Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Huu uzi ni very interesting.!

Maisha yana milima na mabonde.! Miaka ya 2014- 18 nilikua na pesa nzuri kula sana bata na totoz hapo dsm na company yakutosha. Enzi hizo ni mwendo wa Hennessy, Green label, MOET, JD etc.

Maisha yamenipiga kofi nimerudi zangu mkoani kujipanga upya, nakumbuka pesa nilizochezea kipindi hicho kama ningekua na akiri ya biashara ningekua mbali sana.! Saivi ni mwendo wa kvant, konyagi au prisner ya buku.

Ila nimejifunza mengi na kujua wapi nilikosea (ujana na ulimbukeni ulichangia), kuna investments nafanya najua zikianza kulipa ntakua njema sana kuzidi hata awali Mungu asaidie.!

Mwanaume kwenye maisha ni kupambana tu hamna kukata tamaa, anguka, inuka futa vumbi songa mbele.
Kwaiyo mkuu hukufanikiwa kujenga ata Kachumba kamoja dar?
 
Nimesoma comments zote kiukweli zinafurahisha,kuhuzunisha na kukejelisha pia[emoji28].

Ebu mie niwape yangu japo Mungu alijua kurudisha Upinde kwangu baada ya kuuvunja wa mwanzo.

2000's (censored) nipo mwaka wa Mwisho chuo,napokea simu ya mzee "maliza uje kuna kazi nimekutafutia uje uanzie maisha".

Mwana tii!! Nadondoka job kwa cheo kikuubwa (ambacho wewe kama unge apply wangetaka 5 yrs experience,4.5+ GPA na makolokolo kibao)[emoji28],mie hiyo nimezama sijapata hata gamba chuoni litakuja mbele ya safari chezeea!!

Salary per month around 2M+ na mashehena kibaoo hapo toa madili na vishoka somewhere!!

Mchawi/wa kumlaumu ni "dereva wa bajaji" dogo junk flani hivi ..mwanzoni mwanzoni hapo natafuta pipi tu sijavuta hata kigoda cha mzungu aka Ndinga...huyo dogo ndio alikuwa ananitoa home mpaka job na kunirudisha kwa malipo ya mwezi kipande cha MIKOCHENI hapo...

Kipindi naanza job full kupiga kazi hasa mpaka mida ya saa mbili usiku hukoo ndio naachia ofisi...dogo wa bajaji hyo ratiba alikuwa anaijua...pia alijua mausha yangu yote kama nipo single...siku ya siku akanichoreshea kiramani flani "braza kwaninj uteseke kurudu home night wakat kuna pande flani unaweza kupozi na ukala matunda ya peponi"[emoji28].

Kwa kuanzia nikapelekwa "Massage Parlor" moja matata mnooo yani yani yani yani acheni tu.!!!

Kuingia watoto wa kila rangi afu wamesimama kama mwibaa hasaaa....(wazuri)..dogo akamuita matroni[emoji28][emoji28] "braza haya mambo ni mpya,mpe Menu atakayo shindwa kuisahau milele" ...matroni[emoji860]"yupo njema?!!"...dogo[emoji860]"weee mama wewee mie sitembeagi na wauza matunda[emoji28]"

Matroni[emoji860]"kama vipi na mie naingia mzigoni na vijana wangu kama 2 3 hv tusimamie show ya mgeni muheshimiwa mpya"

Dogo[emoji860]"fanya hivyo utakuja kunishukuru badae mchizi ana jiwe hasaa"

FUPISHA STORY:

Wanangu ee wa JF
Watoto wa hiyo parlor walichukua namba yangu wakaanza kuwa wananitafuta privately kila mmoja anataka kutumia opportunity kibinafsi.....

Dogo akanipeleka saloon hiyo wananyoa Mastaa tu full vidada vya instagram na bongo movie kibaoo hapo

Picha linaanza naingia tu kutupa jicho mwanangu Byser huyo hapoo mbele!! Sijacheki pembeni Nyandu tozy yule paleee naanza kuambaa ambaa Naona kiti cha kupumzikia ka chill Young dee paka rapper!!!

Nilivyotoka kunyoa pale naanza kupokea meseji kibao "braza mie msanii,najua kuimba nisimamie"
Mwingine "kaka mie ni model nahitaji support ya mavazi,location na cameraman wa maaana"!!

