umejifunza umetufundisha na sisi Jambo kubwa, kikubwa ni ukipanga kitu kbl ya kuwa na pesa kiwe hivo hivo ht baada ya kupata pesa mawazo mengne baada ya pesa itakuwa shetan anakuchezea.....Na ukipata tena hutajicontrol, if you dont know, now you know
Tinder, badoo na hi5 zinawangamiza vijanaMimi ndio ngedere kabisa nilifanya kazi kwenye kampuni ya gas ndani ya miaka mi3 nilipata kama milion 10 nikanunua pikipiki ya kutembelea nikawa kazi yangu kuwafata mademu na kwenda kula bata beach demu nikimpata mtandaon hata awe anakaa Kibaha namfata na pikipiki kiukwel sikuamini kama ile hela ingekuja kuisha nilikuwa naiona nyingi sana kumbuka mii nmetokea familia ya kimasikin hivi nnavyoandika hapa nmerudi naishi home kwa baba na mama sina hata mia mfukoni
Your best teacher is your last mistake...mimi niliajiriwa mgodi x take home ilikuwa 760k ilikuwa wazee wakinipiga vizinga kutoa 100k ni kawaida sana mara paap! kibarua kikazima kama mshumaa savings sikufanya aisee hao hao ndo wakwanza kusema "hata akiba alikuwa hajiwekei"..ila now nimekuwa mgumu sana kutoa pesa kizembe maisha ya kitaa yamenifunza aiseeNikiwa chuo nilipataga mkopo, lakini kukawa na hitilafu Fulani boom wakawa hawaniingizii. Nikaendea kufuatilia. Kufikia mwaka wa pili wa masomo wakaniingizia maboom yote at once ambayo sikuwa napewa. Mama yangu! Mwisho wangu wa kushika pesa ndefu ilikuwa ni laki moja, Sasa akaunti ikasoma milioni 2 kama na laki nane hivi. Ilikuwa mtu akilia shida kidogo tu nachomoa hata elfu50 Nampa. Mwaka wa pili wa masomo haukuisha pesa zikapukutika zote. Nikawa kama kuku tu, lilikuwa fundisho kubwa sana na majuto sana. Nilipomaliza chuo nikawa na adabu sana na pesa.
Pole sana Mkuu eti baada ya 2 weeks huna ht Mia mbovu ππNitatoa uzi mdaa sio mferu niliingia dsm kizembe na mtaji Wa 2 million baada tu ya Ku graduate, after 2 weeks sikua hata na mia mbovu na mzee kipindi ananipa huo mtaji alinipa husia kwa masaa 7 na kunambia tusijuane tena so pambana. Na Mimi baada ya mtaji kuisha hata sikurudi nyumbani ππ kilichoniokoa ni ajira serikalini walitangaza nikaotea.
Lazima uombe pooπ€£π€£π€£Wosia wa masaa 7 ππππππ
Huyo hajafilisika alikua mzembe na mwizi tu.Kuna ndugu yangu alikua anafanya kazi zanzibar, kwa siku alikua analipwa 35 na hayo matips hadi laki anaipata kikawaida kabisa kila akienda kazini, ilikua kwenye ma hotel haya ya kitalii.
Hii corona ilivyoingia zanzibar walikua very strictly kidogo, na wazungu wakaisha kabisa.
Mwamba alifilisika kiasi kwamba akarudi hapa dar akawa dereva bodaboda mpaka leo hajasimama tena. Kila ukiongea nae anailaumu sana hio corona.
Mkuu nimefukuzwa kazini kwa madai ya utoro maana nilipata issue moja,emergency nikaomba ruhusa nikanyimwa ikabidi nisepe hivo hivo,hasa kupata barua ya termination hawataki kunipa.
Hivyo na nssf yangu ngumu kupata
Asante mkuu, maana nimecheki akaunti yangu ya NSSF iko 0.0 maana walikuwa hawaweki kitu