Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,727
Jibaba ambalo huna future nalo,na yeye analijua hilo
Nyongeza.
Hilo jibaba linakupa pesa na ww unalipa kitumbua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibaba ambalo huna future nalo,na yeye analijua hilo
Ikibaki laki hapo ndio lile wazo la kwenda kununua bia kutafakari nini kilitokea linakuja.Tatizo akili inarudi pale receipt inaposoma salio lako ni laki mbili [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ndio unajiuliza hii niiiinunuliee halafu jibu linakujia pale pale haitoshi baada ya siku mbili unaenda toa laki na nusu halafu hukanyagi tena bank na ukipita karibu ni upande wa pili wa Barabara [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hukua unajua pesa uifanyie nn ndo maana ikaisha kuna watu wanatoboa kwa pesa za madangaNilipewaga dola 100 zamani sana na danga limoja hivi aiseee kwa kipindi kile ilikua ela nzuri nikaja nikaila bila kuelewa imepita wap
Nikaja kupewa tena mil1 na hilo hilo danga zamani kidogo nayo haikufanya la maana
Nikaja nikapata danga lingine likanipa m2 nazo nimefanyia kazi haikuzaaa
Tangu wakati huo miaka imepita sitaki tena ela za madanga,nimeolewa na nina tafuta hela kialali
Msiwashangae kina wema hela za kudanga hata upewe bil 1 huwa zinayeyuka
we jamaa n hatari, nmecheka aah aahNyongeza.
Hilo jibaba linakupa pesa na ww unalipa kitumbua
nakuheshimuUmetisha mwamba
Jasiri haachi asili,usikute bado unadangaNilipewaga dola 100 zamani sana na danga limoja hivi aiseee kwa kipindi kile ilikua ela nzuri nikaja nikaila bila kuelewa imepita wap
Nikaja kupewa tena mil1 na hilo hilo danga zamani kidogo nayo haikufanya la maana
Nikaja nikapata danga lingine likanipa m2 nazo nimefanyia kazi haikuzaaa
Tangu wakati huo miaka imepita sitaki tena ela za madanga,nimeolewa na nina tafuta hela kialali
Msiwashangae kina wema hela za kudanga hata upewe bil 1 huwa zinayeyuka
Kufilisika kunasababishwa na mengi ndugu,sijui unamaanisha nini kuwa vema kichwani.Ukiwa vema kichwani huwezi filisika unashake tu kwa mda unajipanga kwa hatua nyinginezo
We bado kinda sana,nikizipata sifilisiki
nishasema
Jomoni jomoni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka ka mazuri2010s Rafiki ake na bamkubwa alipiga kama m20 hivi..
Jamaa alikula bata laana, kila akija home anakuja na Taxi yupo na mademu.
Alikua akitaka kwenda chooni anakodi gari ihampeleka Tanganyika Hotel..ipo kando ya ziwa Tanganyika.
Siku moja alikodi prado akaenda nalo kasulu akarudi nalo limechafuka akapita sokoni akanunua katon kadhaa za machupa ya maji. Akaenda na gari lake hadi forodhani ujiji akaita vijana waoshe gari lake wakaosha kwa maji ya ziwa, wakati wanataka kulisuza alikataaa kua maji ya ziwani hayana hadhi akatoa yale machupa kwenye buti ndio akasuzia..
December 2012 alikuja home kwenye sherehe..tukawa tunachuna nae mbuzi. Basi akaniambia father kwa jinsi nilivyopigika hata nikiletewa meli inauzwa shilingi 20 sina uwezo wa kuinunua. Jamaa siku hizi anaushi kama yahaya..ukisikia mdananda ndio yeye. Hana future kabisa
Pole sana mkuuKati ya mwaka 2011-2015 nilikuwa ktk standard nzuri kiasi kimaisha, biashara nzuri, usafiri binafsi na viwanja 2 mjini, pesa ya kuzungukia mjini na mafuta haikuwa shida..ninapoandika comment hii kesho sifahamu nakula nini! Nimefilisika! Hakuna hata ndugu anaenipigia simu tena maana naonekana kituko. Wakuu tuombeane tu..kufilisika kuna maumivu ambayo si rahisi kuyaandika hapa.
Mkuu nimepitia comment zote humu ila hii nimecheka kwa sauti hadi majirani nje wamekaa kimya ghafla. Naomba unisamehe sanahela
hela bhana zina mambo mengi...ndo maana huwa sishangai mtu kufirisika..ila huwa naomba Mungu siku nikikamata tena hela anipe hekima na busara juu ya kuzitumia.
Kuna kijana juzi alienda kwa baba yake kuomba mtaji aendeleze kiduka chake cha spare..mzee akampa 28M jioni yupo na masela anawanunulia bia..Akasema ngoja aende kampala kufata spare..huwezi kuamini alirudi na Toolbox tu..ila 28M zimekatikia kampala mji wa starehe sana ule
Duh2010s Rafiki ake na bamkubwa alipiga kama m20 hivi..
Jamaa alikula bata laana, kila akija home anakuja na Taxi yupo na mademu.
Alikua akitaka kwenda chooni anakodi gari ihampeleka Tanganyika Hotel..ipo kando ya ziwa Tanganyika.
Siku moja alikodi prado akaenda nalo kasulu akarudi nalo limechafuka akapita sokoni akanunua katon kadhaa za machupa ya maji. Akaenda na gari lake hadi forodhani ujiji akaita vijana waoshe gari lake wakaosha kwa maji ya ziwa, wakati wanataka kulisuza alikataaa kua maji ya ziwani hayana hadhi akatoa yale machupa kwenye buti ndio akasuzia..
December 2012 alikuja home kwenye sherehe..tukawa tunachuna nae mbuzi. Basi akaniambia father kwa jinsi nilivyopigika hata nikiletewa meli inauzwa shilingi 20 sina uwezo wa kuinunua. Jamaa siku hizi anaushi kama yahaya..ukisikia mdananda ndio yeye. Hana future kabisa
Hahahahahahahaha! Naomba niongezee maneno machache hapo, tatizo sio pesa zina yeyuka tatizo ni kwamba zile pesa tunazo wahonga hamjazitolea jasho so huwezi ukawa na uchungu nazo kwenye matumizi sababu unajua kesho ama kesho kutwa danga lingine litakupa ama danga la zamani litarudi upya!Nilipewaga dola 100 zamani sana na danga limoja hivi aiseee kwa kipindi kile ilikua ela nzuri nikaja nikaila bila kuelewa imepita wap
Nikaja kupewa tena mil1 na hilo hilo danga zamani kidogo nayo haikufanya la maana
Nikaja nikapata danga lingine likanipa m2 nazo nimefanyia kazi haikuzaaa
Tangu wakati huo miaka imepita sitaki tena ela za madanga,nimeolewa na nina tafuta hela kialali
Msiwashangae kina wema hela za kudanga hata upewe bil 1 huwa zinayeyuka