ITAENDELEA
But now Mungu kanipa second chance although najua laana zote za hapa bongo kupitia huyo "dogo wa bajaji"....
Aaaaah ndgu maliza story iyo bna
 
Mimi nimekulia familia ya kimaskini, no exposure ya biashara wala ya shambani nikazoea maisha ya kuunga unga. Nakumbk nimeajiriwa miaka 5 iliyopita tukadanganyana na wife nikope bank, awamu ya kwanza nikakopa mil 7, nikafungulia biashara mil 3. 5, 3.5 nyingne matumizi mengine, baada ya miezi 6 nikaenda kutop up aisee milioni 8.1 nikamtumia mshua mil 1, mil 1.2 nikanunua kiwanja, mil 2.3 nikanunua pikipiki hela nyingne km mil 1.5 nikaongeza kwenye biashara.

Movie la kutisha
Baada ya miezi 2 biashara ikafa, kiwanja mwaka wa 3 hakijajengwa, mshahara kidunchu yaani ni kapuku anayepumulia mpira nipo bush kila kitu hakiendi. Nimetafakari jinsi ya kuchomoka nimeshindwa, wadau naomba msaada wenu kimawazo.
Du pole ila hakuna ulipokosea na wala wife wako hajakosea...inawezekana kwenye biashara usimamizi ulikuwa mbovu, biashara hukuijua vzr, nk...tatizo sie kapuku tunafikiri ukianza biashara one time lazima utoboe,...elimu ya biashara na ujasilia mali hatuna ukiachana na ngekewa...ku spot type ya business na location pamoja na usimamizi makini ndio vitu muhimu mnooo ndio hapa mtu anaanza na mtaji wa laki 3...akitoboa mnashangaa.

Bado ulikuwa uko poa jipange upya kamanda katisha hiyo likizo uaanze upya mapambano.
 
Nimesoma comments zote kiukweli zinafurahisha,kuhuzunisha na kukejelisha pia[emoji28].

Ebu mie niwape yangu japo Mungu alijua kurudisha Upinde kwangu baada ya kuuvunja wa mwanzo.

2000's (censored) nipo mwaka wa Mwisho chuo,napokea simu ya mzee "maliza uje kuna kazi nimekutafutia uje uanzie maisha".

Mwana tii!! Nadondoka job kwa cheo kikuubwa (ambacho wewe kama unge apply wangetaka 5 yrs experience,4.5+ GPA na makolokolo kibao)[emoji28],mie hiyo nimezama sijapata hata gamba chuoni litakuja mbele ya safari chezeea!!

Salary per month around 2M+ na mashehena kibaoo hapo toa madili na vishoka somewhere!!

Mchawi/wa kumlaumu ni "dereva wa bajaji" dogo junk flani hivi ..mwanzoni mwanzoni hapo natafuta pipi tu sijavuta hata kigoda cha mzungu aka Ndinga...huyo dogo ndio alikuwa ananitoa home mpaka job na kunirudisha kwa malipo ya mwezi kipande cha MIKOCHENI hapo...

Kipindi naanza job full kupiga kazi hasa mpaka mida ya saa mbili usiku hukoo ndio naachia ofisi...dogo wa bajaji hyo ratiba alikuwa anaijua...pia alijua mausha yangu yote kama nipo single...siku ya siku akanichoreshea kiramani flani "braza kwaninj uteseke kurudu home night wakat kuna pande flani unaweza kupozi na ukala matunda ya peponi"[emoji28].

Kwa kuanzia nikapelekwa "Massage Parlor" moja matata mnooo yani yani yani yani acheni tu.!!!

Kuingia watoto wa kila rangi afu wamesimama kama mwibaa hasaaa....(wazuri)..dogo akamuita matroni[emoji28][emoji28] "braza haya mambo ni mpya,mpe Menu atakayo shindwa kuisahau milele" ...matroni[emoji860]"yupo njema?!!"...dogo[emoji860]"weee mama wewee mie sitembeagi na wauza matunda[emoji28]"

Matroni[emoji860]"kama vipi na mie naingia mzigoni na vijana wangu kama 2 3 hv tusimamie show ya mgeni muheshimiwa mpya"

Dogo[emoji860]"fanya hivyo utakuja kunishukuru badae mchizi ana jiwe hasaa"

FUPISHA STORY:

Wanangu ee wa JF
Watoto wa hiyo parlor walichukua namba yangu wakaanza kuwa wananitafuta privately kila mmoja anataka kutumia opportunity kibinafsi.....

