Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Pesa ya mkopo au ya dill usifanyie biashara.We 4m zinakuumiza,mi nishawahikopa 20M zikapotea heri ningefungulia hata zipu,nimejaribu bnezz nyingi nimeambulia hasara kwa miaka 15 ni jumla ya 120M zimepotea sijakata tamaa napambana bado najua iko siku.Huwezi kuwa tajiri bila kufilisika hata uwe smart vipi
Duh, nahitaji kufahamu apa, Ulikua unafanya biashara gani kwa Huo mida mpaka zote uambulie hasara. Na Currently unajishugulisha na nini?
 
nilipata 5.5 M kutoka abroad kwa ndg angu mmoja hivi kama ada then nikawa nikanunua kitanda na godoro kama 350k nikanunua sim 400k laptop ya 400k nikalipa kodi 500k nikawa nimetumia kama 1.55M hii nyingine iliyobaki sikuelewa imeenda wapi zaidi ya kununua nguo na kupigia ruti ikakata niliishi kama mbwa koko tena wale watembea jalalani kuchakura mabaki at last laptop niliyokua nayo ikabidi niisukume nikapata kama 350k ingawa ningeweza uza zaidi manake ilikua chuma na mimi niliinunua kwa mtu mwenye shida

Slowly nikawa nanunua kuku nasukuma huku faida ikipatikana nanunua beberu wadogo nawahasi nawafuga time hii niko mwanza naonekana kama mwanachuo mzururaji ambaye alikua anaenda nzega na kurudi mara kwa mara japokua mambo yalianza kunyooka.....aisee biashara ya kuku ilikuja kudidimia baada kuibuka ugonjwa wa Kuku hasara ilikua kubwa sijakaa saa niko mwanza naambiwa mbuzi wameugua kimeta wanakufa tu maisha yakarudi kua magumu hapo nimekula sehemu ya ada na hapo naunga unga tu muhimu nilikua nimelipa kodi whole year na nyumba hazikua ghali sana

Mara ya pili nikapata 4M hii ndio ilikua mbaya nilikua kichaa
Aisee nilikua nakula bata sio kawaida nimekula totoz za kila aina na kwakua Mimi sio mlevi aisee nimekula totoz ikafikia time nikawa naona mwili umechoka kiuno hoi na mgongo unaita na nilikua napiga show kama vile nnaemkula ananilipa kws lengo na kumkomoa kumbe bwana malaya hakomolewi wengine wakaniganda mpaka leo hata nikimuona rafiki ake status nikaulizia namba hatokaa anipe zaidi ya kusema nimgegede Yeye

Within 2½ months nikawa nimekata pesa ATM yaani mpunga ukakata ...siku nimegundua mpunga umekata ni liposoma balance kwenye risit nikakuta 56000 aroooo[emoji23][emoji23] nilitafakari pale atm kwa kina sana nikajikuta nimeanza kusali bila kujua

This time around sitaki wanawake tena nikijua nimuuzaji nampotezea kabisa yani kuna namna siwahisi.....yaani sina hisia nao kabisa kwa sasa

Aisee
Wanawake ni catalyst ya mtu kumaliza pesa
Ukiendekeza mambo ya kula uroda unaishia kumaliza kila kitu

This time around mambo sio mabaya sana japokua nashukuru hizo moments zimenipa nidhamu ya pesa ninaheshimu pesa kwa sasa aisee hua nikiamka lazima niisalimie kwanza ndio niendelee na mambo mengine

Si siku nyingi mtonyo utaingia baada ya muda mrefu huu wenyewe ni kwa ajili ya maisha tu ila nimeupangia makubwa sio kawaida
 
nilipata 5.5 M kutoka abroad kwa ndg angu mmoja hivi kama ada then nikawa nikanunua kitanda na godoro kama 350k nikanunua sim 400k laptop ya 400k nikalipa kodi 500k nikawa nimetumia kama 1.55M hii nyingine iliyobaki sikuelewa imeenda wapi zaidi ya kununua nguo na kupigia ruti ikakata niliishi kama mbwa koko tena wale watembea jalalani kuchakura mabaki at last laptop niliyokua nayo ikabidi niisukume nikapata kama 350k ingawa ningeweza uza zaidi manake ilikua chuma na mimi niliinunua kwa mtu mwenye shida

Slowly nikawa nanunua kuku nasukuma huku faida ikipatikana nanunua beberu wadogo nawahasi nawafuga time hii niko mwanza naonekana kama mwanachuo mzururaji ambaye alikua anaenda nzega na kurudi mara kwa mara japokua mambo yalianza kunyooka.....aisee biashara ya kuku ilikuja kudidimia baada kuibuka ugonjwa wa Kuku hasara ilikua kubwa sijakaa saa niko mwanza naambiwa mbuzi wameugua kimeta wanakufa tu maisha yakarudi kua magumu hapo nimekula sehemu ya ada na hapo naunga unga tu muhimu nilikua nimelipa kodi whole year na nyumba hazikua ghali sana

