Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Mbaya zaidi asilimia kubwa ya wanawake wanachukua mikopo bila kuwa na source ya kueleweka ya kipatoWanawake ndo wanaongoza kuchukua mikopo ya hovyo isiyo na kichwa wala miguu.
Na hela huioni.
Kuanzia mwaka huu nimeamua kuchukua mkopo wa biashara badala ya kazini. Hapa nina kipengele cha 10m Nmb nimeshafanya marejesho mawili.
Kilichonivutia ni riba yaani nimeona kwenye mkopo wa biashara 10m nalipa 11,300,000/= kwa mwaka. Kwa mwezi 946,000/=. Wakati mkopo wa kazi muda mrefu na riba inakuwa kubwa.
Ninachofanya kazini nimeweka backup kama nitafeli huku basi nitazama kwa mkopo wa kazi kurefund. Lakini piashara ninayofanya ni ya fedha kwa hiyo fedha zote ninazo cash ninachowarudishia ni faida tu. Kinachonipa matumaini ni kuwa kwa vile cash zao zote zipo kama nitaona nafeli nazirudisha, sokomoko itakuwa kama zitaibwa au changamoto zingine unexpected.
Nashukuru Mungu 10m zao zinanipa at least 2.3m monthly profit nawapa rejesho na kuongeza mtaji. Kwa hiyo bado sina neno baya juu ya mkopo cha msingi nipo highly disciplined and very cautious, hata wife ananikubali katika heshima juu ya that why hajasita kuweka saini za mkopo na kuacha hati ya banda letu. Niombeeni nitoboe mwakani nivute 20m[emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Futa hii comment haraka sana..... Uta tapeliwa mda c mrefuNa mimi nataka kukopa lakini sina biashara bali nina nyumba yenye HATI safi Dodoma, sasa kama kuna Mfanyabiashara anayekopesheka anahitaji kukopa Bank lakini hana dhamana mimi ninayo aje inbox tuyajenge, Nyumba ipo Dodoma Mjini, thamani ya Nyumba ni zaidi ya Milioni 50 na ni Nyumba mpya, karibuni.
Aaah ilikua aibu Sana mkuu.. wamama wanakopa bila kushirikisha waume zao... SEDA iliteka Sana wamama kule ArushaHahahahahahha pole sana. SEDA pale Sanawari?
NakumbukaAaah ilikua aibu Sana mkuu.. wamama wanakopa bila kushirikisha waume zao... SEDA iliteka Sana wamama kule Arusha
Njoo Dm tuongeeNimefiwa na Dada yangu Mkuu nipo DSM,natafuta mkopo wa laki 3 nina laptop yenye thamani ya 1.8 kama dhamana but hela nitairudisha kabla ya tarehe 25 ya mwezi huu.
Elezea vizuri ili watu tujue na tuelewebbrooPole mkuu kwa msiba tujitahid kukata Bima za msiba NMB Wana hi huduma ya mkono wa pole .....Kuna kifurushi Cha 500
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]mazaa alikua akichukua mikopo kwa wale SEDA.. asee mambo yakaenda kombo akawa anawatoroka maana anajua siku zao za doria..
Wakaja kwa kushtukiza kwetu ni badland kule gari unaacha road upite chocho kadhaa ndo ufike..
Braza alikua anajua ile gari ya alivyoiona chap mbiombio akaja kumshtua maza, chap akazama uvunguni..
Wakafika cha kwanza..mama yuko wapi ? Braza kwaambia amesafiri kuna msiba kijjini alikua anajibu kwa wasiwasi..
Mmoja wao akanichukua nlikua ndo niko Darasa la kwanza haoo hadi dukani...Mangi mpe mtoto mzuri biskuti ilikia zile za choclate 500/=nakumbuka..
Woii nikachoma maza yupo uvunguni kule.. [emoji23][emoji23][emoji23] wakaenda kumchomoa, hela hamna wakasomba mazaga hapo sebleni
Ile kipigo nlipata walivyoondoka biskuti ilitokea puani...
Muongo wwMimi nilikopa milioni 8 ada na meals. Nikanunua kiwanja 3m. Nyingine matumizi kidogo na ada. Kile kiwanja nilichonunua miaka 12 nyuma leo thamani yake ni 50m.