Dogo akanipeleka saloon hiyo wananyoa Mastaa tu full vidada vya instagram na bongo movie kibaoo hapo

Picha linaanza naingia tu kutupa jicho mwanangu Byser huyo hapoo mbele!! Sijacheki pembeni Nyandu tozy yule paleee naanza kuambaa ambaa Naona kiti cha kupumzikia ka chill Young dee paka rapper!!!

Nilivyotoka kunyoa pale naanza kupokea meseji kibao "braza mie msanii,najua kuimba nisimamie"
Mwingine "kaka mie ni model nahitaji support ya mavazi,location na cameraman wa maaana"!!

ITAENDELEA
But now Mungu kanipa second chance although najua laana zote za hapa bongo kupitia huyo "dogo wa bajaji"....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dogo wa bajaj alaaniwe
 
hahahaaa!! zungushaaaa, wape bia haoooo!!! wanywe mpaka waombe poa!! kampuni kubwa hiiiiiiii!!!, bill inakuja 70,000/= mfukoni una 50,000/= unachukua pikipiki fasta huku wadau unawaacha wanakula mvinyo, unaenda kuvuta 200,000/= ili imalize kila kitu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mnahama viwanja huku group linakufuata nyuma kila MTU na bebi wake unawanywesha wewe!!!
Usiombe uende baa na ATM utajuta
 
Japo kuwa humu zingine zina chumvi ila nimejifunza

2019 nikiwa sina lile wala hili kuna jamaa yangu akaniambia twende tukazamie migodi wapi hiyo Msumbiji basi tumefika kule tukapata kisehem tukapiga kama Zari hivi tukapata mzigo kwenda kupiga bei
Umetema kama m630 ukija kupiga pasu mtu mbili kama m300

Tokea hapo tukakataana urafiki kila mtu aliingia njia zake mana jamaa yangu akadai tukawekeze mim nikaona kuzeeshana mapema huku mi nikaenda zangu dar bila kupitia hom

Fika dar mkwanja si upo kwa bank nikakodi gest nzima nikatafuta mabamnsa kwaajili ya ulinzi tafuta pisi kali kama 10 hivi wakiwemo na mastaa wakike watatu nilikaanao pale gest kwa siku 10 na kubakiwa na laki mbili ya nauli ya kurudi hom mbeya fika hom nikala msoto wa ajabu haijawahi tokea toka nije duniani toka anga za mbali mwaka ukapita nakutana na jamaa yangu ana kampuni yake songea ya usafirishaji mizigo scania kama 23 kumbe mwenzangu aliwekeza kule kele kwenye migodi

Sio siri maumivu yalizidi kusikia hivyo nikamwomba anipe nafasi ya udereva kwenye kampuni yake mana nilikuwa nimepitia huko kabla
Kwakuwa tulikuwa kama ndugu

Akaniambia hapana siwezi kukupa nafasi tena asee kusikia hvy maumivu yalizidi nikajiona sifai nimetengwa na dunia baada ya hisia kunishinda nikatafuta sumu ya panya nikaenda mbali kdg na hom nikanywa
Imepita dakika mbili mwili ukaanza kunyong'onyea macho yanaanza poteza nuru machozi yakinilenga nikikumbuka yote niliyoyafanya ,
Nikasema Mungu naomba unisamehe kwa yote niliyokufanyia ambayo hayakukupendeza

Punde si punde nikiwa kwenye hali hiyo akatokea jamaa yupo na kipkpk akawa anasikia kama kilio hivi cha kugurumia sikujua kilichoendelea ila nilijikuta hospitali nimewekewa ma dripu tazama pembeni jamaa yangu yule wa migodi nimekaa hospitali siku sita

Nilivyokuwa fresh jamaa akaniambia sasa nazani umepata funzo kwenye maisha yako akaacha hom m2 kwaajili ya matumizi akanichukua tukaenda migodi akanipa eneo na kuniambia pambana

Nikatafuta nyoka yaani wafanyakazi lugha za migodi hizo, tukapiga kazi Mungu si asumani nikapata jiwe la pesa ndefu nakumbuka waliungana kama wanunuzi wa madini watatu kuuchukua ule mzigo nikawapa wale nyoka m200 kila mmoja, walikuwa nne nikaenda kwa jamaa akanipa somo jinsi ya kukaa na hela isipukutike hovyo bila kukusudia nakumbuka pesa yote aliniachia ninapo sema pesa ni pesa kweli

