Aka siwajui mimiDada nipo DSM huyo anayetoa mikopo ya kausha damu-naweza kupata mawasiliano nina msiba hapa afu sina alternative kabisa.
Nimefiwa na Dada yangu Mkuu nipo DSM,natafuta mkopo wa laki 3 nina laptop yenye thamani ya 1.8 kama dhamana but hela nitairudisha kabla ya tarehe 25 ya mwezi huu.Aka siwajui mimi
Naskia kuba asa, kausha damu na chupi mkononi
Umefiwa na nani na uko wapi?
Pole sana kwa msiba mkuu, hope utapata mkopo huo. Hata nyuma ya keyboard tujitahidi kuishi na watu vizuri sababu hujui utamuhitaji nani, kwa wakati gani. My condolences to you and ur family.Nimefiwa na Dada yangu Mkuu nipo DSM,natafuta mkopo wa laki 3 nina laptop yenye thamani ya 1.8 kama dhamana but hela nitairudisha kabla ya tarehe 25 ya mwezi huu.
Nipeni connection basi jamani za mikopo ya chupimzabzab anataka awe mkopeshaji wa hiyo mikopo ya chupi mkononi 😄😄😄😄🙌🙌
Ukikaa vibaya mkopo utatafuna mtaji wako vile vileMkopo huwa unachukuliwa kukuza biashara.
Nichek inbox tuyajenge tusaidianeNimefiwa na Dada yangu Mkuu nipo DSM,natafuta mkopo wa laki 3 nina laptop yenye thamani ya 1.8 kama dhamana but hela nitairudisha kabla ya tarehe 25 ya mwezi huu.
Pole sana.Aisee hii mikopo iko mizuri na mibaya, nilishawahi kuchukua M10 za mkopo hapo sikujua namna ya kurejesha maana ilikuwa haraka haraka siku yule jamaa ananipa utaratibu wa kurejesha niliishiwa nguvu, maana nilitakiwa nilipe jumla ya M16 kwa miezi sita, cha kustaajabu hela yote niliijengea, nyumba nikaiuza nikageuka mpangaji kwenye hiyo nyumba, alienunua hiyo nyumba nae akanipa notisi niachie nyumba yake.
Kama bado hujaandika usiandike hiyo barua. Mwambie atafute nusu utamwongezea. Akishapata nusu biashara imeisha.Dadangu anafosi nimwandikie barua ya mkopo,
Anakopea kiwanja cha urithi, hii ni mali yetu mimi na yeye....hii pesa nina wasiwasi hatarudisha.
Naandika kesho kuepuka lawama ila najua ili deni nitalipa mimi dadeki.
Yule wa ujenzi?Miradi ya serikali noma sana. Watu ambao walifanya kazi enzi za JK halafu malipo yao yakakutana na uongozi wa JPM walilizwa mno. Kuna jamaa yangu Kigoma alikuwa kashapiga hatua aliishia kufilisika mazima. Ukiwa unafanya project.ya serikali inahitaji umakini.
HahaaaMkopo wa MGODI voda, nilikopa siku nataka kulipa mtandao ukasumbua. Nikasema itakula kwenu leo kesho yake wakaanza meseji zao Mimi nimetulia tu.
Zikapita siku kadhaa, si Kuna bwege kanipigia kwa namba 100 ananikoromea kisa 3,600. Nilichomjibu akanifungia huduma ya mpesa. Kesho yake naweka elfu 2 bila kujua kumbe kaifunga, nawapigia simu wananiambia nilipigiwa simu nikawajibu vibaya kwa hiyo niende voda shop na kitambulisho.
Nikawaambia laini ninazo nyingi sina huo muda wa mchezo, nikaitoa nikaivunja nikaweka ya tigo.
Unajua uandishi wako umenichekesha hahaaaaaaaHawa watu hasa wa microfinance wanakwaza sana
Na siku ya mwishobwatakua wanachomwa kama hotdog wanaviringishwa ndani ya gogo af wanaunguzwa taratibu waahed kabisa.
Kuna mmoja alikuja kazini amechomekea mpka kwenye diaphram na hesima deebe ananidedesa nichukue mkopo kwao marejesho yao ni kidogo hayaumizi. Nkamwambia aende aniachie kipeperushi nitafakari. Alivoondoka nkakaa nkapiga hesabu vzuri kbsa taratibu, nkaja kushtukia kua naenda kupigwa riba ya almost 30% kisirisiri, nkachana kipeperushi nkatupa kwenye dustbin.
Jamaa hakuogopa akaenda kwa mlinzi wa ofisi akamseti, msukuma wa watu akajaa kingi akachukua mkopo kwa kuamini kua rejesho la elf 5 kwa wiki hawezi kosa. Baadae akaja nkampigia hesabu nkamfungulia dunia kama clouds fm, alichoka. Yuke mlinzi kila jembe analopiga ardhini anawatukana wale jamaa. Alifanikiwa kulipa lkn kwa uchungu sana.
Bora nikope kwenye vikundi vya hisa huko, yakinishinda wanachukua hisa zangu aibu inapungua.
Kama upo dat hakikisha upo ktk route amabyo Ina lami mwanzo mwisho. Bajaj itakulipa sana ukiwa na nidhamu ya biashara na pesaNimechukua mkopo wa Bajaj nizingatie Nini ili nitoboe
Sasa unalala wapi? Au ulikuwa na vitanda viwili?hii mikopo kausha damu balaa sana mam yangu alichukua pesa kidogotu kama laki tatu hivi kila siku analipa 5 elfu amekauka apa na mkopo hauishi anafanya kulipa faini tu mkopo upo pale pale Ni huzuni kwa kweli nimeuza mpaka kitanda kumsaidia
Pole mkuu kwa msiba tujitahid kukata Bima za msiba NMB Wana hi huduma ya mkono wa pole .....Kuna kifurushi Cha 500Dada nipo DSM huyo anayetoa mikopo ya kausha damu-naweza kupata mawasiliano nina msiba hapa afu sina alternative kabisa.
Laptop aina gani?..weka bond uje nikupe laki 2Nimefiwa na Dada yangu Mkuu nipo DSM,natafuta mkopo wa laki 3 nina laptop yenye thamani ya 1.8 kama dhamana but hela nitairudisha kabla ya tarehe 25 ya mwezi huu.
Nina mkopo wa 1M point...
Leo natakiwa nianze rejesho ila pesa yote imeishia kwenye harus
Nawazaaaaa
Miujuza itendeke tuu
Hapana lazima kila baada ya miaka mitatu aende aka akikiwe kama bado yupo hai, Serikal siyo wajinga ilipe tu pesa bila kujua mstaafu yupo au ameshafariki, ndiyo maana kila baada ya kipindi fulani wanatakiwa waende Azina waka akikiwe kama bado wapo hai, na kama hasipo enda Azina hawezi kumuingiza pesa wana jua amefarkiMzee wenu anawadanganya,kwanza wanafacitate malipo ni NSSF/PSSSF hazina Nazi yao ni kutoa hela tu.hata kama mstaafu hajahakikiwa hela wanamuingizia kama kawaida.
Sio hii ila na ya kwetu mc alikuwa gara whaaaat gara beeeeIlifana [emoji23][emoji23][emoji23]