Tuliowahi kutembea kwa sababu ya kukosa nauli tukutane hapa

Teh teh m nlipoteza nauli man nlietembea toka karume mchikichini mpaka suka uzuri vichochoro vya ubungo mpaka mchikichini ni vingi,siku moja tena mvua ikanikuta fire m na rafiki yangu mmoja ikabidi tupige mguu usafiri umejaa gari hazisogei kunajamaa alikua na manzi yake anamapaja yamenona alimtembeza mpaka karibu na butcher nkasema demu akilala Leo kachubuka,nyingine tena toka pugu dah alafu usiku kunakamsitu mzee sema tulikuwa wawil mpaka goms

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika vitu nalinda sana basi kubakiwa na kinauli aisee!

Tena kama kamebaki ka-mia nne kamili ile ukiingia tu kwenye daladala unalipa fastaaa wasije kukapiga ndole ukaaibika [emoji3][emoji3][emoji3][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
wakati mwingine sio lazima ukose nauli ni moja ya mazoezi unaweza tu kujipangia mfano kila ijuma unarudi nyumbani kwa mguu kutokea kazini.

but nishapiga ngoko kutokea ukonga hadi buguruni. pia kutokea buguruni hadi ubungo, nilikuwa sina nauli. na inanibidi niende kwenye biashara niliyokuwa naifanya wakati huo.
 
Hahahahahaha[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwezi wa 12 mwaka jana kulikuwa na foleni Mbezi mwisho kuna gari liliziba njia.
Nikaamua kutembea kwa miguu kutoka Mbezi Mwisho mpaka Kibaha Maili Moja.

Foleni ilianza saa moja mpaka saa 2 naona hakuna dalili ya kupungua. Njiani siku hiyo tulikuwa wengi maana kulikuwa na foleni kubwa Morogoro Road.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh, baada ya kutembea na kuvuka hilo gari lilizoziba njia kwanini hukupanda gari mkuu?

the Legend☆
 
Kuna siku nilitembea kutoka Mlali mpaka Mgeta kibaoni.
Gari za kwenda Mgeta jioni huwa zinasumbua labda upate fuso ya kwenda kubeba mizigo, nikawafata Bodaboda wanataka elfu 12.

Ikabidi nitembee mpaka Mgeta ule mlima nilipanda nimevua shati kuna sehemu ukikaribia kuumliza panaitwa langoni na baridi inaanzia hapo ikabidi nivae tena shati yangu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…