Akaniagizia kama Volvo za mizigo 14 hivi za kichina akawa anazisimamia yeye si unajua watu wa nchi hiyi wakijua unapesa ukikoswa na majambazi basi yatakukuta yale ya jamaa wa mtwara na polisi alijinyonga kwa taulo nchi hiyi ni mwiko kuwa na pesa za ghafla basi nikajenga ka nyumba kakisasa kwajili ya wazazi, fungua pub ya nguvu mbinga na dar anzisha kiwanda kidogo cha unga songea hayo yote nimefanya kwa mgongo wa jamaa sikutaka nijulikane kama nina pesa alafu nikamwambia nipe kazi kwenye hiyo kampuni yako nikawa kama dereva mtiifu baada ya wiki tunakutana kwa siri kujadili hali ya uchumi wetu na mpaka sasa hakuna anayejua mm nina shera kwenye kampuni ya jamaa zaidi ya family yangu maisha yangu ya kawaida sana na hata kwenda kwa miguu kazini kawaida kukaa kijiweni kucheza bao draft kawaida yote haya nimejifunza niliyopitia jamaa wanajua mm ni mwajiriwa wa rafiki yake na kuongea ooh alipata hela kachezea mpaka akanywa sumu ila hawajui kinachoendelea sina cha kupoteza ila nimejifunza sio hayo tu kuna mengi ndani yake ambayo ukifuatilia nyuz zangu utawapata japo nilididimia hapa katikati ila nimekaa sawa

Nb kufilisika sio mwisho changa upya karata zako yote yanawezekana mwanaume pambana kisawasawa acha kulia lia sijui ndio basi kazaaaa kubali kufa ukipambana acha kuwaza waza pambana mpaka uache alama kwenye dunia ameen

Na huu ndio ukumbusho wa picha kati ya pesa ambazo tulikuwa tukigawana hukoo machimbo enzi hizoo nikiwa kwa digar na jamaa zangu[emoji116][emoji116]2020View attachment 2098320
300m ukala na malaya 10 guest ndani ya siku 10 umefilisika?hii guest iko ibinza au monaco france...sijakusoma clear
 
Mimi nimekulia familia ya kimaskini, no exposure ya biashara wala ya shambani nikazoea maisha ya kuunga unga. Nakumbk nimeajiriwa miaka 5 iliyopita tukadanganyana na wife nikope bank, awamu ya kwanza nikakopa mil 7, nikafungulia biashara mil 3. 5, 3.5 nyingne matumizi mengine, baada ya miezi 6 nikaenda kutop up aisee milioni 8.1 nikamtumia mshua mil 1, mil 1.2 nikanunua kiwanja, mil 2.3 nikanunua pikipiki hela nyingne km mil 1.5 nikaongeza kwenye biashara.

Movie la kutisha
Baada ya miezi 2 biashara ikafa, kiwanja mwaka wa 3 hakijajengwa, mshahara kidunchu yaani ni kapuku anayepumulia mpira nipo bush kila kitu hakiendi. Nimetafakari jinsi ya kuchomoka nimeshindwa, wadau naomba msaada wenu kimawazo.
Mkuu uko wapi mbona kama umeiba stori yangu?
 
Mimi nimekulia familia ya kimaskini, no exposure ya biashara wala ya shambani nikazoea maisha ya kuunga unga. Nakumbk nimeajiriwa miaka 5 iliyopita tukadanganyana na wife nikope bank, awamu ya kwanza nikakopa mil 7, nikafungulia biashara mil 3. 5, 3.5 nyingne matumizi mengine, baada ya miezi 6 nikaenda kutop up aisee milioni 8.1 nikamtumia mshua mil 1, mil 1.2 nikanunua kiwanja, mil 2.3 nikanunua pikipiki hela nyingne km mil 1.5 nikaongeza kwenye biashara.

Movie la kutisha
Baada ya miezi 2 biashara ikafa, kiwanja mwaka wa 3 hakijajengwa, mshahara kidunchu yaani ni kapuku anayepumulia mpira nipo bush kila kitu hakiendi. Nimetafakari jinsi ya kuchomoka nimeshindwa, wadau naomba msaada wenu kimawazo.
Uza hicho Kiwanja upunguze madeni.