HESLB nawalipa kila mwezi hela yao 30,000.
Asante sirikali.
Mwambie aache, hawawezi kumshtaki sababu wengi hawana vibali maalumhii mikopo kausha damu balaa sana mam yangu alichukua pesa kidogotu kama laki tatu hivi kila siku analipa 5 elfu amekauka apa na mkopo hauishi anafanya kulipa faini tu mkopo upo pale pale Ni huzuni kwa kweli nimeuza mpaka kitanda kumsaidia
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna ka benki kamoja mkopo wake hauishi kabisa.
Ukimaliza deni wanakuja tulisahau kukata faida.
Ukimaliza wanakuja tena, tulisahau kukata bima
Ukimaliza wanakuja tena, tulisahau kukata kapacity charge
Ukimaliza wanakuja tena, mahesabu ya kwanza yalikosewa.
Ukimaliza deni huambiwi umemaliza, baada ya miezi mitatu wanakuja tena yaani madeni yake hayaishi.
Jamani mimi sijataja jina la benki yoyote, walio yakuta wanaijua.
Nimeacha kabisa kukopa tena benki.
Mnajenga kwa kutumia nini mkuu? Mfano mtumishi asipokopa anajengaje?Dah ! [emoji2][emoji2][emoji2]Pole mkuu ! Unachukua tu mkopo bila kujua ABC zao zikoje ? Alafu hela ya mkopo unajengea ?
-Usikope kuanzisha biasharaUsikope hela kuanzisha biashara. Aiseee usithubutu mkuu
Ni jukwaa hili tu, kwngine weupeIli ufanyeje sasa Mkuu?
Sasa wewe mtumishi KOPA alafu kaanzishe biashara usiyoijua. Kwanza na utumishi wako utaisimamia saa ngapi? Labda ukae na wataalamu wakuelekeze-Usikope kuanzisha biashara
-Usikope kujenga
Nyinyi hivi vitu mnafanya kwa pesa ipi?
Tatizo mnashauri kwa jumla,nachojua sio kila mmoja ataishi bila kukopa labda huo ushauri wenu mnashauriana wafanyabiashara, mtumishi asipokopa ili kujenga akaibe? Maana vimishahara vyenyewe uchwara
Maza alikosea kukupiga hukuwa na kosa, alitakiwa kulipa tu hilo denimazaa alikua akichukua mikopo kwa wale SEDA.. asee mambo yakaenda kombo akawa anawatoroka maana anajua siku zao za doria..
Wakaja kwa kushtukiza kwetu ni badland kule gari unaacha road upite chocho kadhaa ndo ufike..
Braza alikua anajua ile gari ya alivyoiona chap mbiombio akaja kumshtua maza, chap akazama uvunguni..
Wakafika cha kwanza..mama yuko wapi ? Braza kwaambia amesafiri kuna msiba kijjini alikua anajibu kwa wasiwasi..
Mmoja wao akanichukua nlikua ndo niko Darasa la kwanza haoo hadi dukani...Mangi mpe mtoto mzuri biskuti ilikia zile za choclate 500/=nakumbuka..
Woii nikachoma maza yupo uvunguni kule.. πππ wakaenda kumchomoa, hela hamna wakasomba mazaga hapo sebleni
Ile kipigo nlipata walivyoondoka biskuti ilitokea puani...
Watumishi wengi wao kuto kujenga ni uzembe wao tu kwasababu watumishi wengi wa Serikali upata kazi wakiwa vijana wadogo kwaiyo miaka mingi wana kubwa free hawa majukumu na pesa zao uishia kwenye starehe tu, mfano kijana ana miaka 24 kapata kazi ya ualimu ndani ya miaka 5 utakuta hana kiwanja na haja fanya lolote zaidi ya kuonga na kulewa bas-Usikope kuanzisha biashara
-Usikope kujenga
Nyinyi hivi vitu mnafanya kwa pesa ipi?
Tatizo mnashauri kwa jumla,nachojua sio kila mmoja ataishi bila kukopa labda huo ushauri wenu mnashauriana wafanyabiashara, mtumishi asipokopa ili kujenga akaibe? Maana vimishahara vyenyewe uchwara