Tuliowahi kutembea kwa sababu ya kukosa nauli tukutane hapa

Tuliowahi kutembea kwa sababu ya kukosa nauli tukutane hapa

Si wanaume wa bara kutembea ishu ndogo sana,nilikua natembea moroco-kariokor au mwenge to posta,na sio kwamba sikua na pesa na sikatizi mkato nafata main road
 
Inamaana wote mnaishi dar jamani?
Kweli mkoani nipo mwenyewe.
Niliwahi kula naauli sana kipindi nasoma tuition (2010) Jengo la Mollel. Ila sijawahi kutembea kwa miguu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nilikuwa nasimama sabena nasubiri daladala za ninaowajua.

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
Aiseee sitosahau siku nilikua na dada mmoja mzuri nampenda lakini alikua hanipendi yaani ukiomba mechi mpaka upewe mwezi. Basi siku moja nikasema nataka nije Kwa Azizi Ali tuongee akasema usije, nikaenda bana nikafika nikamtext sijui alisema nini nilikua kama nina 12000 kwenye tigo pesa nikamtumia nikasema basi tumia hiyo kutatua shida yako, kumbuka hapo hakuja sababu alisema nisije nikajitia kiherehere so mimi nikapiga mguu from Azizi Ali mpaka Magomeni Morocco Hotel. Aiseee sitosahau. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwaka 2008
Khaaaa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwani hukuwa na nauli zaidi ya pesa uliyomtumia??????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubungo mpaka mbezi beach, mdogo mdogo tulimsindikiza dogo alikuwa anasafiri mshua akabaki kwenye gari sijui ilikuwaje narudi nakuta mzee mzima ameshasepa na simu niliacha home na sikuwa na hela mfukoni, nika print mdogo mdogo nakaamua na mimi kumkomoa nilikuwa na funguo ya geti
 
Inamaana wote mnaishi dar jamani?
Kweli mkoani nipo mwenyewe.
Niliwahi kula naauli sana kipindi nasoma tuition (2010) Jengo la Mollel. Ila sijawahi kutembea kwa miguu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nilikuwa nasimama sabena nasubiri daladala za ninaowajua.

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Ulikua unakaa pande za zipi?
 
We umetembea hapo tu unaanzisha thread wakati mi nishatembea toka Dar hadi Bagamoyo hadi nikaanza kuhisi harufu ya mishkaki inanukia kumbe ma.pumbu yangu mwenyewe[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

"ᴬ ᵍᵒᵒᵈ ᵖˡᵃⁿ ᵛⁱᵒˡᵉⁿᵗˡʸ ᵉˣᵉᶜᵘᵗᵉᵈ ⁿᵒʷ ⁱˢ ᵇᵉᵗᵗᵉʳ ᵗʰᵃⁿ ᵃ ᵖᵉʳᶠᵉᶜᵗ ᵖˡᵃⁿ ᵉˣᵉᶜᵘᵗᵉᵈ ⁿᵉˣᵗ ʷᵉᵉᵏ"
hahaaaaa, yaliungua mkuu😀😀😀, umenichekesha ujue
 
Aiseee sitosahau siku nilikua na dada mmoja mzuri nampenda lakini alikua hanipendi yaani ukiomba mechi mpaka upewe mwezi. Basi siku moja nikasema nataka nije Kwa Azizi Ali tuongee akasema usije, nikaenda bana nikafika nikamtext sijui alisema nini nilikua kama nina 12000 kwenye tigo pesa nikamtumia nikasema basi tumia hiyo kutatua shida yako, kumbuka hapo hakuja sababu alisema nisije nikajitia kiherehere so mimi nikapiga mguu from Azizi Ali mpaka Magomeni Morocco Hotel. Aiseee sitosahau. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwaka 2008
dah wanaume tunapitia mengi
 
Ndo hivyo, mnazi mmoja chocho kwa chocho Hadi buguruni, unazuga zuga kidogo, unaingia chocho Kama unaenda vingunguti reli kwa reli Hadi spenco (maji machafu) hadi tabata bima unaingia chocho Hadi magorofa ya ladwa unashusha bonde ukipandisha upo tabata mawenzi, unateleza tu, chocho ndogo hadi kimanga destination.
hahah yani unanikumbusha mbali sana yani mtu inafikia hatua una pita chocho ambazo hukutani na watu ni wewe na mungu wako tu
 
Back
Top Bottom