Pili , usikope kibwege. Ukiona umeanza ku-top up ujue madeni yameshakushinda.
 
Uza hicho Kiwanja upunguze madeni.

Pili , usikope kibwege. Ukiona umeanza ku-top up ujue madeni yameshakushinda.
Shida siyo kutop up shida ni unafanyia nini cha kumshauri punguza matumizi kama uko kijijini Lima nguvu kazi ww na mkeo labda na kibarua mmoja usuize pikipiki kama umeuza basi ndyo kosa kubwa ulilofanya Kama umekopa na kununua usafiri basi jua usafiri unatoa faraja kubwa snaa kiwanja chako usiuze Kwa sasa wee tulia kipato ulichonacho kitumie ipasavyo bila kusahau wazazi tafuta kikoba ujiunge kirakusaidia snaa Ila kikubwa sana usifanye top-up Kwa miaka mi3 mbeleni
 
Nimesoma comments zote kiukweli zinafurahisha,kuhuzunisha na kukejelisha pia[emoji28].

Ebu mie niwape yangu japo Mungu alijua kurudisha Upinde kwangu baada ya kuuvunja wa mwanzo.

2000's (censored) nipo mwaka wa Mwisho chuo,napokea simu ya mzee "maliza uje kuna kazi nimekutafutia uje uanzie maisha".

Mwana tii!! Nadondoka job kwa cheo kikuubwa (ambacho wewe kama unge apply wangetaka 5 yrs experience,4.5+ GPA na makolokolo kibao)[emoji28],mie hiyo nimezama sijapata hata gamba chuoni litakuja mbele ya safari chezeea!!

Salary per month around 2M+ na mashehena kibaoo hapo toa madili na vishoka somewhere!!

Mchawi/wa kumlaumu ni "dereva wa bajaji" dogo junk flani hivi ..mwanzoni mwanzoni hapo natafuta pipi tu sijavuta hata kigoda cha mzungu aka Ndinga...huyo dogo ndio alikuwa ananitoa home mpaka job na kunirudisha kwa malipo ya mwezi kipande cha MIKOCHENI hapo...

Kipindi naanza job full kupiga kazi hasa mpaka mida ya saa mbili usiku hukoo ndio naachia ofisi...dogo wa bajaji hyo ratiba alikuwa anaijua...pia alijua mausha yangu yote kama nipo single...siku ya siku akanichoreshea kiramani flani "braza kwaninj uteseke kurudu home night wakat kuna pande flani unaweza kupozi na ukala matunda ya peponi"[emoji28].

Kwa kuanzia nikapelekwa "Massage Parlor" moja matata mnooo yani yani yani yani acheni tu.!!!

Kuingia watoto wa kila rangi afu wamesimama kama mwibaa hasaaa....(wazuri)..dogo akamuita matroni[emoji28][emoji28] "braza haya mambo ni mpya,mpe Menu atakayo shindwa kuisahau milele" ...matroni[emoji860]"yupo njema?!!"...dogo[emoji860]"weee mama wewee mie sitembeagi na wauza matunda[emoji28]"

Matroni[emoji860]"kama vipi na mie naingia mzigoni na vijana wangu kama 2 3 hv tusimamie show ya mgeni muheshimiwa mpya"

Dogo[emoji860]"fanya hivyo utakuja kunishukuru badae mchizi ana jiwe hasaa"

FUPISHA STORY:

Wanangu ee wa JF
Watoto wa hiyo parlor walichukua namba yangu wakaanza kuwa wananitafuta privately kila mmoja anataka kutumia opportunity kibinafsi.....

Dogo akanipeleka saloon hiyo wananyoa Mastaa tu full vidada vya instagram na bongo movie kibaoo hapo

Picha linaanza naingia tu kutupa jicho mwanangu Byser huyo hapoo mbele!! Sijacheki pembeni Nyandu tozy yule paleee naanza kuambaa ambaa Naona kiti cha kupumzikia ka chill Young dee paka rapper!!!

Nilivyotoka kunyoa pale naanza kupokea meseji kibao "braza mie msanii,najua kuimba nisimamie"
Mwingine "kaka mie ni model nahitaji support ya mavazi,location na cameraman wa maaana"!!

ITAENDELEA
But now Mungu kanipa second chance although najua laana zote za hapa bongo kupitia huyo "dogo wa bajaji"....
Nipe connection ya huyo dogo kama hutojali.
 
Back
Top Bottom