Mara ya pili nikapata 4M hii ndio ilikua mbaya nilikua kichaa
Aisee nilikua nakula bata sio kawaida nimekula totoz za kila aina na kwakua Mimi sio mlevi aisee nimekula totoz ikafikia time nikawa naona mwili umechoka kiuno hoi na mgongo unaita na nilikua napiga show kama vile nnaemkula ananilipa kws lengo na kumkomoa kumbe bwana malaya hakomolewi wengine wakaniganda mpaka leo hata nikimuona rafiki ake status nikaulizia namba hatokaa anipe zaidi ya kusema nimgegede Yeye

Within 2½ months nikawa nimekata pesa ATM yaani mpunga ukakata ...siku nimegundua mpunga umekata ni liposoma balance kwenye risit nikakuta 56000 aroooo[emoji23][emoji23] nilitafakari pale atm kwa kina sana nikajikuta nimeanza kusali bila kujua

This time around sitaki wanawake tena nikijua nimuuzaji nampotezea kabisa yani kuna namna siwahisi.....yaani sina hisia nao kabisa kwa sasa

Aisee
Wanawake ni catalyst ya mtu kumaliza pesa
Ukiendekeza mambo ya kula uroda unaishia kumaliza kila kitu

This time around mambo sio mabaya sana japokua nashukuru hizo moments zimenipa nidhamu ya pesa ninaheshimu pesa kwa sasa aisee hua nikiamka lazima niisalimie kwanza ndio niendelee na mambo mengine

Si siku nyingi mtonyo utaingia baada ya muda mrefu huu wenyewe ni kwa ajili ya maisha tu ila nimeupangia makubwa sio kawaida
Sasa wee hela unaitafuta unataka ile na nani kama sio warembo?
Aisee mie bora niendelee kupanga lakini hela yangu itaishi kwa mbususu tuu. Dunia yenyewe hii tunapita tuu wacha tuenjoy mbususu
 
Mwaka 2012/2013 tulipiga 50M, mimi na msela wangu kwenye company moja ya vinjwaji huko Kanda ya Ziwa! Tukagawana 25M!

Ilikua Ijumaa,nikakata fast jet,faster Dsm,saa kumi na moja tukasepa Mwanza,bondeni hotel pale magomeni ndiyo nikawa nalala pale! Baada ya kufika dsm saa moja hivi za jioni,mwanangu mmoja alikua Sinza Mgabe pale,fanya Mpango Shangazi Ezekiel alichezea koki kwa siku hiyo,hadi asubuhi kwa laki tano,hapo toa gharama ya vinjwaji na chakula plus ticket ya ndege,chumba cha kulala,maana yake 2M inakata hiyo, Basi bwana,kesho yake nikashinda nimelala tu, kozi ya uchovu na Pombe na gegedo! Usiku tukazama Casino pale Palm Beach,tukapigwa laki 5,tukaenda the Grande tukapigwa laki 5,basi hapo Mimi nasema haina shida pesa ipo! Tukaenda The Princess pale IT Plaza,aiseee tukapiga 5M! Jamaa akasema tusepe,hapo nishalewa,kulikua na demu flan hivi Mfilipino,alikua anauza nikasema twende,bei USD 500! Nika change pale pesa,nikawa na USD kama 100 hivi! Jamaa yangu akasepa zake,kaniacha,nikachukua yule demu,nikaenda kula!

Kesho yake nikarudi pekee yangu Casino,si wakanila 3M! Nikaondoka kurudi Hotel,hapo kwenye 25M bado kama 20M hivi!

Nikarudi Mwanza,fanya fujo sana,nikaja shituka nina 10M! Nikanunua kiwanja na furniture za ndani pesa yote kwisha! Nikasema sasa hapa tupige deal tena nianze kujenga,deal likawa dirisha,kikaota,nikasepa zangu shytown! Hangaika sana ramani hazisomi! Ikabidi niende tu kwenye company za wavaa overall! Maisha na pesa ni kama shetani hivi hua anakuja!

Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania walio wengi wezi km wewe na wakishaiba hawajui hela waifanyie nn, mwisho wa siku wanaishia kufanya kufuru km ulizofanya baadae wanaanza kujuta

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Nimesoma michango ya watu huku nikajifariji kidogo kuwa sikuwa nyang'au mwenyewe...nilikuwa na raman yangu ya utalii Arusha kila kwa siku nikipiga dili haramu sikosi chini ya $500 nikageuka papaa na wapambe kibao na demu matata kwenda moshi ni tax au Karatu tunachukua Noah private ...siku za game za UEFA kinywaji ni Heineken kwa yeyote atakayejipendekeza ...siku za kawaida ni Jack Daniels home kwa maza sifiki ....namnyamazisha na kumwekea pesa pesa bank ...kitu mwanamke alinifanya sitakaa nisahau baada ya kuishiwa..alichukua kila kitu cha ndani na polisi akanipeleka ...kutoka kwenye JD nikarudi kwenye viroba..uzur nilikuwa nashamba kubwa nikauza nikajirudisha kwenye raman japo mapicha picha kibao ya maden kwenye bar nilizokuwa na sign bill ..pesa ukiwa nayo na mwanamke na marafiki wa mteremko ni shida kubwa....nshawah tumia 1 m bar kwa siku moja na dem anachekelea tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
mimi ndo ngedere kabisa nilifanya kazi kwenye kampuni ya gas ndan ya miaka mi3 nilipata kama milion 10 nikanunua pikipki yakutembelea nikawa kazi yangu kuwafata mademu na kwenda kula bata beach demu nikimpata mtandaon hata awe anakaa kibaha namfata na pikipiki kiukwel sikuamin kama ile hela ingekuja kuisha nilikuwa naiona nyingisana kumbuka mii nmetokea familia ya kimasikin iv nnavyoandika hapa nmerud naish hom kwa baba na mama sina hata mia mfukon
Daaah pole sana!
 
