Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Baada ya miez miwili kuanzia leo nitakuwa na milion 7 sasa Hapa nilipo natafakar zikiingia nizifanyie nini
 
Bora uokoke ukiwa nazo au?
ndio ukioka tajiri dini itakua ina umuhimu ita shape your morality, thinking and discipline basi hautakua na mawazo ya kutegemea dini ikusaidie katika shiida lakini ukiwa masikini utakua unatafuta wachawi wako ni kina nani, na kutegemea dini kwa kila jambo.
 
Nilipo maliza chuo nilipigana sana, Mungu akaninyoshea mkono nikanunua mtumbwi used na mashine nikaanza shughuli za uvuvi.

Sema kweli niliona naenda kuwini maisha. Lkn mwezi machi mtumbwi ulizàmishwà na upepo. Niliwaza mpaka nikajaribu kujiua kwani nikunywa vidonge 26 nà pombe lkn Mungu hakutaka. Saivi sina Raman kabsa
 
Kuna ndugu yangu alikua anafanya kazi zanzibar, kwa siku alikua analipwa 35 na hayo matips hadi laki anaipata kikawaida kabisa kila akienda kazini, ilikua kwenye ma hotel haya ya kitalii.

Hii corona ilivyoingia zanzibar walikua very strictly kidogo, na wazungu wakaisha kabisa.

Mwamba alifilisika kiasi kwamba akarudi hapa dar akawa dereva bodaboda mpaka leo hajasimama tena. Kila ukiongea nae anailaumu sana hio corona.
Huyu kafilisika kwa ujinga wake,
 
Baada ya miez miwili kuanzia leo nitakuwa na milion 7 sasa Hapa nilipo natafakar zikiingia nizifanyie nini

Nakushauri nenda karikoo kajifunze biashara zote wanazofanya machinga kuhusu faida zake na hasara zake.. kabla hela yako haijaingia.

Kisha chagua moja mapemaa.. hela ikiingia tu anza biashara hiyo..

Usisubiri hela ifike bado hujapata wazo
 
Nilipo maliza chuo nilipigana sana, Mungu akaninyoshea mkono nikanunua mtumbwi used na mashine nikaanza shughuli za uvuvi.

Sema kweli niliona naenda kuwini maisha. Lkn mwezi machi mtumbwi ulizàmishwà na upepo. Niliwaza mpaka nikajaribu kujiua kwani nikunywa vidonge 26 nà pombe lkn Mungu hakutaka. Saivi sina Raman kabsa
Upo ziwa Gani? Nawezaje PATA vifaa kama Hivyo?
 
Mimi binasfi cjawahi filisika lakin nakili wazi kabsa kma asingekuwa mke wangu kuniongoza vema kwenye mambo ya kheri mhhh bac mpaka sasa ningekuwa nishafilisika zamaaaaan!! Mwanamke wangu shujaa wangu hela natafuta mimi lakin matumiz napangiwa hela inayobaki tunafanyia jambo la maana kabsa ningekuwa mimi mwenyewe nicngeweza
Kweli...
Ila ndo hivyooo
 
Nilipo maliza chuo nilipigana sana, Mungu akaninyoshea mkono nikanunua mtumbwi used na mashine nikaanza shughuli za uvuvi.

Sema kweli niliona naenda kuwini maisha. Lkn mwezi machi mtumbwi ulizàmishwà na upepo. Niliwaza mpaka nikajaribu kujiua kwani nikunywa vidonge 26 nà pombe lkn Mungu hakutaka. Saivi sina Raman kabsa
Pole sana..ilikua wapi hii?

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nikiwa chuo nilipataga mkopo, lakini kukawa na hitilafu Fulani boom wakawa hawaniingizii. Nikaendea kufuatilia. Kufikia mwaka wa pili wa masomo wakaniingizia maboom yote at once ambayo sikuwa napewa. Mama yangu! Mwisho wangu wa kushika pesa ndefu ilikuwa ni laki moja, Sasa akaunti ikasoma milioni 2 kama na laki nane hivi. Ilikuwa mtu akilia shida kidogo tu nachomoa hata elfu50 Nampa. Mwaka wa pili wa masomo haukuisha pesa zikapukutika zote. Nikawa kama kuku tu, lilikuwa fundisho kubwa sana na majuto sana. Nilipomaliza chuo nikawa na adabu sana na pesa.
St joseph
 
Back
Top Bottom