Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

Aka siwajui mimi
Naskia kuba asa, kausha damu na chupi mkononi
Umefiwa na nani na uko wapi?
Nimefiwa na Dada yangu Mkuu nipo DSM,natafuta mkopo wa laki 3 nina laptop yenye thamani ya 1.8 kama dhamana but hela nitairudisha kabla ya tarehe 25 ya mwezi huu.
 
Nimefiwa na Dada yangu Mkuu nipo DSM,natafuta mkopo wa laki 3 nina laptop yenye thamani ya 1.8 kama dhamana but hela nitairudisha kabla ya tarehe 25 ya mwezi huu.
Pole sana kwa msiba mkuu, hope utapata mkopo huo. Hata nyuma ya keyboard tujitahidi kuishi na watu vizuri sababu hujui utamuhitaji nani, kwa wakati gani. My condolences to you and ur family.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefiwa na Dada yangu Mkuu nipo DSM,natafuta mkopo wa laki 3 nina laptop yenye thamani ya 1.8 kama dhamana but hela nitairudisha kabla ya tarehe 25 ya mwezi huu.
Nichek inbox tuyajenge tusaidiane
 
Pole sana.
 
Dadangu anafosi nimwandikie barua ya mkopo,
Anakopea kiwanja cha urithi, hii ni mali yetu mimi na yeye....hii pesa nina wasiwasi hatarudisha.
Naandika kesho kuepuka lawama ila najua ili deni nitalipa mimi dadeki.
Kama bado hujaandika usiandike hiyo barua. Mwambie atafute nusu utamwongezea. Akishapata nusu biashara imeisha.
 
Yule wa ujenzi?
 
Hahaaa
 
Unajua uandishi wako umenichekesha hahaaaaaaa
 
hii mikopo kausha damu balaa sana mam yangu alichukua pesa kidogotu kama laki tatu hivi kila siku analipa 5 elfu amekauka apa na mkopo hauishi anafanya kulipa faini tu mkopo upo pale pale Ni huzuni kwa kweli nimeuza mpaka kitanda kumsaidia
Sasa unalala wapi? Au ulikuwa na vitanda viwili?
Hahaaaaaa
 
Nimefiwa na Dada yangu Mkuu nipo DSM,natafuta mkopo wa laki 3 nina laptop yenye thamani ya 1.8 kama dhamana but hela nitairudisha kabla ya tarehe 25 ya mwezi huu.
Laptop aina gani?..weka bond uje nikupe laki 2
 
Mzee wenu anawadanganya,kwanza wanafacitate malipo ni NSSF/PSSSF hazina Nazi yao ni kutoa hela tu.hata kama mstaafu hajahakikiwa hela wanamuingizia kama kawaida.
Hapana lazima kila baada ya miaka mitatu aende aka akikiwe kama bado yupo hai, Serikal siyo wajinga ilipe tu pesa bila kujua mstaafu yupo au ameshafariki, ndiyo maana kila baada ya kipindi fulani wanatakiwa waende Azina waka akikiwe kama bado wapo hai, na kama hasipo enda Azina hawezi kumuingiza pesa wana jua amefarki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…