nilioteaga million 3 sehem fulan(kiujanja ujanja)

KOSA.mademu walikuw wakinisifia sifia ujinga na mm kichwa hichooo.
ikawa n bata na mm mim na bata ,

ASUBUH tuu ,text kama 8 za mademu hasa maslayqueen.

nilikuja kuishiwa kifala sana hata wale mademu wakawa wananikwepa [emoji1][emoji1]nikiwapigia c utasikia halloo sikusikii vizur mic mbov

ila mademu wasenge sana fikiria kipind nna mkwanja walikuw wananiita baby baada ya kuishiwa wakantania et billionaire mambo.


niliingia machimbon nikabahatisha m6.8 aseeee kichwa kiliwaka moto[emoji3][emoji3] sema ishu za madem niliachana nazo wakashangaa nmerud kuw smart tena .

ila pesa bana.
NB: katika Hustler zangu zote wimbo wa mr blue PESA ndo ulikuw the best kwangu ndo maana uwa hauchuji kwangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kila pesa ipitiayo mikononi mwako ina jini. Shetani hapendi watu wawe na maisha mazuri bali mabaya ili awatawale. Pesa yoyote halali yaweza kuwa mtaji wako haijalishi ni kiwango gani.
Biashara nyingi za kuonekana unapoifanya nyingi hufilisi watu wengi bali zinazoonekana za ovyo au za siri hutajirisha wengi. Mfano usindikaji wa mazao, kilimo, ununuzi wa hisa, ujenzi wa nyumba za biashara and others related to these.
Wengine wana mikosi ukidiriki kumwambia unachotaka kufanya basi katu hufanikiwi hivyo siri ya mipango yako ndiyo siri ya mafanikio.
"Wengine wana mikosi ukidiriki kumwambia unachotaka kufanya basi katu hufanikiwi hivyo siri ya mipango yako ndiyo siri ya mafanikio."

Yawezekana kweli
 
Huu uzi ni motivational sana

Huhitaji kwenda kwa motivational speakers

Soma huu uzi na ujifunze

Mimi binafsi niliwahi kila msoto zamani kidogo nilikopa hela nikaitumia ndivyo sivyo.

Ilipoisha nilijilaumu sana japo nashukuru haikuwa pesa ndefu sana miezi ha kulipa mkopo ulikuwa michumgu

Uchungu wake ulinifunza jambo.

Baada nikawa Niko stable nikawa nahonga sana kutumia laki 4 kwa siku na demu ilikuwa ni upumbavu mkubwa sana niliofanya

Pesa naisotea kuipata mwisho wa siku inaishia kizembe sana

Nilikaa chini nikatafakari sana nikasema sirud Tena huu ujinga.

Siku hizi Niko makini sana pesa ystaka nidhamu Kali sana uwe bahiri,roho mbaya, hasa kwa watu mnaojuana saidia tu watu baki ambao hamna uhusiano wowote.
 
Ni kweli..hata sisi nyumbani mama alipokua ana maisha safi ndugu walikua hawakauki nyumbani..wengine hata hatuwajui sasa hivi hali mbaya mno nyumbani hatuna ndugu anayekuja hata kugonga hodi.
Jamii yetu inamchukulia mtu kwa kitu...i mean ukiwa nacho chakuweza kusaidia mawili matatu ktk jamii unayoishi basi wewe ni mzuri sana kwao,ila inapotokea kwa bahati mbaya kimekuondoka wanakukimbia wanakuona mzigo kumbe ingefaa wawe karibu na wewe zaidi ili hata angalao uweze kupata idea nyengine kupitia wao maana wanapokukimbia wanakuacha ukiwa frustrated...

Kwamba fulani alikuwa hivi leo yuko vile na mie niko hivi sasa wanapoanza kukupiga chenga na wewe unaingia hali ya uwoga hata ukiwa na idea yako kichwani ambayo ingeweza kukusaidia kupanda tena unashindwa kwenda kumshirikisha mtu sahihi unabaki unaumia moyoni na kwenda kwa watu ambao sio sahihi kwa lile ulilokuwa nalo mwisho una-fail tena.ndiyo maana badhi ya watu wakipta mafanikio kwa mara ya pili utawaona ni kama wanyama lakini sivyo huwa wanaogopa ile hali ya mwanzo isiwakute tena.
 
Back
Top Bottom