Guantanamo Sobibor
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 897
- 1,133
Kama huna roho ya plastic hayo magari hayakufai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Silali barabarani kwanza usingizi hauji. MTU akikimbiza gari ndo kabisaaaaaa nasali tuMimi kuna siku nlikuwa natoka moshi kurudi dar saa 12 nimepanda gari ya magazeti pale njia panda saa 6 mchana nipo ubungo...nilichofanya nililala tu siti ya nyuma kbs nikasema km nikifa nifie usingizini
HahahahahaaaHukufaa mkuu?
Kuna vifo havitokei kwa mapenzi ya Mungu!Kifo hakiepukiki,kama ilipangwa haiwez panguka
Sio hakuna wasomaji mkuu,hiyo ni destur ya MTU.Kuna hawa wa mikoa ya Iringa wanapenda sana kupanda malori,IT na hayo magar ya magazeti.reply nyingi za watu hapo juu ni magari ya magazeti kutoka dar kwenda arusha/kilimanjaro, inaonyesha mikoa mingine tofauti na hy hakuna wasomaji magazeti kabisa.
Pia kupenda bei cheer,MTU anaona kutoa 35,000 kupanda basi anaona anaibiwa bora atoe 10,000 apande IT au hayo Magar ya magazetireply nyingi za watu hapo juu ni magari ya magazeti kutoka dar kwenda arusha/kilimanjaro, inaonyesha mikoa mingine tofauti na hy hakuna wasomaji magazeti kabisa.
IT ndo magari gan ?Pia kupenda bei cheer,MTU anaona kutoa 35,000 kupanda basi anaona anaibiwa bora atoe 10,000 apande IT au hayo Magar ya magazeti
😂😂😂😂😂😂😂 ukikaa sana na mtu wa speed utazoea tu utaona normalKwa hizo story ninazosomaga kuhusu hayo magazeti sitathubutu kuyapanda. Kwanza Mimi muoga wa speed halafu ndo nipande gari Kama Noah ikimbizwe naweza hata Kibaha nisifike niwe nikeshakufa kwa presha
International Transit, ni magari mapya yanayotoka bandarini na kupelekwa nchi jirani za Kongo, zambia, malawi nkIT ndo magari gan ?
hahaaaMimi kuna siku nlikuwa natoka moshi kurudi dar saa 12 nimepanda gari ya magazeti pale njia panda saa 6 mchana nipo ubungo...nilichofanya nililala tu siti ya nyuma kbs nikasema km nikifa nifie usingizini
sio chai mkuu " ule usafiri wa magazeti achana nao"Kuna watu humu wanatupa chai aisee
Si kweliPia kupenda bei cheer,MTU anaona kutoa 35,000 kupanda basi anaona anaibiwa bora atoe 10,000 apande IT au hayo Magar ya magazeti